lini

Linyi (simplified Chinese: 临沂; traditional Chinese: 臨沂; pinyin: Línyí) is a prefecture-level city in the south of Shandong province, China. As of 2011, Linyi is the largest prefecture-level city in Shandong, both by area and population, Linyi borders Rizhao to the east, Weifang to the northeast, Zibo to the north, Tai'an to the northwest, Jining to the west, Zaozhuang to the southwest, and the province of Jiangsu to the south. The name of the city Linyi (临沂) literally means "close to the Yi River".
The city recently expanded along the Yi River to Nanfang, now called the Beicheng New Area, under the slogan "Grand Linyi, Beautiful Linyi, New Linyi". Multiple recreational parks were built, along with new school campuses etc. The development is a consequence of a series of governmental projects, including relocate the city government, which is expected to stimulate the economy.
The population was 11,018,365 at the 2020 census, of which 3,651,868 lived in the built-up area made up of Lanshan District, Luozhuang District and Hedong District, as well as Linyi National Hi-Tech Zone.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wa Mtandaoni watamwelewa lini Dr. Lwaitama?

    CHADEMA kama ilivyo Kwa vyama vingine imesheheni wajumbe hadi wa mitandaoni. Ukweli mchungu Kuna Hawa wenzetu wa mitandaoni wenye kukaza bongo almaarufu kubadili bongo na kupania maembe: Kulikoni ndugu zetu ya Dr. Lwaitama kutambua umoja ni nguvu utengamano ni udhaifu yana kutokuwa yana...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Watanzania tutabadilika lini?

    Habari ya weekend na simba day kwenu wote? Watanzania ifike mahali tubadilike,kuna vitu kwa binadamu kuvishangaa mtu akikuuliza unaonekana ni ushamba na kutojitambua kabisa. Iko hivi,leo nilidamka mapema kwenda k/koo. Sasa kabla ya kutoka ikabidi ninywe pepsi ili kuweka koo sawa Nimefika kule...
  3. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Mara yako ya mwisho kuangalia movie za kihindi ilikuwa lini?

    Me mara yangu ya mwisho kuangalia movie za kihindi ni mwaka 2017 ilikuwa movie moja hivi inaitwa 'Shanklaj' Kwenye hii movie bana starling alipiga teke tembo, hadi tembo ikapaa, nikasema sitokaa tena niangalie Hindi movies. wewe kwa upande wako ilikuwa lini? au bado unatazama.
  4. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Hivi Kajala na Jonas Mkude watafanya mapenzi yao ya siri mpaka lini?

    Kajala na Jonas wanajisumbua tu kujificha na penzi lao la wizi wizi . Hilo penzi lao watu tunalijua kitambo wenyewe eti wanadhani wanafanya siri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Halafu mbaya zaidi Kajala alianza ku date na Mkude kipindi ambacho yupo na Harmonize ,halafu sasa Harmonize na Mkude walikuwa ni mabest ...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Interview ya TRA ni lini?

    Wadau interview ya TRA lini? kwa tangazo la ajira lililotanganzwa June 2023:mad:
  6. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Serikali ituambie sasa ni lini na wapi zabuni ya uwekezaji wa bandari ilifanyika?

    Profesa Makame Mbarawa amekuwa akisema DP world ilipewa mkataba wa bandari kwa kuwa ilishinda kwenye kuomba zabuni ya uwekezaji wa Bandari (akidai ikizishinda kampuni zingine saba) na wakati huo huo document za mikataba ambazo zimetiwa saini na Professor Mbarawa huyo huyo zinaonyesha DP world...
  7. MIXOLOGIST

    JamiiForums Tanzania Ni lini sisi wavuvi na wafugaji tutathaminiwa na kupewa siku yetu ya mapumziko?

    Naandika kwa masikitiko makuu juu ya ubaguzi huu wa wazi wazi. Wafanyakazi tulipumzika mei mosi, leo ni sikukuu ya wachuuzi tunapumzika, tarehe 8 August tutapumzika kwaajili ya wakulima, ni lini sisi wavuvi na wafugaji tutathaminiwa? Hili jambo liingie kwenye Katiba mpya.
  8. BakalemwaTz

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya kidato cha sita 2023/2024 yanatoka lini?

    Je na wewe unajiuliza juu ya tarehe ya kutoka Matokeo ya kidato cha sita 2023? Kumekua na maswali Mengi juu ya kutoka kwa matokeo ya mtihani wa kidato cha sita mwaka huu 2023. Kidato cha sita walifanya mtihani wao mapema mno mwanzoni mwa mwezi tano. Kwa mwaka jana matokeo yalitoka tarehe 05...
  9. kali linux

    JamiiForums Tanzania Android Developers wa bank ya NMB, huu uoga mmeanza lini?

    Hello bosses and roses.... "Security by obscurity" is for cowards, kwa sababu inaprove kwamba kuna loopholes nyingi na rahisi kupatikana kwenye hio system endapo nitajua au kuweza kufikia ulichokificha. Nikiwa nafanya security audit yoyote ile nikagundua developer ametumia sana 'secrecy' kwenye...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Ni lini Marekani itaacha mchezo wa kigeugeu?

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani Patrick Ryder hivi majuzi alisema imethibitishwa kuwa puto lililogunduliwa miezi minne iliyopita "halikukusanya taarifa za kijasusi wakati wa safari yake kwenye anga za Marekani." Mara tu taarifa hii kutolewa, vyombo vya habari vya Marekani vilijitokeza...
  11. JET SALLI

    JamiiForums Tanzania Ni lini serikali itaweka Rami barabara ya Mlowo kwenda Kamsamba eneo lenye uchumi mzuri

    Ninaamini viongozi wengi mnapita humu Jamii Forums, naamini hata mbunge wa eneo hili la Mbozi anasoma humu. Nimepita barabara hii wiki iliyopita na kufanya utafiti na nikagundua kwamba barabara hii iko busy muda wote, ila haijatendewa haki, na sijasikia mbunge wa eneo hili akiizungumzia...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Hamad Masauni: Kamera zenye Mfumo wa utambuzi wa Sura kufungwa Dar es Salaam, Arusha na Dodoma

    Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 35 leo Mei 29, 2023. Ufungaji wa kamera za Ulinzi Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Hamad Masauni amesema Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi limekamilisha mradi wa ujenzi wa mji salama utakaotumia kamera zenye mfumo wa...
  13. Extrovert

    JamiiForums Tanzania Utekelezaji wa haya yaliotajwa kwenye Ripoti ya Bajeti yanaanza lini?

    1. Magari ya umeme kuwa 0% taxed. 2. Gari za 2000cc au chini kuchajiwa 5% ya CIF tu kama ushuru. 3. Gari za zaidi ya 2000cc kupigwa ushuru wa 10%. Je, haya yatekelezeka kweli au ndio kiki za kisiasa tu?
  14. Amina68

    JamiiForums Tanzania Tarehe ya kuripoti waajiriwa wapya kada ya Ualimu na afya ni lini?

    Amina anuliza Tarehe ya kureport lini kwa waajiriwa wapya,UALIMU na afya? Pia anaulizia ,Afisa lishe na ustawi wa JAMII wanalipwa tshs ngapi? Je Kuna marupurupu?
  15. Gulio Tanzania

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa vodacom mwisho lini kuwaibia watumiaji wake

    Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu huu mtandao kuibia watumiaji wake lakini hatuoni maboresho yoyote mimi leo nimelazimika kuandika uzi sababu nimeibiwa salio langu la tsh 300 na huu mtandao baada ya kujaza vocha wananitumia sms umekatwa sh 300 baada ya kujiunga na huduma ya "chekecha mkwanja "...
  16. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Tukishasahaulika sasa tutakumbukwa lini?

    Na Maundu Mwingizi Mwalimu wa Fasihi na muandishi wa vitabu. Waswahili hunena, ukiwa na jambo unalopaswa kusema, kunyamaza ni sawa na kudanganya. Tangu nilipomaliza kutazama hafla ya Uzinduzi wa Ikulu mpya ya Chamwino, jijini Dodoma, nimejaribu kujizuia kusema chochote, lakini nahisi dukuduku...
  17. Rwaz

    JamiiForums Tanzania Nikumbushen: Show ya Wanamuziki wa Dansi wa DRC na Tanzania kusherehekea uhuru wao ni lini na wapi Dar?

    nawasalimia kwa jina la Muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo. Nisiwachoshe. maana tayar mna uchovu wa mpambano wa kitaifa kati ya serkali na kanuni ngumu za kodi vs wafanyabiashara wanaokwepa kodi kwa kuuzia mizigo stoo bila risit. Niliona kwenye tv maandalizi ya show kubwa ya dansi...
  18. B

    JamiiForums Tanzania Je watanzania tunahitaji nini? tunafikiria na kuwaza nini? nini hatma ya nchi yetu kama mali tunazo, ardhi tunayo, je ni lini tutaondoka na kero.

    Kero kama maji, umeme, afya, elimu, ujinga na umasikini, lini tutaweza kuwa na umoja na ushikamano katika kujenga nchi, kutoa ubinafs kwa walio na nafasi, kujitegemea kupitia rasilimali zetu tulizonazo, kukataa rushwa na kutenda haki, je tunahitaji nini kama nchi ili tuweze kusonga mbele.
  19. R

    JamiiForums Tanzania Lini Watanzania watajijengea utaratibu wakujiuzulu?

    Unaongoza watu, unaowaongoza wanakukataa adharani. Unaendelea kubaki ofisini ukisubiri hadi utumbuliwe kwa faida ya nani? Nchi zilizo serious ukilalamikiwa tu unakaa pembeni kwetu unang'ang'ana na ofisi for what....
  20. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Ni lini Traffic Police watatumia akili? Maamuzi kama haya ni ya kipumbavu

    Tumetoka Dar Shekilango saa 11 alfajiri na Bus la Kampuni ya New Force No. T 236 EBK kuelekea Mbeya. Tumefika Msolwa tumesimamishwa na askari kuwa Kuna msafara wa makamu wa raisi. Tumesimama hadi saa mbili na dakika kadhaa. Tumeondoka muda magari yakawa mengi, malori, mabasi na magari binafsi...
Back
Top Bottom