lockdown

A lockdown is an emergency protocol that usually prevents people or information from leaving an area. The protocol can usually only be initiated by someone in a position of authority. Lockdowns can also be used to protect people inside a facility or, for example, a computing system, from a threat or other external event. Of buildings, a drill lockdown usually means that doors leading outside are locked such that no person may enter or exit. A full lockdown usually means that people must stay where they are and may not enter or exit a building or rooms within said building. If people are in a hallway, they should go to the nearest safe, enclosed room.

View More On Wikipedia.org
  1. Pdidy

    JamiiForums Tanzania DC Hai atengua uhamisho wa Mkuu wa Shule ya Sekondari Lyamungo, anusa harufu ya upigaji pesa ya ukarabati

    Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule. Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster. Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala...
  2. Pdidy

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Waganda wanavyoteseka na lockdown. Mh Museveni ingilia kati mtakufa waganda

    Kutokana na sheria zilizopo ukiwa na mgonjwa unaita ambulance. Now ambuulance beii zake hazishikiki kabisa. Watu wanakufa kila kona kwakukosa usafiri. Angalia mh Rais hili kama mtu hana hela anakufa nyumbani inaondoa maana ya lockdown kabisa. Inahuzunisha sanasana
  3. mulwanaka

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Rais Museveni ameongeza muda wa kukaa nyumbani kwa siku 21(lockdown)

    STAY HOME FOR MORE 21 DAYS -- President Museveni. Government has resolved to keep a 3weeks StayHome decision starting tomorrow the 15th April 2020 up to may 5th, out of 5600 tested only 54 positive thats good progress said Museveni Health workers dealing with COVID-19 patients will be given...
  4. carcinoma

    JamiiForums Tanzania Maoni ya Director General wa WHO kuhusu lockdown kwa nchi masikini kama Tanzania

    Habari za mida hii wakuu. Kufuatana na janga hili la ugonjwa wa COVID 19 unaosababishwa na kirusi cha corona, Kumekuwa na mjadala kuhusu lockdown ya nchi nzima ambapo baadhi ya watu wanamtaka Rais wa nchi aidhinishe total lockdown. Na wengine wakitaka hali iwe hivi hivi ilivyo. Ninadeclear...
  5. Richard

    JamiiForums Tanzania Spain relaxes lockdown rules non- essential workers are allowed back to work to keep the economy going

    Passengers keep social distance as they ride the metro Some non-essential workers in Spain are returning to their jobs as lockdown restrictions are beginning to relax. However, the wider lockdown will still be in place across the country. Spain the most affected country in...
  6. mike2k

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuiweka Dar es Salaam kwenye “lockdown” ni sasa

    Tunaelewa umuhimu wa jiji la Dar es Salaam katika maisha ya Watanzania na nchi jirani. lakini kwenye hili suala la corona hakuna kuzubaa tena. Mamlaka husika iweke utaratibu mzuri wa kulibana hili jiji ili kuzuia na kupunguza kabisa kasi ya usambaaji wa covid19. KWANINI NIMEWAZA HIVYO...
  7. Mimtamu

    JamiiForums Tanzania Msaada: Vyakula vya kutunza wakati wa majanga

    Habari wakuu, Moja kwa moja nijielekeze kwenye hoja ya msingi. Nahitaji elimu itakayotufaa kipindi hiki cha kujihami na janga la COVID-19. Je, ni vyakula gani tunapaswa kuhifadhi ili visaidie kwa kipindi kirefu zaidi tutapokuwa majumbani kwetu. Kwa kuongezea pia ni vitu gani muhimu kuwa navyo...
Back
Top Bottom