kuua

Akuliarusiarsuup Kuua (Danish: Sandflugtdalen) is a river and valley of the same name in the Qeqqata municipality in central-western Greenland. Its source is the meltwater outflow from Russell Glacier, an outflow of the Greenland ice sheet. The river is a tributary of Qinnguata Kuussua, the main river in the Kangerlussuaq area. For most of its run, the river flows very slowly through the sandur basin of the valley, forming meanders amongst large fields of glacial silt quicksand. The climate is polar continental, with the area receiving very little rainfall.

View More On Wikipedia.org
  1. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Mtakuja kuua mafundi

  2. Hemedy Jr Junior

    JamiiForums Tanzania Aliyebaka na Kuua Mke wa Mwenyekiti Akamatwa..Njaa Yamtoa Mafichoni

    Jeshi la polisi mkoani Kagera limefanikiwa kumkamata kijana Paschal Kaigwa (22) mzaliwa wa Kishogo Bukoba Vijijini, ambaye anatuhumiwa kumbaka na kumuua mke wa mwenyekiti wa mtaa wa National Housing kata ya Rwamishenye katika manispaa ya Bukoba, aitwaye Khadija Ismail (29) Kamanda wa polisi...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mikutano ya hadhara imeruhusiwa ili itumike kuua legacy ya Hayati Magufuli ya kufunika kasoro za sasa

    Kwa mara ya kwnza tunashuhudia upinzani wa aina yake nchini Tanzania, upinzani ambao unaacha kupigana na utawala uliopo na badala yake unapigana na kivuli cha marehemu Magufuli. Naomba ieleweke kuwa hili halitokei kwa bahati mbaya, Zitto Kabwe kukejeli ndege zilizonunuliwa na Serikali ya...
  4. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Ripoti: Waasi wa M23 walibaka wanawake na kuua waume zao DR-Congo

    Taasisi ya #AmnestyInternational imesema zaidi ya Wanawake na Wasichana 66 walifanyiwa Vitendo vya Ukatili ikiwemo Kubakwa katika kijiji cha Kishishe na kuua Wanaume kadhaa Novemba 2022. Kupitia mahojiano waliyofanyiwa baadhi ya Waathirika wa vitendo hivyo wamesema Waasi wa #M23 walivamia...
  5. Nelson Jacob Kagame

    JamiiForums Tanzania Hakuna furaha kwenye uuaji, damu ya binadamu ina roho

    Kuna kitu wauaji huwa wanajihisi"Upweke"sababu hakuna furaha kwenye kutoa roho ya mtu hasa pale mnapokutanisha macho kwa ghafla wakati wa tukio husika. Anakutazama kwa macho ya kukuuliza "Kwanini mimi"? Hata unapomvizia kwa ghafla pale mwili wa binadamu anapoanguka chini unajihisi hatia...
  6. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Kigoma: Anayetuhumiwa kuua watu 7 wa familia moja apandishwa Kizimbani

    Mshtakiwa wa kesi ya mauaji ya watu saba wa familia moja, yalitokea katika kijiji cha Kiganza mkoani hapa, Peter Moris (33), amefikishwa katika Mahakama KuuKanda ya Kigoma, kwa mara ya kwanza na kusomewa maelezo ya kosa ambapo alikana kuhusika na tukio hilo. Akisomewa maelezo hayo leo Februari...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Nakubaliana na ndugu Bashe kuruhusu wakulima kuuza mazao popote wanapotaka

    Nimeona humu watu wengi sana wakiishambulia serikali Kwa kutozuia mazao kuuzwa nje ili kupunguza mfumuko wa bei. Ukweli ni kwamba serikali inaweza kuzuia mazao kuuzwa nje. Jambo hilo ni hatari sana Kwa mustakabali wa kilimo na wakulima wa Tanzania. Gharama za uzalishaji zimepanda sana, kila...
  8. MK254

    JamiiForums Tanzania Gaidi la Iran laingia Iran laingia ubalozi wa Azerbaijan na kuua watu

    Mataifa mengine bana, fulu mzuka wa watu kujilipua mabomu na kumimina risasi, yaani gaidi limewehuka kuingia ubalozi na kuanza kuua watu..... DUBAI, United Arab Emirates — A gunman stormed the Azerbaijan Embassy in Iran’s capital Friday, killing its security chief and wounding two guards in an...
  9. MK254

    JamiiForums Tanzania Urusi kushtakiwa kwa kulipua ndege ya abiria ya Malaysia na kuua abiria 298 mwaka wa 2014

    Mdhulumaji Mrusi anasakamwa kote kote.... ===== The European Court of Human Rights has ruled that complaints against Russia from Ukraine and the Netherlands should go to trial. They pertain to the 2014 downing of commercial airline Flight MH17, among other things. The European Court of Human...
  10. paul miteda

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri kwenye Sakata la Mwalimu kumchapa kikatili Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Wilayani Kyerwa, Kagera

    Tafadhali ni nani anayejua hii shule? ==== UPDATES: 1 Kwa mujibu wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalumu Dorothy Gwajima, Serikali imefanya ufuatiliaji wa kina na kubaini kuwa tukio hili lilitokea Januari 10, 2023 kwenye Shule moja ya Msingi iliyopo Wilayani...
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpango wa wazungu ni kuua kabisa taasisi ndoa

    Kuna jambo ambalo linaendelea na sio wote wamepata bahati ya kuliona. Ndoa ni baraka ya Mungu. Wazungu hawataki kabisa kukisikia kitu hiki. Walianza na ndoa za kimkataba, hawakutosheka, wakaenda kwenye ndoa za mtu na mnyama, na sasa wanakuja na ndoa za jinsia moja, na pia kuna ndoa na masanamu...
  12. Moshi25

    JamiiForums Tanzania Yanga na kufuru ya kujaza Maestro na kuua viwango vya wachezaji wazawa

    Mimi ni Yanga utopolo original Yanga Lia Lia shabiki kindakindaki makolo wanatuita mashabiki maandazi wa utopolo Najiuliza wale wachezaji wa kigeni viwango vya dunia tumejaza Yanga Kila idara mpaka Simba wanatamani kubaki arabuni wacheze ligi hiyo au wahamie ligi ya Burundi maana Huku tz...
  13. MK254

    JamiiForums Tanzania Magaidi wenye itikadi za kidini walipua mabomu na kuua nane Somalia

    Magaidi wa alshabaab ambao hufanya maukatili kwa imani za kidini walipua mabomu na kuua nane..... Police said today that eight people were killed in a roadside bombing claimed by al-Shabaab in central Somalia where a major offensive is underway to retake territory from the jihadists. The...
  14. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Force Account inataka kuua watoto!

    Force Account at village level! Watu nanafikiri kujenga choo hata cha shimo, kama nyumbani kwake, ni simple business. Wanafikiri ni kutandika vyuma na kumwaga zege, Fundi Maiko style. Sasa katika clip, hata malaymen kijijini hapo wametambua kuwa kitu kinajengwa kiholea na kinatishia maisha ya...
  15. MR.NOMA

    JamiiForums Tanzania LUTAMBULILO-Tego la Kunasa na kuua kabisa mtu anayetembea na Mke/ Demu wako

    Wakuu Kwa wale mliowahi kuishi Iringa,nasikia Kuna hiyo dawa ya kimila inaitwa Lutambulilo, huwa wanachanjiwa mabinti / mke wa mtu ili jamaa yeyote akijifanya kidume akaenda kulala nae bas mara baada tu ya tendo la ngono bas jamaa atajisikia kuumwa kwelikweli na atafariki baada ya dakika chache...
  16. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Ukraine yakanusha madai ya Urusi kuua wanajeshi wake 600

    Ukraine imetaja madai ya Urusi kama "propaganda" kwamba imeua mamia ya wanajeshi wa Ukraine katika shambulio. Moscow ilidai, bila kutoa ushahidi wowote, kwamba "shambulio kubwa la kombora" katika mji wa mashariki wa Kramatorsk limeua zaidi ya wanajeshi 600 wa Ukraine. Urusi imedai kuwa ilikuwa...
  17. MK254

    JamiiForums Tanzania Al Shabaab walipua mabomu Somalia na kuua 19 na kujeruhi 52

    Al Shabaab wamelipua mabomu Somalia hakukaliki. Nineteen people have been killed in twin car bombings in central Somalia claimed by Al-Shabaab, a local militia commander in the Hiran region said. Two cars packed with explosives were simultaneously detonated in Mahas, a town in Hiran where a...
  18. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Wachaga ndio kabila pekee ambalo haliwezi kuua sababu ya pesa

    Niko Moshi mida hii, aiseee wachagga wanajua kula Bata. Na pia Wana mshikamano na upendo. Huku ni chupa juu ya chupa. Mbuzi hadi nawaonea huruma, halafu utaratibu ni ule ule kila nyumba. Hii ikanikumbusha juu ya uaminifu walionao ndugu zetu kutoka milimani Kilimanjaro. Mchagga ni mtu pekee au...
  19. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania DRC: Wanajeshi 8 wahukumiwa kifo kwa kuua raia wawili wa China

    Wanajeshi wanane na raia moja katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa DRC wamehukumiwa kifo kwa mauaji na ubadhirifu. Kati ya waliopatikana na hatia kati yao kuna Kanali Mukalenga Tendeko na Kayumba Sumahili. Wanajeshi wengine watatu ambao walikuwa wamehukumiwa hadi kifungo cha miaka 10 jela...
  20. IBRA wa PILI

    JamiiForums Tanzania Fahamu kisa cha Jasusi John Gweru, Afisa Usalama aliyeikimbia Zimbabwe kwa kuchoka kuua

    Bila Shaka mko poa wakuu yesss twenzetuni uandishi tuvumiliane John gweru alikua Jasusi kutoka nchini Zimbabwe katika shirika la kijasusi la central intelligence organization (CIO). Alikua ni kijana aliependa kufanya kazi za kijasusi bila kujua kama ilikua na kazi ngumu ya ukatili na umwagaji...
Back
Top Bottom