Ripoti: Waasi wa M23 walibaka wanawake na kuua waume zao DR-Congo

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
Taasisi ya #AmnestyInternational imesema zaidi ya Wanawake na Wasichana 66 walifanyiwa Vitendo vya Ukatili ikiwemo Kubakwa katika kijiji cha Kishishe na kuua Wanaume kadhaa Novemba 2022.

Kupitia mahojiano waliyofanyiwa baadhi ya Waathirika wa vitendo hivyo wamesema Waasi wa #M23 walivamia Vijiji, Kuvunja Nyumba, Kufanya Ubakaji bila kujali Umri wa Wanawake na Wasichana pamoja na Kuwaua Waume zao.

Amnesty International imesema vitendo hivi vilikuwa sehemu ya kampeni ya M23 Kuwaadhibu na Kuwadhalilisha raia wanaoshukiwa kuwa wafuasi wa makundi pinzani dhidi yao. #UmojaWaMataifa (UN) unakadiria M23 waliua raia 131 katika shambulio hilo.

=================

A new report from Amnesty International claims that M23 rebels raped more than 66 women and girls mainly in the Kishishe village in the Democratic Republic of Congo in November last year, in a wave of violence where they are accused of hunting down and killing men.

The latest report adds to a growing list of war crimes allegedly committed by fighting groups in the conflict that has been running for decades. M23 denies the claims.

The report claims that members of the rebel group killed at least 20 men and raped dozens of women and girls mainly in Kishishe, a small village located 100km (62 miles) north of the provincial capital Goma.

In the interviews, some of which the BBC has seen, women narrate how rebels attacked the village, broke into their homes, raped them and killed their men.

A regional official who spoke to the BBC anonymously says he witnessed the women and children fleeing, and echoed Amnesty International’s concerns that survivors of sexual assault were not receiving sufficient health care beyond basic kits.

But the M23 denies its soldiers raped women in Kishishe.

M23 chairman Bertrand Bisimwa dismissed the reports as propaganda and told the BBC his group insists on an independent investigation to establish what happened.

Amnesty International believes these acts were part of a campaign waged by M23 to punish and humiliate civilians suspected of being supporters of rival armed groups.

These attacks were part of last year’s massacre which the UN estimates killed at least 131 civilians.

BBC
 
Back
Top Bottom