TFF Yatoa Rukhsa Klabu Za Ligi Kuu Kusajili Wachezaji 12 Wa Kigeni

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,250
15,116
Juzi hapa niliwapenyezea za chini ya kapeti. Wengi walinijia Inbox na kuniuliza hizo habari nimezipata wapi ila sikuwajibu.

Tetesi: - Walace Karia akubaliana na ombi la Simba SC kuongeza Idadi ya Wachezaji wa Kigeni kufikia 12

Sasa yametimia! Mabadiliko hayo ya kikanuni yamefanyika ndani ya muda mfupi zaidi ili kukamilisha mataakwa ya Klabu ya Simba baada ya kuonekana kuwa wasingeweza kufanya vyema kwenye michuano ha CAF kwa idadi ndogo ya wachezajia wa kigoni ambayo ni 10. Kilicho changia zaidi ni kuondoka kwa Miqqie & Chama, viongozi wengi wa simba waliona haana uwezo wa kuziba mapengo hayo kwa ufanizi zaidi hivyo njia pekee ni kumvutia waya Rais wa TFF na kumuelekeza abadilishe kanuni mapema ya idadi ya wachezaji wa kigeni kabla ya tarehe 15 ili kuipa nafasi Simba SC ya kuwa na chaguo la wachezaji wengi.
12.PNG


Ikumbukwe, klabu kama ya Yanga SC ilizipata taarifa hizi chini kwa chini ndipo nao wakaanza mchakato wa kufanya mazungumzo na wacheza wengi zaidi. Usije kushangaa pia Yanga SC wakawa na ongezeko la ziadala wachezaji wa kigeni zaidi ya wale 10, hiyo ni kutokana na kupata taarifa hizi kupitia maofisa ndani ya TFF.

Azam FC nao haakuwa na ili waa lile, taarifa walizipata ila hawakuzichukulia kwa uzito mkubwa zaidi kwa kuwa mpango huu uliwajia kipindi ambacho walikuwa wamefunda ausajili wa wachezajai wa kigeni ka kutumia kanuni ileee ya wachezaji 10.

Kibaya zaidi hii taarifa haikuzingatia kuwa kuna timu yingine ambazo nazo zinahitaji kupewa muda wa kusajiri.

1. Kutokuwa na taarifa ka wakati sahihi zimefanya klabu kama Azam FC kutokamilisha idadi ya usajili wa wachezaji wa kigeni kulingana na kanuni mpya ya Karie.

2. Hata kama nao Yanga wakiamua kusajili muda huu basi watafanya hivyo kwa kukurupuka pasi na kua na muda wakutosha.

3. Mabadilko hayo yameazzingatia matakwa ya klabu moja tu hiyo yote ni kwa ajili ya mapenzi ya dhati yanayotanguizwa mbele bila kuzingatia usawa (fair play) kwenye soka.

Kiufupi:- Nilikuwa pale ofisi za TFF ka shughuli binafsi hapo ndipo nikapata wasaa wa kujulishwa hili jambo na chanzo cha kuaminika.

11.PNG



Mabibi & Mabwana Huyo ndio Kiongozi wa Mpira wa Bongo.
 
Juzi hapa niliwapenyezea za chini ya kapeti. Wengi walinijia Inbox na kuniuliza hizo habari nimezipata wapi ila sikuwajibu.

Tetesi: - Walace Karia akubaliana na ombi la Simba SC kuongeza Idadi ya Wachezaji wa Kigeni kufikia 12

Sasa yametimia! Mabadiliko hayo ya kikanuni yamefanyika ndani ya muda mfupi zaidi ili kukamilisha mataakwa ya Klabu ya Simba baada ya kuonekana kuwa wasingeweza kufanya vyema kwenye michuano ha CAF kwa idadi ndogo ya wachezajia wa kigoni ambayo ni 10. Kilicho changia zaidi ni kuondoka kwa Miqqie & Chama, viongozi wengi wa simba waliona haana uwezo wa kuziba mapengo hayo kwa ufanizi zaidi hivyo njia pekee ni kumvutia waya Rais wa TFF na kumuelekeza abadilishe kanuni mapema ya idadi ya wachezaji wa kigeni kabla ya tarehe 15 ili kuipa nafasi Simba SC ya kuwa na chaguo la wachezaji wengi.
View attachment 1892097

Ikumbukwe, klabu kama ya Yanga SC ilizipata taarifa hizi chini kwa chini ndipo nao wakaanza mchakato wa kufanya mazungumzo na wacheza wengi zaidi. Usije kushangaa pia Yanga SC wakawa na ongezeko la ziadala wachezaji wa kigeni zaidi ya wale 10, hiyo ni kutokana na kupata taarifa hizi kupitia maofisa ndani ya TFF.

Azam FC nao haakuwa na ili waa lile, taarifa walizipata ila hawakuzichukulia kwa uzito mkubwa zaidi kwa kuwa mpango huu uliwajia kipindi ambacho walikuwa wamefunda ausajili wa wachezajai wa kigeni ka kutumia kanuni ileee ya wachezaji 10.

Kibaya zaidi hii taarifa haikuzingatia kuwa kuna timu yingine ambazo nazo zinahitaji kupewa muda wa kusajiri.

1. Kutokuwa na taarifa ka wakati sahihi zimefanya klabu kama Azam FC kutokamilisha idadi ya usajili wa wachezaji wa kigeni kulingana na kanuni mpya ya Karie.

2. Hata kama nao Yanga wakiamua kusajili muda huu basi watafanya hivyo kwa kukurupuka pasi na kua na muda wakutosha.

3. Mabadilko hayo yameazzingatia matakwa ya klabu moja tu hiyo yote ni kwa ajili ya mapenzi ya dhati yanayotanguizwa mbele bila kuzingatia usawa (fair play) kwenye soka.

Kiufupi:- Nilikuwa pale ofisi za TFF ka shughuli binafsi hapo ndipo nikapata wasaa wa kujulishwa hili jambo na chanzo cha kuaminika.

View attachment 1892095


Mabibi & Mabwana Huyo ndio Kiongozi wa Mpira wa Bongo.
Umemsahau jamal malinzi mkuu
 
Juzi hapa niliwapenyezea za chini ya kapeti. Wengi walinijia Inbox na kuniuliza hizo habari nimezipata wapi ila sikuwajibu.

Tetesi: - Walace Karia akubaliana na ombi la Simba SC kuongeza Idadi ya Wachezaji wa Kigeni kufikia 12

Sasa yametimia! Mabadiliko hayo ya kikanuni yamefanyika ndani ya muda mfupi zaidi ili kukamilisha mataakwa ya Klabu ya Simba baada ya kuonekana kuwa wasingeweza kufanya vyema kwenye michuano ha CAF kwa idadi ndogo ya wachezajia wa kigoni ambayo ni 10. Kilicho changia zaidi ni kuondoka kwa Miqqie & Chama, viongozi wengi wa simba waliona haana uwezo wa kuziba mapengo hayo kwa ufanizi zaidi hivyo njia pekee ni kumvutia waya Rais wa TFF na kumuelekeza abadilishe kanuni mapema ya idadi ya wachezaji wa kigeni kabla ya tarehe 15 ili kuipa nafasi Simba SC ya kuwa na chaguo la wachezaji wengi.
View attachment 1892097

Ikumbukwe, klabu kama ya Yanga SC ilizipata taarifa hizi chini kwa chini ndipo nao wakaanza mchakato wa kufanya mazungumzo na wacheza wengi zaidi. Usije kushangaa pia Yanga SC wakawa na ongezeko la ziadala wachezaji wa kigeni zaidi ya wale 10, hiyo ni kutokana na kupata taarifa hizi kupitia maofisa ndani ya TFF.

Azam FC nao haakuwa na ili waa lile, taarifa walizipata ila hawakuzichukulia kwa uzito mkubwa zaidi kwa kuwa mpango huu uliwajia kipindi ambacho walikuwa wamefunda ausajili wa wachezajai wa kigeni ka kutumia kanuni ileee ya wachezaji 10.

Kibaya zaidi hii taarifa haikuzingatia kuwa kuna timu yingine ambazo nazo zinahitaji kupewa muda wa kusajiri.

1. Kutokuwa na taarifa ka wakati sahihi zimefanya klabu kama Azam FC kutokamilisha idadi ya usajili wa wachezaji wa kigeni kulingana na kanuni mpya ya Karie.

2. Hata kama nao Yanga wakiamua kusajili muda huu basi watafanya hivyo kwa kukurupuka pasi na kua na muda wakutosha.

3. Mabadilko hayo yameazzingatia matakwa ya klabu moja tu hiyo yote ni kwa ajili ya mapenzi ya dhati yanayotanguizwa mbele bila kuzingatia usawa (fair play) kwenye soka.

Kiufupi:- Nilikuwa pale ofisi za TFF ka shughuli binafsi hapo ndipo nikapata wasaa wa kujulishwa hili jambo na chanzo cha kuaminika.

View attachment 1892095


Mabibi & Mabwana Huyo ndio Kiongozi wa Mpira wa Bongo.
Dirisha la usajili bado halijafungwa Yanga tayari mmeshaanza malalamiko.

Acheni malalamiko mwarabu kashalipia Lodge anawasubiri.
 
Brazil, Italy, Portugal, Germany na nchi nyingi duniani zinaruhusu wachezaji kati ya watano na saba na kila mechi wageni wanaoruhusiwa kucheza ni kati ya watatu hadi watano ili kuwapa nafasi wazawa waongeze viwango. Nchi hizi soka ni biashara kubwa sana na zina mafanikio makubwa katika soka duniani. Tanzania kichwa cha MWENDAWAZIMU TUNAKURUPUKA TU!!!

Tukitoka hapa tunalalamika timu ya taifa haifanyi vizuri tunaanza kutafuta mchawi wakati wenzetu wanaweka nguvu zaidi kwa wachezaji wa ndani ili kuwapandisha viwango sisi tuko busy kuwafurahisha Simba na Yanga😆😆
 
Juzi hapa niliwapenyezea za chini ya kapeti. Wengi walinijia Inbox na kuniuliza hizo habari nimezipata wapi ila sikuwajibu.

Tetesi: - Walace Karia akubaliana na ombi la Simba SC kuongeza Idadi ya Wachezaji wa Kigeni kufikia 12

Sasa yametimia! Mabadiliko hayo ya kikanuni yamefanyika ndani ya muda mfupi zaidi ili kukamilisha mataakwa ya Klabu ya Simba baada ya kuonekana kuwa wasingeweza kufanya vyema kwenye michuano ha CAF kwa idadi ndogo ya wachezajia wa kigoni ambayo ni 10. Kilicho changia zaidi ni kuondoka kwa Miqqie & Chama, viongozi wengi wa simba waliona haana uwezo wa kuziba mapengo hayo kwa ufanizi zaidi hivyo njia pekee ni kumvutia waya Rais wa TFF na kumuelekeza abadilishe kanuni mapema ya idadi ya wachezaji wa kigeni kabla ya tarehe 15 ili kuipa nafasi Simba SC ya kuwa na chaguo la wachezaji wengi.
View attachment 1892097

Ikumbukwe, klabu kama ya Yanga SC ilizipata taarifa hizi chini kwa chini ndipo nao wakaanza mchakato wa kufanya mazungumzo na wacheza wengi zaidi. Usije kushangaa pia Yanga SC wakawa na ongezeko la ziadala wachezaji wa kigeni zaidi ya wale 10, hiyo ni kutokana na kupata taarifa hizi kupitia maofisa ndani ya TFF.

Azam FC nao haakuwa na ili waa lile, taarifa walizipata ila hawakuzichukulia kwa uzito mkubwa zaidi kwa kuwa mpango huu uliwajia kipindi ambacho walikuwa wamefunda ausajili wa wachezajai wa kigeni ka kutumia kanuni ileee ya wachezaji 10.

Kibaya zaidi hii taarifa haikuzingatia kuwa kuna timu yingine ambazo nazo zinahitaji kupewa muda wa kusajiri.

1. Kutokuwa na taarifa ka wakati sahihi zimefanya klabu kama Azam FC kutokamilisha idadi ya usajili wa wachezaji wa kigeni kulingana na kanuni mpya ya Karie.

2. Hata kama nao Yanga wakiamua kusajili muda huu basi watafanya hivyo kwa kukurupuka pasi na kua na muda wakutosha.

3. Mabadilko hayo yameazzingatia matakwa ya klabu moja tu hiyo yote ni kwa ajili ya mapenzi ya dhati yanayotanguizwa mbele bila kuzingatia usawa (fair play) kwenye soka.

Kiufupi:- Nilikuwa pale ofisi za TFF ka shughuli binafsi hapo ndipo nikapata wasaa wa kujulishwa hili jambo na chanzo cha kuaminika.

View attachment 1892095


Mabibi & Mabwana Huyo ndio Kiongozi wa Mpira wa Bongo.
Utopolo fanyeni usajili wa wachezaji sahii acheni kulialia
 
Kwasasa Simba haita wasaidia wanakurupuka tu Labda Mwakani. Safarihii Yanga wamewaweza Simba kwenye Battle ya fedha sehemu zote walizo gombea wachezaji na Simba,Yanga waliwazidi. Mfano Shabani Djuma, Ambundo, Aucho. Na ule mpango wa kuwapora wachezaji Yanga kupitia Tff swala la Morrison linachemka kule CAS. Kwaujumla Simba wamebanwa vilivyo na GSM.
 
Back
Top Bottom