laptop

  1. sanga kariakoo

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Dell na Lenovo Laptop

    wakubwa habari, nauza mashine mtumba kutoka nje hazina shida yoyote ile njoo kariakoo dell lattitude d630 ram 2gb hdd 250 nch 14 wide processor 2.0 ghz charge masaa 2 window 10 wifi bluetooth dvd rw tsh 190000 lenove IBM from usa iko vizuri balaa ram 4gb hdd 250 nch 14 squire processor 1.83...
  2. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Laptop toka USA zinauzwa

    Lenovo X 130 Hdd 320gb, ram 4gb, battery 3 hours, price: tzs 350,000 ya wiki hii kabla ya wikiend. Tuko Kariakoo jirani na China plaza piga 0713039875 kuwahi ofa hii
  3. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Jana nimebeba TV, laptop, pasi, vitana, vijiko, n.k kwa niliemdai, leo kanirudishia pesa, pesa ya ada ya mtoto ilifeli

    Uvumililivu ulinishinda kiukweli. Yani jamaa nilimkopa Novemba 28, kaja mikono nyuma kichwa chini na sauti ya kinyonge nikamkopa kiasi alichohitaji. Baada ya kumaliza shida zake mshahara wake akapokea ila kimya, nilimwinda sana lakini nikimpigia hapokei, nikituma sms hajibu, whatsapp status...
  4. Koffi Annan

    JamiiForums Tanzania Natafuta kioo cha laptop DELL latitude 3330

    Kama kuna mwenye nacho tafadhali pesa yako ipo
  5. FUTURE HUNTER

    JamiiForums Tanzania Msaada laptop aina HP 650 imegoma kuwaka

    Kwema Viongozi, Laptop yangu haiwaki kabisa. Naombeni kujua shida inaweza kuwa ni nini? Nimejaribu kubadili charger lakini hakuna mabadiliko. Nb ni ina 8yrs now hp 650
  6. prototypeman

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Laptop inauzwa

    Nauza laptop ina shida ya HDD na touchpad Bei 100,000/= fixed Ram 2gb Screen inchi 13 Cpu 2.1ghz Bettery 3hrs Model ACER Whatsapp 255659749219
  7. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Je, kuna umuhimu wowote wa kuwa na Laptop kwa kozi ya Medical Doctor (MD) mwaka wa kwanza?

    Habarini ndugu, Kwa anayejua mtu anayeanza chuo mwaka wa kwanza kwa ngazi ya degree ya medical doctor kuna umuhimu wowote wa kuwa na laptop? Kama jibu ni ndio je kitu gani kingine anachotakiwa kuwa nacho kama sehemu ya kumsaidia kwenye masomo yake? Msaada kwa hili.
  8. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Je, ni wapi salama kuweka vitu kwenye disc gani kwenye laptop?

    Wakuu binafsi nna disk moja tu local disk c. Na vitu nimeviweka hapo lakini naskia sku window ikizingua ukirepair kila kitu kinaenda je ni wapi salama?nizihamishe? Mwanzo nilikuwa nmeweka kwenye folder la desktop, ila nikaambiwa ni hatari.
  9. R

    JamiiForums Tanzania Chaji yangu ya laptop dell inatoa kelele but haipeleki chaji nifanyaje

    Habarin wana jamii forum nina laptop yngu apa chaji yake sijui imepatwa na nn kile kitaa cha kijan hakiwak pia inatoa bipping sound hata nikiichomeka kwa laptop moto hauend nifanyaje wadau maana laptop yngu battery mbovu bila umeme haiwak na nina kaz kibao za kiofisi
  10. J Mbungi

    JamiiForums Tanzania Laptop inauzwa bei nafuu HP probook 350,000/

    Wapendwa Wana jamvi, Nimeamka na dharura ya kumsafrisha mgonjwa na Mambo yangu siyo mazuri. Nalazimika kuuza laptop yangu( Kama unaweza nisaidia kupata mtu wa haraka wa kuniokoa) Walau kufikia jioni niwe nimepata mteja. Specifications za laptop" 👉HP probook 👉Hard disck 400GB 👉Processor...
  11. Best Daddy

    JamiiForums Tanzania Msaada: PC (Laptop) yangu ina display black(giza) ilhali inaoperate

    Natumaini siku inaenda sawa kabisa upande wenu. Ndugu, Wajuzi wa Mambo naombeni utatuzi wa PC yangu aina ya dell. Ghafla imepata tatizo la kushindwa kudisplay kama ilivyo kawaida na kuanza kuonesha giza tu au sometimes inadisplay kwa umbali sana, ila vitu vingine vinaonesha vinaoperate kama...
  12. crusader_jr

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Natafuta Laptop

    Habari wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa na familia zenu kwa pamoja iitikieni salamu😁 Nahitaji laptop(acer,hp,lenovo na asus) used na iwe kwenye condition nzuri iwe na sifa zifuatazo 1. Iwe na Intel I series(i5 kuendelea) na gen ya 4 kwende juu 2. ram gb4/8 3. HDD/SSD(500/258) 4. ikiwa...
  13. kaka9

    JamiiForums Tanzania habari natafuta mtu ambaye yupo tayari kukodisha laptop kwa mwezi

    habari wadau natafuta mtu anayeweza kukodisha laptop kwa mwezi, kuna kazi nataka kuifanya mara moja,tutaingia mkataba na nitamlipa pesa yake kama tutakavyo kubaliana ,ambaye yuko tayari anicheki kwa namba yangu 0687234549 asanteni. note:laptop iwe na ram 4 na processor 2 kuendelea,yani iwe...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Jipatie SSD kwa ajili ya laptop na desktop yao kwa bei nafuu

    nauza SSD mpya zenye ukubwa wa GB 240 kwa ajili ya laptop na desktop, SSD hizi ni brand ya kingston (A400) unafungua mwenyewe zipo sealed na hazijawahi kutumika. hii model imetoka amazon na sasa hivi ndio ssd inayouzika kwa sana Duniani, kwa wale wanaotaka kuhama toka HDD. unaweza kuiangalia...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Laptop nzuri kwa ajili ya graphics design

    Habari wana JF, Naombeni ushauri nataka kununua laptop kwa ajili ya graphic designing. Je, ninunue laptop ipi? Naomba ushauri wa brand na aina. Mkifanya description kubwa mtanichanganya. Mfano ukisema lenovo thinkpad T350, inakuwa rahisi kwa mimi kwenda madukani na kuitafuta. Bajeti yangu...
  16. C

    JamiiForums Tanzania Fundi mzuri wa laptop (Hardware na software )

    Habarini wakuu Naomba kujua fundi mzuri na wa kuaminika wa PC Kwa Dsm upande wa hardware na software hasa maeneo Tandika au Temeke ikishindikana maeneo Hayo basi kokote ndani ya Dsm Nawasilisha
  17. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya ku connect Simu Android kudisplay kwenye Laptop (Hasa Azam TV)

    Wadau nmekuwa nikisafiri sana ndani na nje ya nchi kutokana na nature ya kazi zangu. Changamoto ninayoipata ni kuangalia VPL kupitia Azam. Mara nyingi natumia App yao kuangalia mpira kupitia kwenye Simu.nikapata wazo la ku connect na laptop iwe ndo display ili niwe naangalia kwa ukubwa zaidi...
  18. Chuku chuku

    JamiiForums Tanzania Kifaa chochote kitachoweza kutunza chaji ya laptop kwa masaa 24

    Naomba kujua ni kifaa gani kama ni betri au ups ambacho kinaweza kunisaidia kutumia laptop yangu kwa muda wa saa 24 pale umeme unapokuwa umekatika, kitu kama ups ila kiwe na uwezo huo wa kukaa saa 24.
  19. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Laptop zimewasili na Offer ya bure ya Software ya Research

    Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei nafuu. Kwa sasa tumeleta computer zifuatazo: 1. Lenovo ya kuzungusha screen. Sifa: Hard disk 160GB, ram 4...
  20. Eng Kahigwa

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Dell-Laptop inauzwa

    Specification: Manufacturer: Dell Latitude E5430 RAM: 4GB HDD: 320GB Battery autonomy: 4-6hrs CPU: Core i3 Speed: 2.5GHz Other features: USB ports [USB 2.0, USB 3.0], Wi-Fi, Memory card slot, CD-Drive, HDMI & VGA port. Bei: 400,000/= Laptop haina tatizo la aina yoyote ile. Simu namba: +255 656...
Back
Top Bottom