Nyoka mwenye uwezo wa kuua kwa sekunde 5 apatikana

Mamujay

Senior Member
Dec 24, 2022
150
342
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB: Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

👇
FB_IMG_16773841702021447.jpg
 
""MBABE HUYU HAPA""
Anaitwa Collin diep.

Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani.

Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu.

Apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB:- Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

View attachment 2530182
matope
 
""MBABE HUYU HAPA""
Anaitwa Collin diep.

Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani.

Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu.

Apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB:- Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

👇View attachment 2530182
Sawa
 
Huyu anafaa kuwa pet snake anavutia sana,unamuweka kwenye kikabati cha kioo anakua kivutio sebuleni..btw niliacha kuogopa nyoka baada ya kungalia kile kipindi cha "Snake in the city" National geographic channel..kumbe ni viumbe hawana tabu na mtu..🤣
 
""MBABE HUYU HAPA""
Anaitwa Collin diep.

Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani.

Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu.

Apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB:- Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

👇View attachment 2530182
Aliyempiga hii picha ye'hakufa?

Maana nimeona hakamatiki wala hafikiriki!

Ukimuona ni tatizo kubwa na ukimuwaza unaweweseka kwa wazimu ama kuanguka kifafa!

Nd'onajiuliza hii picha ilichukuliwaje na mwenye kuichukua bado yupo hai?

Na tulioiangalia hatutapata madhara yoyote kweli?
 
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB: Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

👇View attachment 2530182
Anaonekana kwa hakika ndio mbabe katika jamii ya nyoka, ila kama mwandishi kaongezea chumvi maeneo kadhaa.
 
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB: Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

View attachment 2530182
Akili za Hadithi ya kufikirika!
Umezoea kuwanga ndio watuletea uzi hapa!!
 
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB: Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

View attachment 2530182
Hii nadhani ni ya yule jamaa wa Moro kule FB ni muongo kapitiliza hizi fact zina walakini mkubwa

Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.
3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.
12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.
14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.
 
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB: Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

View attachment 2530182
Sekunde 5 unazijua wewe???
 
Mbabe huyu hapa, anaitwa Collin diep. Nyoka mwenye maajabu mengi kuliko wote duniani. Leo fahamu maajabu 15 ya nyoka huyu, apatikana kwenye sehem za misitu, mabonde na mito.

1. Ana sumu inayoweza kuua ndani ya sekunde tano na mzoga ukaoza ndani ya dakika 10.

2. Ana rangi 26 mwilini mwake.

3. Anaweza kubadilika anapohisi kuwa kuna adui karibu yake na kuwa mamba.

4. Anaweza kung'ata watu 250 ndani ya sekunde tano na wote wakafa ndani ya sekunde hizo.

5. Ana urefu wa mita 25 yaani robo ya uwanja wa mpira wa miguu.

6. Anaweza kuruka kwa urefu wa mita 75 yaani robo tatu ya urefu wa uwanja wa mpira wa miguu.

7. Sehem aliyepita na kisha binadamu akapita kwa muda huo, anaweza kupalalaiz yaani akapata strock.

8. Anaweza kurusha mate na yakaenda urefu wa mita 100.

9. Anaweza kusikia na kuona kitu kilicho umbali wa kilomita 10.

10. Ukipata harufu yake unatoka vidonda kooni na baada ya siku chache utakufa.

11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani.

12. Hazalishi wala hazai kwa sababu nyoka huyu huteremshwa toka angani.

13. Hana jinsia yoyote.

14. Anatabia ya kulipiza kisasi pale alijeruhiwa. Hutoka msituni na kuja kuleta fujo mtaani.

15. Ana Iman ya dini na hujishughulisha na ibada.

NB: Asante, Kwa updates nyingine endelea kuwa nami.

👇View attachment 2530182
Huu ni uongo aise
 
Back
Top Bottom