Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,650
- 26,100
Waandamanaji nchini Marekani wameingia mitaani katika majimbo kadhaa wakishinikiza magavana kufungua uchumi wa majimbo yao kwa kuondosha amri ya kutokutoka nje ama 'lockdown'.
Marufuku hiyo ya kutokutoka nje imewekwa katika majombo yote ya Marekani ili kudhibiti kusambaa kwa janga la virusi vya corona, hali iliyotikisa uchumi wa taifa hilo kubwa zaidi kiuchumi duniani.
Maaandamano yameripotiwa jana Jumapili katika majimbo ya Arizona, Colorado, Montana na Washington, huku mwendelezo wa maandamano hayo ukitarajiwa leo Jumatatu.
Hasira juu ya marufuku hizo imeongezeka nchini humo huku waandamanaji wakitaka masharti yalegezwe licha ya hatari ambayo ingalipo ya maambukizi ya virusi vya corona.
Kwa sasa, Marekani ndiyo kitovu cha janga la ugonjwa wa virusi vya corona (Covid-19), kukiwa na wagonjwa zaidi ya 735,000 na vifo zaidi ya 40,000.
Hata hivyo kuna dalili kuwa maambukizi yanafikia kileleni nchini humo na kasi ya maambukizi kuanza kushuka katika baadhi ya majimbo.
Magavana katika majimbo mbalimbali wameanza majadiliano ya kufungua uchumi baada ya kushuhudiwa kupungua kwa maambukizi, lakini maeneo mengine bado yangali kwenye marufuku kali .
Gavana wa jimbo la California Gavin Newsom alikuwa wa kwanza kutoa amri ya watu kusalia nyumbani katika jimbo lenye watu wengi zaidi nchini humo toka Machi 19.
Majimbo jirani ya Washington na Oregon yakafuatia siku chache baadae na kufanya jumla ya watu milioni 11.5 wa majimbo hayo mawili kusalia ndani toka Machi 23.
Gavana wa New York Andrew Cuomo ametangaza wiki hii ametangaza kuongeza muda wa marufuku hiyo jimboni mwake mpaka kufikia Mei 15.
Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotoka nje ndio suluhu ya corona
Akizungumza jana Jumapili Cuomo aliwataka wakazi wa jimbo hilo ambalo imeathirika zaidi kwa Marekani kujitenga na shauku ya jimbo lao kufunguliwa tena.
"Bado tunatakiwa kuhakikisha kuwa tunakidhibiti kirusi hiki," amesema Cuomo. "Wakati ambao wote tukiwa na shauku na tukijiandaa kurejea katika maisha ya kawaida."
"Kwa sasa tupo tu mapumziko (baada ya kuisha kipindi cha kwanza) katika janga hili."
RaisTrump, ameonekana kuridhia maandamano hayo dhidi ya hatua kali za marufuku, akisema siku ya Ijumaa kuwa hatua zinazotekelezwa katika majimbo ya Minnesota, Michigan na Virginia "ni ngumu sana".
Hatua hizo hata hivyo zinahitajika ili kuzuia kusambaa kwa virusi.
==============
Chanzo cha habari:
Anti-lockdown crowd in Texas chants 'fire Fauci' and rally organizer in New Jersey is ARRESTED for violating stay-at-home orders as thousands ignore social distancing to protest stay-at-home orders
Protestors in Austin, Texas, screamed 'fire Fauci' in a targeted chant against Dr. Anthony Fauci, the country's top immunologist and infectious disease expert.
Chanzo: Daily Mail
Marufuku hiyo ya kutokutoka nje imewekwa katika majombo yote ya Marekani ili kudhibiti kusambaa kwa janga la virusi vya corona, hali iliyotikisa uchumi wa taifa hilo kubwa zaidi kiuchumi duniani.
Maaandamano yameripotiwa jana Jumapili katika majimbo ya Arizona, Colorado, Montana na Washington, huku mwendelezo wa maandamano hayo ukitarajiwa leo Jumatatu.
Hasira juu ya marufuku hizo imeongezeka nchini humo huku waandamanaji wakitaka masharti yalegezwe licha ya hatari ambayo ingalipo ya maambukizi ya virusi vya corona.
Kwa sasa, Marekani ndiyo kitovu cha janga la ugonjwa wa virusi vya corona (Covid-19), kukiwa na wagonjwa zaidi ya 735,000 na vifo zaidi ya 40,000.
Hata hivyo kuna dalili kuwa maambukizi yanafikia kileleni nchini humo na kasi ya maambukizi kuanza kushuka katika baadhi ya majimbo.
Magavana katika majimbo mbalimbali wameanza majadiliano ya kufungua uchumi baada ya kushuhudiwa kupungua kwa maambukizi, lakini maeneo mengine bado yangali kwenye marufuku kali .
Gavana wa jimbo la California Gavin Newsom alikuwa wa kwanza kutoa amri ya watu kusalia nyumbani katika jimbo lenye watu wengi zaidi nchini humo toka Machi 19.
Majimbo jirani ya Washington na Oregon yakafuatia siku chache baadae na kufanya jumla ya watu milioni 11.5 wa majimbo hayo mawili kusalia ndani toka Machi 23.
Gavana wa New York Andrew Cuomo ametangaza wiki hii ametangaza kuongeza muda wa marufuku hiyo jimboni mwake mpaka kufikia Mei 15.
Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotoka nje ndio suluhu ya corona
Akizungumza jana Jumapili Cuomo aliwataka wakazi wa jimbo hilo ambalo imeathirika zaidi kwa Marekani kujitenga na shauku ya jimbo lao kufunguliwa tena.
"Bado tunatakiwa kuhakikisha kuwa tunakidhibiti kirusi hiki," amesema Cuomo. "Wakati ambao wote tukiwa na shauku na tukijiandaa kurejea katika maisha ya kawaida."
"Kwa sasa tupo tu mapumziko (baada ya kuisha kipindi cha kwanza) katika janga hili."
RaisTrump, ameonekana kuridhia maandamano hayo dhidi ya hatua kali za marufuku, akisema siku ya Ijumaa kuwa hatua zinazotekelezwa katika majimbo ya Minnesota, Michigan na Virginia "ni ngumu sana".
Hatua hizo hata hivyo zinahitajika ili kuzuia kusambaa kwa virusi.
==============
Chanzo cha habari:
Anti-lockdown crowd in Texas chants 'fire Fauci' and rally organizer in New Jersey is ARRESTED for violating stay-at-home orders as thousands ignore social distancing to protest stay-at-home orders
- Protestors chanted 'fire Fauci' at a coronavirus lockdown rally in Austin, Texas, on Saturday
- They were referring to Dr. Anthony Fauci, the country's top immunologist and infectious disease expert
- Kim Pagan, of Toms River, New Jersey, was arrested for organizing the anti-lockdown rally in Trenton
- Gov. Phil Murphy first implemented the coronavirus emergency orders last month
- Several COVID-19 anti-lockdown protests were held by upset citizens around the United States on Friday
- Protests happened in places like New Hampshire, Maryland, Oregon and New Jersey
- President Trump doubled down on his tweets to 'LIBERATE' Minnesota, Michigan and Virginia
- He told reporters at Friday's White House briefing that the Democratic governors in those three states could have gotten the same result with less restrictions
- Trump also said the protesters, many of whom were Trump supporters, were 'treated a little bit rou
Protestors in Austin, Texas, screamed 'fire Fauci' in a targeted chant against Dr. Anthony Fauci, the country's top immunologist and infectious disease expert.
Chanzo: Daily Mail