Kero hii ya foleni Bandarini kwa abiria wanaotokea Zanzibar itaisha lini?

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Mamlaka husika piteni hapo Bandarini abiria wanaotoka Zanzibar wanakutana na kero ya kukaa kwenye foleni kwa muda mrefu sana hadi inakera.

Hali hii imekuwa ikitokea mara nyingi lakini nimeona niseme ili kama ujumbe huu utawafikia mamlaka basi wabadilishe mbinu na ikiwezekana wachukue hatua.

Mizigo ya abiria inakaguliwa wakati wa kutoka Unguja, ukifika Bandari ya Dar napo ukaguzi unachukua muda kwa kuwa unalazimika kupanga foleni ili mizigo ipote kwenye mashine, sijui kwa nini hawana utaratibu mzuri wa kurahisisha mambo, angalia hivyo video niliyoirekodi kwa ufupi juzi.

Najua watu hawakatai kukaguliwa mizigo, ila utaratibu ni mbovu.
 
Mamlaka husika piteni hapo Bandarini abiria wanaotoka Zanzibar wanakutana na kero ya kukaa kwenye foleni kwa muda mrefu sana hadi inakera.

Hali hii imekuwa ikitokea mara nyingi lakini nimeona niseme ili kama ujumbe huu utawafikia mamlaka basi wabadilishe mbinu na ikiwezekana wachukue hatua.

Mizigo ya abiria inakaguliwa wakati wa kutoka Unguja, ukifika Bandari ya Dar napo ukaguzi unachukua muda kwa kuwa unalazimika kupanga foleni ili mizigo ipote kwenye mashine, sijui kwa nini hawana utaratibu mzuri wa kurahisisha mambo, angalia hivyo video niliyoirekodi kwa ufupi juzi.

Najua watu hawakatai kukaguliwa mizigo, ila utaratibu ni mbovu.
DP World wataimaliza.
 
Mamlaka husika piteni hapo Bandarini abiria wanaotoka Zanzibar wanakutana na kero ya kukaa kwenye foleni kwa muda mrefu sana hadi inakera.

Hali hii imekuwa ikitokea mara nyingi lakini nimeona niseme ili kama ujumbe huu utawafikia mamlaka basi wabadilishe mbinu na ikiwezekana wachukue hatua.

Mizigo ya abiria inakaguliwa wakati wa kutoka Unguja, ukifika Bandari ya Dar napo ukaguzi unachukua muda kwa kuwa unalazimika kupanga foleni ili mizigo ipote kwenye mashine, sijui kwa nini hawana utaratibu mzuri wa kurahisisha mambo, angalia hivyo video niliyoirekodi kwa ufupi juzi.

Najua watu hawakatai kukaguliwa mizigo, ila utaratibu ni mbovu.
Tunakwenda anticlockwise, wakati wenzetu nchi za scandinavia walishaondokana na mambo ya kukaguana mipakani sisi ndiyo kwanza tunaanza
 
Mamlaka husika piteni hapo Bandarini abiria wanaotoka Zanzibar wanakutana na kero ya kukaa kwenye foleni kwa muda mrefu sana hadi inakera.

Hali hii imekuwa ikitokea mara nyingi lakini nimeona niseme ili kama ujumbe huu utawafikia mamlaka basi wabadilishe mbinu na ikiwezekana wachukue hatua.

Mizigo ya abiria inakaguliwa wakati wa kutoka Unguja, ukifika Bandari ya Dar napo ukaguzi unachukua muda kwa kuwa unalazimika kupanga foleni ili mizigo ipote kwenye mashine, sijui kwa nini hawana utaratibu mzuri wa kurahisisha mambo, angalia hivyo video niliyoirekodi kwa ufupi juzi.

Najua watu hawakatai kukaguliwa mizigo, ila utaratibu ni mbovu.
...SI Wanatoka 'Nchi ' nyingine ? Foleni kama Kawa... !!
 
Mamlaka husika piteni hapo Bandarini abiria wanaotoka Zanzibar wanakutana na kero ya kukaa kwenye foleni kwa muda mrefu sana hadi inakera.

Hali hii imekuwa ikitokea mara nyingi lakini nimeona niseme ili kama ujumbe huu utawafikia mamlaka basi wabadilishe mbinu na ikiwezekana wachukue hatua.

Mizigo ya abiria inakaguliwa wakati wa kutoka Unguja, ukifika Bandari ya Dar napo ukaguzi unachukua muda kwa kuwa unalazimika kupanga foleni ili mizigo ipote kwenye mashine, sijui kwa nini hawana utaratibu mzuri wa kurahisisha mambo, angalia hivyo video niliyoirekodi kwa ufupi juzi.

Najua watu hawakatai kukaguliwa mizigo, ila utaratibu ni mbovu.
Tunakujua unataka kumchafua Dkt Samia. Huwa hakuna foleni hapo.
 
Inabidi ijengwe bandari nyingine Bagamoyo au msasani hii ya sasa ipo katikati ya mji parking ni shida na yakizamani mnoo..
 
Tunakujua unataka kumchafua Dkt Samia. Huwa hakuna foleni hapo.
Miundo mbinu ya pale ni ya kizamani mnoo... Either ijengwe terminal mpya au tuhamishe bagamoyo tujenge ya kisasa zaidi .. bagamoyo na DAR ni pua na mdomo
 
Naunga mkono hoja
Alafu eneo la kutembea abiria ni kauchochoro kama.njia ya kupita mbuzi..hivi mamlaka hazioni hii aibu? As if watu wanasafiri bure..bora hata upande wa zanzibar ila kwa Dsm Pamebanana sana.
 
Huo ugumu upo dunia nzima, unapotoka nchi moja kwenda ingine! Wazoee
 
Back
Top Bottom