laptop

  1. I

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Mkopo wa dharula Tsh 150,000/=

    Solved
  2. M

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Computer, Laptop na Printer ndogo sokoni

    Printer ni HP Laptop ni samsung Computer ni ONDA Bidhaa zote zilikuwa zinatumika ofisini Bei laki 7 fixed for all Location Dar es salaam Communication 0625825641
  3. N

    JamiiForums Tanzania Min Laptop ya del latitude 2120

    Kioo cha latitude 2120 kinauzwa bei gan wakuu hiki kilatop kamedondoka kioo Kwishiney kiweka mstari
  4. Superpower

    JamiiForums Tanzania Android min personal computer

    Jamani habarini humu naombeni kuuliza Kuna kipindi nilikua naona kwenye mtandao wa Alibaba pc flani ndogo zilikua zinaendeshwa kwa Android. Sasa ningependa kujua je zinapatikana madukani na bei ni kuanzia TSH ngapi? Uzi tayari
  5. HISTAMINE

    JamiiForums Tanzania Msaada: Lenovo laptop screen/monitor imevunjika na kumwaga wino

    Leo wakati naangalia mechi kati ya Aston villa na Chelsea, nikapata mihemko ya mpira nikadunda ngumi kitandani pembeni yangu, kumbe! nilikuwa nimeweka pc sikuiona, matokeo yake imevunjika screen ndani kwa ndani, rangi zimetawanyika, imepata kama kifafa hivi- maandishi yanacheza cheza. Wapi...
  6. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Laptop computers 10 zaibwa shule ya sekondari Moshi Technical - Mkoa wa Kilimanjaro

    Kumekuwepo na usiri mkubwa , kwenye sakata la wizi wa laptop computers 10 uliofanyika shule ya Moshi Technical kule kilimanjaro, ambapo shule hii Ina kitengo maalumu cha wanafunzi wenye matatizo ya kutokusikia vizuri. Hii ni mara ya pili kufanyika kwa wizi huo ndani ya mwaka mmoja. Kimsingi...
  7. dirtyboy

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Laptop kujizima yenyewe

    Habari za wakati huu wakuu Pc yangu imekumbwa na tatizo la kushindwa kuwaka. Nikibonyeza power button fen ina zunguka tu lakini screen haiwaki. Kabla ya hili tatizo ilikuwa inatabia ya kujizima nyenyewe, ila nikikaa baada ya mda nikiiwasha inawaka. Mwanzo nilijua tatizo ni betry nikanunua...
  8. 6WaS9

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu Biashara ya Kuuza Computer: Laptop/dektop used

    Habari wakuu. Ni wapi zinapatikana Computer used nzuri kwa bei ya jumla? Nitapata kwa Tshs. Ngapi kwa pc 1 kutokana na specifications za computer husika? Yaani bei ya kila pc na specifications zake. Kwa wanaofahamu ma Supplier wa China na Dubai watujuze pia. Kwa mzigo wa kutoka nje gharama...
  9. Mrs Gudman

    JamiiForums Tanzania Nahitaji laptop sharti iwe kwenye hali nzuri

    Naomba kuuliza mwenye laptop anauza. RAM iwe kuanzia 3GB na kuendelea. Hard disc kuanzia 200 na kuendelea. Ikae na charge kuanzia masaa mawili na kuendelea. Bei isizidi laki tatu Kama unayo comments chini nikufate au njoo pm. NB: Nipo Dodoma
  10. Ujo Group

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Tunauza Laptop, tupo Kariakoo

    MSI gaming machine Core i7 - 7th gen RAM 16gb HDD 1tb SSD 256gb Nvidia Gtx 1060(6GB Dedicated) Used [emoji338]0784545494 Bei 2,850,000 Tupo Karibu na Mlimani City Mall Njia ya kwenda Survey/Ardhi University.
  11. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Laptop Zimewasili Na Ofa Ya Vitabu

    UPDATE LEO JULY 2 2021 LAPTOP ZIMEWASILI NA OFA YA VITABU Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe utatulipa gharama za kukusafirishia...
  12. W

    JamiiForums Tanzania LAPTOP inaharibika muda gani usipoizima bali inapiga mzigo

    Poleni wandugu kwanza. Ni kwamba kuna kazi nafanya na laptop yangu ya siku nyingi Acer Quad Core 8gb ram. Sasa shughuli nyingine masaa 18 inachapa mzigo nazima nusu saa. Halafu inapiga masaa 6 huu mchezo wiki nzima nimekuwa nafanya usiku na mchana sasa nimeanza kuogopa nitaikuta imezima...
  13. Ryzen

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa namna ya kutrack laptop iliyoibiwa

    Nimeibiwa laptop. Je kuna namna ya ku track au nipotezee tu? Cc Chief-Mkwawa
  14. Popacomputers

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Lenovo Mini laptop for sale

    Lenovo Mini laptop for sale hard disk 250gb Ram 2gb core2duo Good condition price 230000 inapatikana karume Dar es salaam contact: 0757870230
  15. Popacomputers

    JamiiForums Tanzania HP corei7 laptop for sale

    Hp elitebook 8460p Prosesa 2.7gh Gen ya 4 Hard disk 500gb Ram 4gb Corei7 Good condition Price 450000 tshs contact: 0757870230 inapatikana karume DSM
  16. Rodriquz

    JamiiForums Tanzania Ninaweza kucheza games kwenye Laptop ya aina hii?

    Hp probook 6475b . Processor AMD 2.70 Ghz . Ram 4Gb . HDD 200gb
  17. Popacomputers

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Dell laptop for sale

    Dell inspiron hard disk 250GB Ram 2GB c duocore battery: 1hr location KARUME DSM price: tsh 200000 contact: 0757870230 ni mashine kali haina kipengele chochote. karibuni tufanye biashara. Karibuni pia kwa matengenezo ya computer na tunauza laptops/desktops used na vifaa mbalimbali vya computer...
  18. Ryzen

    JamiiForums Tanzania Je, naweza kupata Laptop nzuri kwa budget ya laki nane?

    Heshima kwenu watalaamu wa jukwaa hili, Nina Budget ya 800K ninahitaji laptop. Majukumu maalum ni kama Kutumia Softwares kama AUTOCAD, CIVIL 3D, STAAD PRO, MATLAB na program baadhi za Engineering ambazo sijazitaja. Nahitaji laptop bora kwa hio gharama kikubwa iweze kurun hizo programs...
  19. T

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata mafundi wazuri wanaoweza ku-replace au ku-fix screen ya laptop?

    Screen ya laptop yangu ina tatizo, inatoa mistari ya blue na kijani, mieusi au rangi zingine na kuchezacheza -- mawenge, hii mistari ni vertical au horizontal, cursor inastick muda wote na hata screen yenyewe ina crash. Nimejaribu kusolve hili tatizo kama la software lakini bila mafanikio. Bila...
  20. Mr Geniuz Km

    JamiiForums Tanzania Nauza laptop

    ~Husika na Somo tajwa Aina: DELL Model: 630 RAM: 3GB HDD: 80GB Display: 13inch USB PORT: 4 HDMI: 1 VGA: 1 JACK: 3.5mm Wireless: yes Na sifa nyinginezo kibao ' ~Price 250k ( 250,000 ) NB: Inafaa kwa matumizi yote ' ipo katika hali nzuri as New Na haina tatizo lolote Mawasiliano...
Back
Top Bottom