USA PROTESTERS: We don't need more Lockdowns its better to be contracted with SARS-CoV-2 than Lockdown

Magonjwa Mtambuka

JF-Expert Member
Aug 2, 2016
29,650
26,100
Waandamanaji nchini Marekani wameingia mitaani katika majimbo kadhaa wakishinikiza magavana kufungua uchumi wa majimbo yao kwa kuondosha amri ya kutokutoka nje ama 'lockdown'.

Marufuku hiyo ya kutokutoka nje imewekwa katika majombo yote ya Marekani ili kudhibiti kusambaa kwa janga la virusi vya corona, hali iliyotikisa uchumi wa taifa hilo kubwa zaidi kiuchumi duniani.

Maaandamano yameripotiwa jana Jumapili katika majimbo ya Arizona, Colorado, Montana na Washington, huku mwendelezo wa maandamano hayo ukitarajiwa leo Jumatatu.

Hasira juu ya marufuku hizo imeongezeka nchini humo huku waandamanaji wakitaka masharti yalegezwe licha ya hatari ambayo ingalipo ya maambukizi ya virusi vya corona.

Kwa sasa, Marekani ndiyo kitovu cha janga la ugonjwa wa virusi vya corona (Covid-19), kukiwa na wagonjwa zaidi ya 735,000 na vifo zaidi ya 40,000.

Hata hivyo kuna dalili kuwa maambukizi yanafikia kileleni nchini humo na kasi ya maambukizi kuanza kushuka katika baadhi ya majimbo.

Magavana katika majimbo mbalimbali wameanza majadiliano ya kufungua uchumi baada ya kushuhudiwa kupungua kwa maambukizi, lakini maeneo mengine bado yangali kwenye marufuku kali .

Gavana wa jimbo la California Gavin Newsom alikuwa wa kwanza kutoa amri ya watu kusalia nyumbani katika jimbo lenye watu wengi zaidi nchini humo toka Machi 19.

Majimbo jirani ya Washington na Oregon yakafuatia siku chache baadae na kufanya jumla ya watu milioni 11.5 wa majimbo hayo mawili kusalia ndani toka Machi 23.

Gavana wa New York Andrew Cuomo ametangaza wiki hii ametangaza kuongeza muda wa marufuku hiyo jimboni mwake mpaka kufikia Mei 15.

Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotoka nje ndio suluhu ya corona

Akizungumza jana Jumapili Cuomo aliwataka wakazi wa jimbo hilo ambalo imeathirika zaidi kwa Marekani kujitenga na shauku ya jimbo lao kufunguliwa tena.

"Bado tunatakiwa kuhakikisha kuwa tunakidhibiti kirusi hiki," amesema Cuomo. "Wakati ambao wote tukiwa na shauku na tukijiandaa kurejea katika maisha ya kawaida."

"Kwa sasa tupo tu mapumziko (baada ya kuisha kipindi cha kwanza) katika janga hili."

RaisTrump, ameonekana kuridhia maandamano hayo dhidi ya hatua kali za marufuku, akisema siku ya Ijumaa kuwa hatua zinazotekelezwa katika majimbo ya Minnesota, Michigan na Virginia "ni ngumu sana".

Hatua hizo hata hivyo zinahitajika ili kuzuia kusambaa kwa virusi.


==============

Chanzo cha habari:
Anti-lockdown crowd in Texas chants 'fire Fauci' and rally organizer in New Jersey is ARRESTED for violating stay-at-home orders as thousands ignore social distancing to protest stay-at-home orders
  • Protestors chanted 'fire Fauci' at a coronavirus lockdown rally in Austin, Texas, on Saturday
  • They were referring to Dr. Anthony Fauci, the country's top immunologist and infectious disease expert
  • Kim Pagan, of Toms River, New Jersey, was arrested for organizing the anti-lockdown rally in Trenton
  • Gov. Phil Murphy first implemented the coronavirus emergency orders last month
  • Several COVID-19 anti-lockdown protests were held by upset citizens around the United States on Friday
  • Protests happened in places like New Hampshire, Maryland, Oregon and New Jersey
  • President Trump doubled down on his tweets to 'LIBERATE' Minnesota, Michigan and Virginia
  • He told reporters at Friday's White House briefing that the Democratic governors in those three states could have gotten the same result with less restrictions
  • Trump also said the protesters, many of whom were Trump supporters, were 'treated a little bit rou
1587241696300.png

Protestors in Austin, Texas, screamed 'fire Fauci' in a targeted chant against Dr. Anthony Fauci, the country's top immunologist and infectious disease expert.

Chanzo: Daily Mail
 
Unanipangia cha kufanya au?

Hatuko America hapa Mzee tuko Tanzania,siku nyingine kama lugha inakupa shida kidogo uwe unaomba msaada wa kutafasiriwa kabla ya kupost kitu ambacho hukielewi kwa lugha yako. Hiyo video na maneno kiasi ya kuelezea hali halisi huko vilikuwa vinatosha na sio kukopi maelezo mengi na ku pest ili ionekane ni habari uliyoiandaa wewe wakati ume copy+paste.
 
Hatuko America hapa Mzee tuko Tanzania,...
Unafahamu hili ni jukwaa la habari za kimataifa, yaani "International Forum"? Nimekuwekea chanzo cha habari, lakini umechanganyikiwa hadi huoni. Ukitaka habari za Tanzania tafuta jukwaa husika.
 
Nilichangia hii kwenye uzi mwingine:

Hii itakua unpopular opinion ila nitasema ninachofikiri.

Pasi na chembe ya shaka Covid-19 ni ugonjwa hatari ila, kwa mawazo yangu, dunia nzima ime overact na jinsi ya kukabiliana na huu mlipuko.

Kinachoendelea sasa ni mashindano ya kutoa takwimu za waathirika na kutishana. Bado death rate ya corona sio ya kutisha sana kiasi cha kufanya shughuli zingine zote zisimame. Ikumbukwe watu walikua wanakufa kabla ya corona na wataendelea hata baada ya corona, it's the circle of life. Sasa kila anayefariki ni corona magonjwa mengine yote yamepotea ghafla. Hata mimi nikifa kwa corona hakuna sababu ya maisha ya wengine kusimama.

Nadhani kuchukua tahadhari tu ingetosha ila sio kusimamisha maisha ya watu juhudi ambazo hazionekani kuzaa matunda yoyote, mwishoe watu watasema potelea mbali na kurudi makazini. Dawa au chanjo ya corona isipopatikana hadi mwakani watu wataendelea kukaa ndani mwaka mzima?

Sasa bongo nao watu wanataka kila kitu kisimame sababu corona imeua watu watano toka ianze, really? I can assure you malaria imeua wengi zaidi ya hao in the last 24hrs.

According to Wikipedia, Mortality rate - Wikipedia, inakadiriwa watu laki moja na nusu hufa kila siku kwa sababu mbali mbali duniani. Sasa iweje corona iliyoua watu karibu watu laki moja na nusu kwa miezi mitatu isimamishe dunia.

www.worldometers.info/coronavirus/
Confirmed
2,173,432
Recovered
554,786
Deaths
146,291

Media nyingi zinatoa idadi ya vifo na waathrika wapya tu hawasemi wangapi wamepona. Nia ni kujazana hofu.

Come June maisha yataendelea aidha chanjo imepatikana au lah, vinginevyo we're facing economy Crashdown beyond repair. Kilichofanyika so far ni kuua sisimizi kwa nyundo.
 
A growing number of protests are being staged across the U.S. to oppose stay-at-home orders amid the coronavirus pandemic. In places like Oklahoma, Texas and Virginia, small-government groups, supporters of President Donald Trump, anti-vaccine advocates and others have united behind a deep suspicion of efforts to shut down daily life to slow the spread of the coronavirus. As their frustration grows, they've started to openly defy the social distancing rules to put pressure on governors to ease them. Some of the protests have been small events, promoted via recently created Facebook groups. Others are backed by groups with ties to Trump.

While many Americans are filled with fear, Melissa Ackison says the coronavirus pandemic has filled her with anger. The stay-at home orders are government overreach, the conservative Ohio state Senate candidate says, and the labeling of some workers as “essential” arbitrary.

“It enrages something inside of you,” said Ackison, who was among those who protested Republican Gov. Mike DeWine's orders at the statehouse in Columbus with her 10-year-old son. She has “no fear whatsoever” of contracting the virus, she said Thursday, dismissing it as hype.

The Ohio protest was among a growing number staged outside governors' mansions and state Capitols across the country. In places like Oklahoma, Texas and Virginia, small-government groups, supporters of President Donald Trump, anti-vaccine advocates, gun rights backers and supporters of right-wing causes have united behind a deep suspicion of efforts to shut down daily life to slow the spread of the coronavirus. As their frustration with life under lockdown grows, they've started to openly defy the social distancing rules in an effort to put pressure on governors to ease them.
 
Back
Top Bottom