Joshua Mbezi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,934
- 4,178
Miaka miwili iliyopita nilikuwa penzini na bidada mmoja na ukweli n kwamba kipindi kile sikuwa vzr kiuchumi
Sasa huyu bidada alinidharahu na kuniona kuwa Mimi sio type yake
Aliwahi kunitamkia kuwa yupo na Mimi ila Kuna idadi kubwa ya wanaume wanamfuata kumtongoza , hii kauri ilinifanya niwaze sana moyon mwangu
Alionesha kutokunisikiliza kbc na mm nikaamua kufungasha vilago kwa style ninayoijua mm , siku Moja alinipigia simu na kuniambia kamwe nisije wahi kumtafuta kama akiwa hai labda nimtafute akiwa marehemu
Na Mimi maelekezo yake niliyapokea na kuamua kuyafanyia Kazi tangu siku hyo sikuwahi kunyanyua simu yangu kumpigia Wala kumtumia msg
Na kwa kunikomoa zaidi akaamua kwenda zake mjini Dar es salaam Mimi nikabaki zangu mkoani nikila mihogo na bamia
Akawa anajigamba kuwa anaenda kufungua biashara yake, ajenge nyumba yake na vingine vingi ,
Siku zikapita miaka ikasogea Mungu muweza wa yote akafungulia koki la baraka kichwan mwangu hela ya kununua mboga ikaanza kupatikana na uhakika wa kubadilisha nguo nikawa nao , kukatiza mitaa ya benki mara Moja Moja ikawa n uhakika
Sasa bidada sijuhi taarifa kapata wapi 😂 tangu wiki Jana akaanza kunitafuta salamu kwa Kasi , msg kibao Mimi namzoom tu😎
Siku ya kwanza amenitafuta katanguliza kauri ya kujihami alisema hivi "usidhan nimekutafuta kwa ajiri ya kukuomba hela me nakusalimia tu" na mm nikaitikia Asante
Mimi nimekusudia ndani ya moyo wangu nitaitimiza Ile kauri yake aliyoniambia kuwa nisiwahi kumtafuta akiwa hai labda nimtafute akiwa marehemu.
Dada zetu punguzeni midomo muwe na akili ya kuwaza ya kesho.
Sasa huyu bidada alinidharahu na kuniona kuwa Mimi sio type yake
Aliwahi kunitamkia kuwa yupo na Mimi ila Kuna idadi kubwa ya wanaume wanamfuata kumtongoza , hii kauri ilinifanya niwaze sana moyon mwangu
Alionesha kutokunisikiliza kbc na mm nikaamua kufungasha vilago kwa style ninayoijua mm , siku Moja alinipigia simu na kuniambia kamwe nisije wahi kumtafuta kama akiwa hai labda nimtafute akiwa marehemu
Na Mimi maelekezo yake niliyapokea na kuamua kuyafanyia Kazi tangu siku hyo sikuwahi kunyanyua simu yangu kumpigia Wala kumtumia msg
Na kwa kunikomoa zaidi akaamua kwenda zake mjini Dar es salaam Mimi nikabaki zangu mkoani nikila mihogo na bamia
Akawa anajigamba kuwa anaenda kufungua biashara yake, ajenge nyumba yake na vingine vingi ,
Siku zikapita miaka ikasogea Mungu muweza wa yote akafungulia koki la baraka kichwan mwangu hela ya kununua mboga ikaanza kupatikana na uhakika wa kubadilisha nguo nikawa nao , kukatiza mitaa ya benki mara Moja Moja ikawa n uhakika
Sasa bidada sijuhi taarifa kapata wapi 😂 tangu wiki Jana akaanza kunitafuta salamu kwa Kasi , msg kibao Mimi namzoom tu😎
Siku ya kwanza amenitafuta katanguliza kauri ya kujihami alisema hivi "usidhan nimekutafuta kwa ajiri ya kukuomba hela me nakusalimia tu" na mm nikaitikia Asante
Mimi nimekusudia ndani ya moyo wangu nitaitimiza Ile kauri yake aliyoniambia kuwa nisiwahi kumtafuta akiwa hai labda nimtafute akiwa marehemu.
Dada zetu punguzeni midomo muwe na akili ya kuwaza ya kesho.