nauza SSD mpya zenye ukubwa wa GB 240 kwa ajili ya laptop na desktop, SSD hizi ni brand ya kingston (A400) unafungua mwenyewe zipo sealed na hazijawahi kutumika. hii model imetoka amazon na sasa hivi ndio ssd inayouzika kwa sana Duniani, kwa wale wanaotaka kuhama toka HDD. unaweza kuiangalia zaidi hapa
Amazon product ASIN B01N5IB20Q
kwa wasiofahamu SSD ni replacement ya Hard disk, zinaongeza speed ya computer mara 10 ama zaidi, ukiwasha computer inawaka ndani ya sekunde 10 na kufungua programs hakuchukui muda, hata kama una laptop ya kizamani ya core 2 duo, ssd inaweza kuifanya iwe faster zaidi.
bei ni 120,000 na unaweza wasiliana na mimi kupitia 0756 853285
pia kama haupo mbali na dar es salaam mjini naweza kukufanyia free installation kwa kui clone hdd yako na kuihamishia kwenye ssd.
Amazon product ASIN B01N5IB20Q
kwa wasiofahamu SSD ni replacement ya Hard disk, zinaongeza speed ya computer mara 10 ama zaidi, ukiwasha computer inawaka ndani ya sekunde 10 na kufungua programs hakuchukui muda, hata kama una laptop ya kizamani ya core 2 duo, ssd inaweza kuifanya iwe faster zaidi.
bei ni 120,000 na unaweza wasiliana na mimi kupitia 0756 853285
pia kama haupo mbali na dar es salaam mjini naweza kukufanyia free installation kwa kui clone hdd yako na kuihamishia kwenye ssd.