laptop

  1. ze future

    Msaada: Laptop yangu inakataa kuconnect na internet

    Habari yako, PC yangu kwa muda sasa kila nikijaribu kuconect internet kupitia simu yangu inasema "Limited" na status yake inasema "unidentified network" na "no internet access", natumia windows 8. Nimekuja hapa kuomba msaada wenu wa jinsi ya kulitatua tatizo hili.
  2. G

    Computer4Sale HP Laptop inauzwa laki moja na nusu

    HP Laptop min 1104 inauzwa dual core hardisk 160 inch 10 RAM 2GB ipo na charger yake ni laki 150 tu mtu anashida tatizo la pc ni keyboard tu na keyboard ni elfu 30 wanauza karibuni sana nipo Dar Mbezi ya Kimara 0656804462
  3. IT MAN

    Nanunua Laptop Mbovu

    Kama una Laptop mbovu lete nikupe pesa.Bei inategemea na ubovu, Specs na Muonekano. Machinga Complex Karume DSM, 2nd floor D3(4-6) 0736883363
  4. Samaki Nchanga

    Msaada kwa wajuzi wa Laptop

    Kuna PC yang HP Elitebook ile ya Fingerprint ina muda sijaitumia. Sasa juzi naiwasha inawaka vizuri kabisa tatizo ni keypads mpaka ulong press ndo inakubali yani ukibonya keypad inapiga kimlio flani hivi mpaka ubonyeze bila kuachia ndo herufi ina respond. Je, yaweza kuwa tatizo window nibadili...
  5. M

    Naomba usaidizi wa Matumizi ya WhatsApp kwenye Laptops

    Wakuu habari ya uzima na poleni na majukumu yenu ya kila siku, Wakuu nataka kuanza kutumia whatsapp version kwenye laptop yangu badala ya simu, Je kuna mwanajukwaa ambaye alishawahi kutumia apps ya whatsappp kwenye laptop? alifanyaje? Asanteni. 🙏
  6. M

    INAUZWA Nauza laptop HP

    Wadau habari za Asubuhi, kama nilivyoeleza hapo juu nauza laptop yangu kwa tsh 400,000 ni mpya kabisa aliyotayari anichecki kwa namba ni 0673167251 specifications zake nimeattached. Karibuni.
  7. Dr. Zaganza

    Computer4Sale Zijue na jipatie computer za bei nafuu zinazokidhi mahitaji yako

    Drone Computer tumekuwa kwa muda mrefu tunawashauri watanzania juu ya elimu ya vitu vya ki-electronics hususani computer ikiwemo mambo ya kuzingatia kabla ya kununua, vitu vya kufanya na vitu vya kuepuka ili kifaa chako kidumu kwa muda mrefu n.k. Na leo tunakuletea elimu ya computer zainazotosha...
  8. L

    HP Laptop 1Tb inauzwa 350000/=

    Habari wadau, nauza laptop Aina ya HP Specifications Hard disc 1TB Ram 8gb Processor 2.0ghz Core i 3 DVD /CD rwr BEI Tsh 350000/= Mawasiliano 0783696253 Haina tatizo lolote
  9. J

    Laptop za laki 2 na nusu zimewasili

    Wale woote wanaohitaji laptop za kuanzia laki mbili na nusu, zimekuja zipo pc 3 Sifa zake ni: hdd 80,ram 2gb,3 hours battery, warranty one year, bei tzs 250,000 Tupo Kariakoo , pia tuna tawi mbezi mwisho stand. Pia unaletewa ulipo Dar es salaam na mikoani tunatuma. Piga :0713 03 98 75 kuwahi...
  10. V

    Msaada hp laptop inasumbua their three issues to be solved

    Jamani naomba mnisaidie matatizo haya kwe HP laptop 1. cursor inaganda na kutembea hovyo kwenye monitor kila nikichomeka adapter kuchaji hivyo inanilazimu kuchaji ndio nitumie tatizo limeanza baada kuharibika adapter ya mwazo hii mpya inasumbua 2. Microsoft office app zangu ikifungua...
  11. Alex Gk

    Msaada: Laptop Screen Record

    Wana JF, natanguliza shukrani za dhati kwenu. Pia, tuzidi kumuomba Mungu kwa kipindi hiki kizito tunachopitia #Covid19 MADA Kama ilivyo ainishwa hapo juu, nina tatizo la kufanya screen recording katika PC yangu. Nimejaribu kutumia software ya CAMTASIA 2018; shida ni kwamba PC inakuwa nzito ku...
  12. Dr. Zaganza

    Computer4Sale Laptop zinauzwa kwa bei nafuu sana

    Tuna ofa ya laptop mpya kwa Africa, used in u.S.A, bei zipo ofa toka laki 4 kwa wikiendi hii tunauza laki 3 tu. Sifa zake: hard disc 320GB, RAM 4GB, ina camera, 3 hours battery na inasupport wifi ya simu kwa internet na warranty one year. Tupo kariakoo jirani na china plaza. Unaletewa ulipo. Pia...
  13. Mukulu wa Bakulu

    Je naweza kutumia charger (adapter) USB Type-C ya laptop kuchajia simu?

    Nina laptop unayotumia adapter ya USB type C na simu ya charger ya USB type C. Sasa naomba kuuliza je naweza kutumia hii adapter laptop kuchhaji simu? Kuna siku nilijaribu ila ofisini pale mtu mmoja akanitisha kua nitaua simu au itaungua ingawa alienipa tahadhari sio mtaalamu wa mambo ya umeme...
  14. Samedi Amba

    Natafuta Laptop Charger (Samsung NP300e5z)

    Habari wanajamvi, Natafuta laptop charger tajwa hapo juu. Zingatia zifuatazo: 1. Laptop Charger iwe mpya 2. Nitajie bei inbox (PM) 3. Risiti iwe ya EFD kwa kuwa nanunua kwa ajili ya taasisi The sooner the better. Jioni njema
  15. Android

    Ajira ya online: Unaweza kuandika Kiingereza, unayo laptop au computer na unayo access ya internet?

    Utangulizi Ni kampuni ndogo ya IT inayojishughulisha na ku manage website na ku manage kurasa za mitandao ya kijamii ya makampuni na watu binafsi, hivyo tunahitaji kuongeza watu zaidi kwenye timu yetu kwa ajili ya kutusaidia shughuli za kila siku. Ajira Wanahitajika watu wanne kwa ajili ya...
  16. dvj nasmiletz

    F2 haifanyi kazi katika dell laptop japo button haina shida yoyote

    Nataka niingie katika boot setup ya laptop yangu..lakini kila niikiwasha na ku press F2 au del ili niingie setup option hairespond chochote.nimejaribu kutumia keyboard ya nje napo holaa..nifanyaje wakuu ili niingie kwenye bios setup? Lengo langu ni kuselect boot option iwe kwenye usb drive...
  17. Dr. Zaganza

    Tunawakodishia Laptop kwa miradi ya muda mfupi

    Habari wakuu Baada ya maombi ya muda mrefu, Drone Computers tumeamua kuanza kukodisha laptop kwa watu wanaofanya miradi ya muda mfupi kuanzia miezi 3 na kuendelea. Aidha kila laptop italipiwa pesa ya tahadhari kufidia uharibifu endapo utajitokeza au upotevu wa laptop. Kiasi hiki kitarudishwa...
  18. crusader_jr

    Computer4Sale Laptop inauzwa(HP)

    Wakuu baada ya mods kuficha uzi wangu kisa hauna picha nimerudi tena maana mda ule tatizo ni kua freebasics iligoma kuapload picha Sifa za laptop ni zofuatazo Model:HP G2 X360 128ssd storage Processor: intel celeron n series 1.6ghz 4gb ram OS:Windows 10 pro 64 bit Battery 5hrs of excesive usage...
  19. Mkwala

    Msaada Laptop yangu haisomi Printer nikifungua PDF na Excel file kutoa nakala ngumu

    Wasalaam, Nimepata changamoto kuna laptop imekuwa ikitumika, lakini changamoto nimeikuta ni kuwa nikijaribu kuprint document iliyo kwenye PDF &Excel inashindwa kusoma printer zilizopo. Nimejaribu kuprint kwa Word document yenyewe haina tatizo. Je, kuna shida ipi inayopelekea PDF na Excel file...
  20. jebs2002

    Used Acer Laptop for sale

    Used Acer laptop for sale 250,000/= 2 Laptop speakers Intel(R) Core(TM) i5 CPU M 480 @2.67GHz RAM : 6.00 GB System Type ; 64 - Bit Operating system, x64-based processor WINDOWS SPECIFICATIONS Edition : Windows 10 Home Version : 1803 Installed on : 20/07/2018 OS bild : 17134.1006 FAULTS Laptop...
Back
Top Bottom