Ndugu watanzania bei ya mahindi mwisho wa Feb 2023 ilikua kwa jumla 1, 120 kwa Dar Es Salaam lakini bei ya leo 6 March 23 yamepanda kufikia 1, 330 kwa kilo moja.
Ongezeko hili ni hatari kubwa kwa wafugaji wafugaji wa kuku na wengineo kwa sababu ongezeko hili ni sawa na 5, 000 kwa mfuko wa chakula cha kuku ambao tayari upo juu sana.
Pamoja na sera nzuri za mama samia tunaomba serikali iliangalie hili kwa haraka sana tofauti na hvyo serikali ijue inawachimbia kaburi wajasiria mali wadogo wadogo
Serikali zote duniani kazi ya kwanza ni kulinda biashara zisife ili uchumi uendelee kukua. Serikali inahitajika hapa kulinda wafugaji
Asanteni naomba kuwasilisha
Ongezeko hili ni hatari kubwa kwa wafugaji wafugaji wa kuku na wengineo kwa sababu ongezeko hili ni sawa na 5, 000 kwa mfuko wa chakula cha kuku ambao tayari upo juu sana.
Pamoja na sera nzuri za mama samia tunaomba serikali iliangalie hili kwa haraka sana tofauti na hvyo serikali ijue inawachimbia kaburi wajasiria mali wadogo wadogo
Serikali zote duniani kazi ya kwanza ni kulinda biashara zisife ili uchumi uendelee kukua. Serikali inahitajika hapa kulinda wafugaji
Asanteni naomba kuwasilisha