laini

  1. Think2

    JamiiForums Tanzania Yas kwanini mnafungia huduma laini ikikosea kuingiza vocha ?

    Yas matrako yenu nimenunua vocha za 5000 niunge bando ile namaliza kuingiza niunge bando naambiwa sina salio la kutosha kuuliza salio wanasema nina 4000 Nikaanza kurudia vocha moja moja lakini wapi nimewapigia wanaongea ungese mwingi mwingi wanadhani hela tunaziokota Naomba mwanasheria mzuri...
  2. DexterLab

    JamiiForums Tanzania Nataka kusajili laini ya TTCL

    Kama heading inavyojieleza, nasikia hili shirika huko nyuma mtandao wake ni wa ovyo sana, labda mwaka 2026 wamebadilika, vipi niijaribu?
  3. haszu

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na ngozi laini/ nyororo, watu wengi hukuchukulia kama mzembe mzembe

    Watu wengi wakikuona wanakuchukulia kama uko mzembemzembe wakiona ngozi yako laini na haina kash kash au mikwaruzo n.k, kumbe hawajui mtu unaweza ukawa na ngozi laini lakni ukawa mtu mgumu kweli kweli. mi kazi ngumu nafanya sana na wala sifanyi skin care mara nyingi, ni vile tu ngozi yangu...
  4. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Je inawezekana kubadilisha namba niliyounganisha na NMB Acc. Ilhali hiyo laini nilishaipoteza na aliyenisajilia yupo mbali na nilipo?

    Habari za muda huu kama kichwa cha habari kinavyojieleza Je! Naweza kuunganisha namba mpya ninayoitumia kwenye NMB kwa sababu namba ya simu niliyounganisha mwanzoni wakati nafungua Account haipo yaani ilishapotea na aliyenisajilia yupo mbali na nilipo
  5. Camilo Cienfuegos

    JamiiForums Tanzania Kuwa mkweli una laini ngapi za simu?

    Watanzania wengi tunamiliki zaidi ya laini moja ya simu. Tuambie ukweli una laini ngapi za simu?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Laini za bando

    Jamni naombeni anayejua utaratibu wa namna ya kupata hii laini ya kununua bando za data kwa bei nafuu inayoruhusu kushare bando kwa watu wengine
  7. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Je, Lucy Shayo kakaa Lupango wiki nzima kwa tuhuma za kutumia laini isiyo yake?

    Karibu uraiani Lucy Shayo. Nimeambiwa kuwa moja ya tuhuma ulizopewa ni kutumia laini ya simu ya mtu mwingine! Tanzania ni nchi yenye maajabu mengi. Huenda ni nchi pekee ambayo watawala hutunga sheria kwa ajili ya wananchi lakini wao sheria hizo haziwahusu kwa sababu: 1. Mawaziri wengi wakitaka...
  8. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara watatu wakamatwa na laini za simu 94 wakituhumiwa kufanya utapeli Iringa

    Jeshi la polisi Mkoa wa Iringa limewakamata Innocent Moshi (30), mfanyabiashara na mkazi wa Tenguru Mkoa wa Arusha na wenzake wawili wakiwa na laini 94 za mitandao mbalimbali ya simu wakizitumia kujipatia fedha kwa njia ya Udanganyifu. Akitoa taarifa kwa vyombo vya Habari Kamanda wa Polisi Mkoa...
  9. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Nauza vitabu(softcopy/nakala laini) vya kiingereza vilivyotafairiwa kiswahili na kiingereza Bei 10,000 Tsh kimoja

    Nauza vitabu(softcopy/nakala laini) vya kiingereza vilivyotafsiriwa kiswahili na kiingereza Bei 10,000 Tsh kimoja. 1. Kitabu Cha Henoko (Biblia hakipo) 2. Rich Dad, poor dad (Swahili) 3. Art of strategy (Sanaa ya mkakati) (Swahili) Nicheki kwa vitabu vingine tuma jina la kitabu WhatsApp...
  10. Scared

    JamiiForums Tanzania Nikipigiwa simu kwenye laini zangu watu wanaambiwa inatumika wakati siongei na mtu

    Wakuu nisaaidieni Hilo jambo aisee natumia Airtel na Vodacom nikipigiwa simu anaenipigia anaambiwa natumika wakati simu ninayo mkononi na siongei na mtu na kibaya zaidi hata haiiti tatizo litakua nini wakuu mwenye kujua hii ishu wakuu maana watu wanasema nimewablacklist wakati sivyo
  11. Ummmmkimkana

    JamiiForums Tanzania Aya kazi kwenu wenye maduka... mifuko laini

    Nauza vifungashio au mifuko laini Ile ya kuingia kilo moja Hadi kilo mbili ni mizuri mipana na haivuji wala kuachia chini pindi unapobeba bidhaa...njoo nikuuzie kwa mia9 kila pisi wewe uuze 1300 adi 1500 kwa kila pisi... napatikana mbagala chamazi karibu boss
  12. C

    JamiiForums Tanzania MASHINE ZA UWAKALA BANK ZINAUZWA na Laini za Uwakala

    Mashine za uwakala wa Benk zinauzwa Benki zilizopo NBC EQUITY CRDB NMB SELCOM EXIM LAINI ZA UWAKALA TIGO VODA AIRTEL HALOTEL Bei ya VYOTE 6M haipungui. MAWASILIANO : 0653851536 Location : Dar Es Salaam,Kijitonyama NOTE : Ukinunua Mashine itabidi uwe na AMBA YA NIDA, LESENI na TIN...
  13. black-tz

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Esim, laini ya kidigitali!

    IFAHAMU eSIM | LAINI YA KIDIGITALI! Wengi huenda Mmesikia Mahali au wengine mmeona Neno “eSIM” na hamjaelewa nini Maana yake, Karibuni tuifahamu vyema Huduma ya eSIM na maana yake. 🔎 eSIM NI NINI? ☑️ eSIM ni Laini ya Kidigitali ambayo hupachikwa katika Simu kutoka Kiwandani. Ni laini ambayo...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Serikali yazifungia laini 47,728 zilizosajiliwa kwa NIDA, kwa kuhusishwa na Uhalifu wa Kimtandao

    Serikali imebaini na kuzifungia laini za simu 47,728 pamoja na nambari za Kitambulisho cha Taifa (NIDA) 39,028 baada ya kugundulika kuwa zimehusika katika matukio ya uhalifu wa kimtandao na udanganyifu kwa njia ya mawasiliano. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Mei 16, 2025 na Waziri wa Mawasiliano na...
  15. Dr kijaji

    JamiiForums Tanzania Msaada; Naomba kufahamu Kama Kuna vifurushi maalumu vya laini ya halotel ya chuo

    Naomba maelezo Kama Kuna vifurushi maalumu vya laini ya halotel ya chuo na jinsi vinavyopatikana
  16. Dalali mbeya jiji

    JamiiForums Tanzania Laini za uwakala wa kifedha zinauzwa Mbeya mjini 4 @ Tshs. 100,000/=

    Laini za uwakala wa miala ya kifedha zinauzwa, Mbeya mjini. Hallopesa,Mpesa,Yas,Airtel money. Bei Tshs 400,000/= Bei inazungumzika. Wasiliana nasi+255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!
  17. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua ufanyeje ili ukiwa nje ya Tanzania Laini yako ya Simu isifungiwe na ukirejea Tanzania uendelee Kuitumia?

    Kwa mfano nina Laini ya Airtel Tanzania niliyokuwa Naitumia nikiwa Tanzania, ila naambiwa kuwa nikirejea Tanzania haitokuwa inatumika (na Ninunue Laini mpya) kwani itakuwa Imeshafungiwa kwani sasa ina mwaka siitumii kwakuwa huku nilipo natumia Laini ya Mtandao wa huku. Kwahiyo nauliza ni Mbinu...
  18. Melki Wamatukio

    JamiiForums Tanzania Kumiliki laini zaidi ya moja ni ushamba uliokithiri

    Watu wa namna hii wanaudhi sana kama sio kusikitisha. Unakutana na mtu ana namba ya kila mtandao. Day one kakupa let say namba yake ya Voda, wakati anarudisha message unashangaa namba nyingine (Yas), unavumilia, unasave Kesho yake unashangaa kuona namba ngeni inaingia kwa simu (Airtel), kwa...
  19. Isenye

    JamiiForums Tanzania Hivi mnaokulaga mikate usiku au vyakula vilaini laini vya aina hiyo,huwa mnawezaje kupata usingizi?

    Wakuu habari za usiku? Aisee jana hali yangu kiuchumi haikua nzuri,nikaona ngoja ninunue mkate nile nilale,mkate nimeula saa 3 usiku,ila hivi sasa ni saa 9 usiku usingizi umekata kabisa nimeamka kukoroga hata uji ninywe maana sio kwa njaa hii ninayoisikia aisee. Hivi nyie wenzetu hasa wa hapo...
  20. J

    JamiiForums Tanzania Naweza kuweka laini nyingine ya airtel kwenye mifi nikaitoa ile iliokuja pamoja na device?

    Samahani wadao, naomba kuuliza Nilinunua mifi ya Airtel, sasa kuna kazi nataka kuitumia haiitaji data sana, ile lain iliopo ndani nikaitoa nikaunga bundle la kawaidia GB 1 ila ikakataa kuzitumia, ikabidi ninunue Data kwa lain nyingine ya Airtel nikaiweka mwenye Mifi, ikasoma nikaanza kutumia...
Back
Top Bottom