Mwanzoni mwa karne ya kwanza huko uyahudi alitokea kijana mdogo aliyejitokeza kupinga na kukosoa baadhi ya taratibu dini ya kiyahudi. Kutokana na umahiri wake katika kuhubiri alifanikiwa kupata wafuasi wengi na kuonekana ni tishio kwa dini na uongozi wa wakati huo.
Viongozi walikaa chini na...