A lockdown is an emergency protocol that usually prevents people or information from leaving an area. The protocol can usually only be initiated by someone in a position of authority. Lockdowns can also be used to protect people inside a facility or, for example, a computing system, from a threat or other external event. Of buildings, a drill lockdown usually means that doors leading outside are locked such that no person may enter or exit. A full lockdown usually means that people must stay where they are and may not enter or exit a building or rooms within said building. If people are in a hallway, they should go to the nearest safe, enclosed room.
Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule.
Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster.
Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala...
Kutokana na sheria zilizopo ukiwa na mgonjwa unaita ambulance. Now ambuulance beii zake hazishikiki kabisa.
Watu wanakufa kila kona kwakukosa usafiri. Angalia mh Rais hili kama mtu hana hela anakufa nyumbani inaondoa maana ya lockdown kabisa.
Inahuzunisha sanasana
STAY HOME FOR MORE 21 DAYS -- President Museveni.
Government has resolved to keep a 3weeks StayHome decision starting tomorrow the 15th April 2020 up to may 5th, out of 5600 tested only 54 positive thats good progress said Museveni
Health workers dealing with COVID-19 patients will be given...
Habari za mida hii wakuu.
Kufuatana na janga hili la ugonjwa wa COVID 19 unaosababishwa na kirusi cha corona,
Kumekuwa na mjadala kuhusu lockdown ya nchi nzima ambapo baadhi ya watu wanamtaka Rais wa nchi aidhinishe total lockdown.
Na wengine wakitaka hali iwe hivi hivi ilivyo.
Ninadeclear...
Passengers keep social distance as they ride the metro
Some non-essential workers in Spain are returning to their jobs as lockdown restrictions are beginning to relax.
However, the wider lockdown will still be in place across the country.
Spain the most affected country in...
Tunaelewa umuhimu wa jiji la Dar es Salaam katika maisha ya Watanzania na nchi jirani. lakini kwenye hili suala la corona hakuna kuzubaa tena. Mamlaka husika iweke utaratibu mzuri wa kulibana hili jiji ili kuzuia na kupunguza kabisa kasi ya usambaaji wa covid19.
KWANINI NIMEWAZA HIVYO...
Habari wakuu,
Moja kwa moja nijielekeze kwenye hoja ya msingi. Nahitaji elimu itakayotufaa kipindi hiki cha kujihami na janga la COVID-19.
Je, ni vyakula gani tunapaswa kuhifadhi ili visaidie kwa kipindi kirefu zaidi tutapokuwa majumbani kwetu.
Kwa kuongezea pia ni vitu gani muhimu kuwa navyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.