laptop

  1. J Mbungi

    Laptop inauzwa bei nafuu HP probook 350,000/

    Wapendwa Wana jamvi, Nimeamka na dharura ya kumsafrisha mgonjwa na Mambo yangu siyo mazuri. Nalazimika kuuza laptop yangu( Kama unaweza nisaidia kupata mtu wa haraka wa kuniokoa) Walau kufikia jioni niwe nimepata mteja. Specifications za laptop" 👉HP probook 👉Hard disck 400GB 👉Processor...
  2. Best Daddy

    Msaada: PC (Laptop) yangu ina display black(giza) ilhali inaoperate

    Natumaini siku inaenda sawa kabisa upande wenu. Ndugu, Wajuzi wa Mambo naombeni utatuzi wa PC yangu aina ya dell. Ghafla imepata tatizo la kushindwa kudisplay kama ilivyo kawaida na kuanza kuonesha giza tu au sometimes inadisplay kwa umbali sana, ila vitu vingine vinaonesha vinaoperate kama...
  3. crusader_jr

    Computer4Sale Natafuta Laptop

    Habari wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa na familia zenu kwa pamoja iitikieni salamu😁 Nahitaji laptop(acer,hp,lenovo na asus) used na iwe kwenye condition nzuri iwe na sifa zifuatazo 1. Iwe na Intel I series(i5 kuendelea) na gen ya 4 kwende juu 2. ram gb4/8 3. HDD/SSD(500/258) 4. ikiwa...
  4. kaka9

    habari natafuta mtu ambaye yupo tayari kukodisha laptop kwa mwezi

    habari wadau natafuta mtu anayeweza kukodisha laptop kwa mwezi, kuna kazi nataka kuifanya mara moja,tutaingia mkataba na nitamlipa pesa yake kama tutakavyo kubaliana ,ambaye yuko tayari anicheki kwa namba yangu 0687234549 asanteni. note:laptop iwe na ram 4 na processor 2 kuendelea,yani iwe...
  5. H

    Jipatie SSD kwa ajili ya laptop na desktop yao kwa bei nafuu

    nauza SSD mpya zenye ukubwa wa GB 240 kwa ajili ya laptop na desktop, SSD hizi ni brand ya kingston (A400) unafungua mwenyewe zipo sealed na hazijawahi kutumika. hii model imetoka amazon na sasa hivi ndio ssd inayouzika kwa sana Duniani, kwa wale wanaotaka kuhama toka HDD. unaweza kuiangalia...
  6. S

    Ushauri wa Laptop nzuri kwa ajili ya graphics design

    Habari wana JF, Naombeni ushauri nataka kununua laptop kwa ajili ya graphic designing. Je, ninunue laptop ipi? Naomba ushauri wa brand na aina. Mkifanya description kubwa mtanichanganya. Mfano ukisema lenovo thinkpad T350, inakuwa rahisi kwa mimi kwenda madukani na kuitafuta. Bajeti yangu...
  7. C

    Fundi mzuri wa laptop (Hardware na software )

    Habarini wakuu Naomba kujua fundi mzuri na wa kuaminika wa PC Kwa Dsm upande wa hardware na software hasa maeneo Tandika au Temeke ikishindikana maeneo Hayo basi kokote ndani ya Dsm Nawasilisha
  8. Komeo Lachuma

    Jinsi ya ku connect Simu Android kudisplay kwenye Laptop (Hasa Azam TV)

    Wadau nmekuwa nikisafiri sana ndani na nje ya nchi kutokana na nature ya kazi zangu. Changamoto ninayoipata ni kuangalia VPL kupitia Azam. Mara nyingi natumia App yao kuangalia mpira kupitia kwenye Simu.nikapata wazo la ku connect na laptop iwe ndo display ili niwe naangalia kwa ukubwa zaidi...
  9. Chuku chuku

    Kifaa chochote kitachoweza kutunza chaji ya laptop kwa masaa 24

    Naomba kujua ni kifaa gani kama ni betri au ups ambacho kinaweza kunisaidia kutumia laptop yangu kwa muda wa saa 24 pale umeme unapokuwa umekatika, kitu kama ups ila kiwe na uwezo huo wa kukaa saa 24.
  10. Dr. Zaganza

    Laptop zimewasili na Offer ya bure ya Software ya Research

    Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei nafuu. Kwa sasa tumeleta computer zifuatazo: 1. Lenovo ya kuzungusha screen. Sifa: Hard disk 160GB, ram 4...
  11. Eng Kahigwa

    Computer4Sale Dell-Laptop inauzwa

    Specification: Manufacturer: Dell Latitude E5430 RAM: 4GB HDD: 320GB Battery autonomy: 4-6hrs CPU: Core i3 Speed: 2.5GHz Other features: USB ports [USB 2.0, USB 3.0], Wi-Fi, Memory card slot, CD-Drive, HDMI & VGA port. Bei: 400,000/= Laptop haina tatizo la aina yoyote ile. Simu namba: +255 656...
  12. M

    Computer4Sale Laptop kali sana core i5 Dell inauzwa

    p
  13. beth

    Wezi wavunja na kuiba laptop na sukari kilo 25 Ofisi za Mahakama ya Wilaya Njombe

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za wizi baada ya kuvunja Mahakama ya Wilaya ya Njombe na kuiba vitu mbalimbali vya ofisi hiyo ikiwemo Laptop tatu (3) na Sukari kiasi cha Kg 25, waliokamatwa yupo aliyeiba na mwingine aliyeenda kuuziwa Laptop hizo. Taarifa...
  14. Dr. Zaganza

    Laptop Zimewasili Na Ofa Ya Software Ya Research

    Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei nafuu. Kwa sasa tumeleta computer zifuatazo: 1. Lenovo ya kuzungusha screen. Sifa: Hard disk 160GB, ram 2 gb,zinakaa...
  15. Ndama dume

    Computer4Sale Karibu laptop

    Bei mwisho laki 650,000/= Nipo kahama mjini Call na sms only 0620307124 Kama huiwezi hiyo bei sitaki usumbufu
  16. E

    Computer4Sale gaming laptop dell e6430 core i7 ram gb 8,, dedicated graphic inauzwa

    bei 350k imepungua to 300k location mwenge mpakani 0787202143 used Dell latitude e6430 nzuri for gaming and graphic processor :intel Core i7-3520qm clock speed 2.6 GHz and 3.6 GHz with turbo boost ram 8 gb hard disk 500gb 2 graphic card 1.intel hd 4000; 2.NVIDIA nvs5200m (1gb dedicated)...
  17. dymaka

    Nahitaji Motherboard ya laptop aina ya Acer Aspire V5 - 123. Iwe inafit kwenye specification zifuatazo CPU. AMD dual - core

    Nahitaji Motherboard ya laptop aina ya Acer Aspire V5 - 123. Iwe inafit kwenye specification zifuatazo CPU. AMD dual - core processor E1 - 2100 (1.0GHz) MEMORY. 2GB DDR 3 Memory, NB: V5 - 123 -1210G50nkk. Kwa mawasiliano Voda 0769269374 Tigo 0655269374 kwa what's app & call
  18. Dr. Zaganza

    Computer4Sale Laptop zimewasili toka U.S.A

    COMPUTER ZIMEWASILI TOKA U.S.A Drone Computer tumekuwa kwa muda mrefu tukitoa ushauri wa computer, mafunzo ya kutumia computer,matengenezo ,kuwaletea sample za computer bora. Wiki hii tuna computer zifuatazo. Piga 0713-039875 kuwahi bei hizi za ofa kabla ya wikiend kuanza.Au fika Ofisini...
  19. tamsana

    Msaada: Laptop yangu aina ya Toshiba Tecra ina tatizo la kuwaka (blinking) taa ya charge

    Habari ya majukumu wadau. Kama ambavyo title inajieleza, Laptop yangu imegoma kuwaka na taa ya charge ina blink throughout. Nimejaribu kutoa battery na kuunganisha charge moja kwa moja lakini bado ile taa inablink. Pia nikirudisha battery ile taa inaendelea kublink throughout hadi niiondoe...
  20. Ally_34

    INAUZWA Laptop Dell inauzwa

    Bei Tsh 530,000 Inapatikana Morogoro Ina 500 gb Mawasiliano piga 0746897449
Back
Top Bottom