lockdown

A lockdown is an emergency protocol that usually prevents people or information from leaving an area. The protocol can usually only be initiated by someone in a position of authority. Lockdowns can also be used to protect people inside a facility or, for example, a computing system, from a threat or other external event. Of buildings, a drill lockdown usually means that doors leading outside are locked such that no person may enter or exit. A full lockdown usually means that people must stay where they are and may not enter or exit a building or rooms within said building. If people are in a hallway, they should go to the nearest safe, enclosed room.

View More On Wikipedia.org
  1. funaku

    Kuhusu lockdown Rais Magufuli yupo sahihi

    Salamu wanaJF katika strategies za kupambana na COVID 19 hakuna expert duniani.kila mmoja wetu ameweza kuwa na ushauri wake ambao ni valid kwa muktadha wa uelewa,taarifa,uzoefu,elimu n.k Rais Magufuli alichagua NO LOCKDOWN ..!! Baada ya msimamo huu hata mimi big fan wa Jembe Magufuli...
  2. MakinikiA

    Virusi vya Corona: Je, nchi za Afrika zimeweza kuzuia kasi ya maambukizi?

    Virusi vya Corona: Je, nchi za Afrika zimeweza kuzuia kasi ya maambukizi? Mji wa Kigali ukirejelelea hali ya kawaida Nchi za Rwanda na Nigeria kuanzia leo Jumatatu zimeanza kulegeza masharti ya amri ya kusalia ndani kwa wananchi wake kama sehemu ya mapambano dhidi ya corona. Nchini Rwanda...
  3. Sky Eclat

    Over-50s should be kept in lockdown longer and fined if they can't prove their age when leaving house, experts claim

    PEOPLE aged over 50 should remain under lockdown for longer than younger Brits and fined if they can’t prove their age when they are out, experts claim. Researchers at the University of Warwick believe a “rolling age-release strategy” to let younger people out earlier combined with social...
  4. Maleven

    Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Uzi huu ni mrefu. Ukichangia naomba ujikite Zaidi katika kutoa maoni yako lakini kukosoa kunaruhusiwa. Binafsi nadhani maamuzi haya yangechukuliwa mwezi mmoja uliopita pale Waziri Mkuu alipotangaza kuzifunga shule na vyuo, lakini haikuwa hivyo badala yake shule zilifungwa kisha hakukuwa na...
  5. FRANC THE GREAT

    Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

    Habari! Karibu ili kujuzwa na pia kupata taarifa (masasisho) mbalimbali ya kile kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) almaarufu kama "kirusi cha Wuhan" kutoka nchini China. Katika uzi huu utapata kufahamu mambo mbalimbali hususani hali ya ongezeko na ukuaji, jitihada...
  6. Sky Eclat

    Boris Johns: lockdown inaendelea Uingereza kwa sasa

    The UK is at the moment of maximum risk in the coronavirus outbreak, Boris Johnson has said, as he urged people not to lose patience with the lockdown. Speaking outside No 10 for the first time since recovering from the virus, Mr Johnson said "we are now beginning to turn the tide" on the...
  7. W

    Kuwafungia raia yaani kitu kinachoitwa Lockdown ni kuwapa ‘DEATH MULTIPLE CHOICE’

    Na Wolle; Kwanza niseme kwenye ukweli huwa siko affiliated na chama chochote kile. Katika mijadala ya tahadhari dhidi ya Corona nimefuatilia sana wengi wakisema serikali ya Magufuli inafanya mzaha na kuhatarisha uhai wa watu. Wanaosema haya hasa ni viongozi wa Vyama Vya Upinzani na wachache...
  8. Miss Zomboko

    Afrika Kusini kulegeza masharti ya Lockdown kuanzia Mei Mosi ili kufufua uchumi wa taifa hilo

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametoa hotuba kwa njia ya televisheni akisema kuanzia tarehe 1 Mei, Afrika Kusini itapunguza hatua za zuio dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona kuwa ngazi ya nne, na kuruhusu baadhi ya biashara kufunguliwa tena. Rais Ramaphosa amesema kuna ushahidi wa...
  9. Corticopontine

    Lockdown is immunosuppressing people due lack of Vitamin D from morning Sunlight and lack of simple aerobic exercise

    While we think of the sun as yellow, the light it emits is full-spectrum light. It includes those same bright blue wavelengths of light your technical devices have, but in a much more powerful form. By exposing your eyes to this bright light early in the morning, you signal to your brain that...
  10. idawa

    Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

    Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Magufuli anatarajiwa kuzungumza mubashara na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhusu ugonjwa wa Corona kutokea Chato saa 9:45 alasiri leo tarehe 22.4.2020 -- HOTUBA YA RAIS MAGUFULI (KWA UFUPI) Rais ameshauri tuendelee kutumia njia za...
  11. Ramark

    Hakuna lockdown, Basi tuonyesheni mipango

    Wana jamvi Nilitamani niandike haya maoni yangu mapema wiki hii ya kwanza ya paska lakini nashukuru Leo nimeandika. Maambukizi yanaendelea kupaa kwa kasi tofauti na mtazamo WA awali licha ya waziri Ummy kueleza maambukizi ya ndani yameanza lkn hakutuonyesha mipango madhubuti. Pia waziri Mkuu...
  12. Corticopontine

    Cyril Ramaphosa: Lockdown in response to Corona Virus outbreak has gravely exarbeted long standing to the people

    Dear Fellow South African, Many countries around the world have imposed coronavirus lockdowns with a view to saving the lives of their citizens. We have done the same in our country, but our lockdown has revealed a very sad fault line in our society that reveals how grinding poverty, inequality...
  13. N

    Ijue tofauti kati ya Lockup na LockDown

    Wadau...wakati janga la Covid 19 likiendelea , nikiwa bado nipo karantini...limenifikisha kwenye mawazo yafuatayo kuhusu tofauti ya Lockup na Lockdown: Lockup - mahabusu/Jela 1.Ni ruhusa kutembelewa na ndugu,jamaa 2. Niruhusa kujichanganya na watu wengine humo ndani 3.kusalimiana na kwa...
  14. Magonjwa Mtambuka

    USA PROTESTERS: We don't need more Lockdowns its better to be contracted with SARS-CoV-2 than Lockdown

    Waandamanaji nchini Marekani wameingia mitaani katika majimbo kadhaa wakishinikiza magavana kufungua uchumi wa majimbo yao kwa kuondosha amri ya kutokutoka nje ama 'lockdown'. Marufuku hiyo ya kutokutoka nje imewekwa katika majombo yote ya Marekani ili kudhibiti kusambaa kwa janga la virusi vya...
  15. Corticopontine

    Brazillian President Bolsonaro Fired Health minister after implentations of strict lockdown which could harm economy

    Brazilian President Jair Bolsonaro on Thursday fired Health Minister Luiz Henrique Mandetta over disagreements about how to deal with the coronavirus outbreak. Bolsonaro has argued that lockdowns and putting restrictions on business would harm the economy. Mandetta’s dismissal follows a...
  16. Numbisa

    Lockdown yawa mateso kwa wanawake nchini ghana

  17. Pdidy

    DC Hai atengua uhamisho wa Mkuu wa Shule ya Sekondari Lyamungo, anusa harufu ya upigaji pesa ya ukarabati

    Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule. Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster. Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala...
  18. Pdidy

    Waganda wanavyoteseka na lockdown. Mh Museveni ingilia kati mtakufa waganda

    Kutokana na sheria zilizopo ukiwa na mgonjwa unaita ambulance. Now ambuulance beii zake hazishikiki kabisa. Watu wanakufa kila kona kwakukosa usafiri. Angalia mh Rais hili kama mtu hana hela anakufa nyumbani inaondoa maana ya lockdown kabisa. Inahuzunisha sanasana
  19. mulwanaka

    Rais Museveni ameongeza muda wa kukaa nyumbani kwa siku 21(lockdown)

    STAY HOME FOR MORE 21 DAYS -- President Museveni. Government has resolved to keep a 3weeks StayHome decision starting tomorrow the 15th April 2020 up to may 5th, out of 5600 tested only 54 positive thats good progress said Museveni Health workers dealing with COVID-19 patients will be given...
Back
Top Bottom