jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Miaka ya nyuma nilikuwa napokea fedha kupitia EMS(HAWALA YA FEDHA)
Baadae nikafungua akaunt benki ya posta na sasa kuna MPesa and the likes.
Je wachumi wamewahi kufanya analysis ya kiasi cha fedha kilichochepushwa kutoka mfumo wa kibenki kwenda mfumo wa simu??
Hivi ni kwa nini benki yetu ya maendeleo vijijini(CRDB) iliuzwa na kubadilishwa kinyemela??
Baadae nikafungua akaunt benki ya posta na sasa kuna MPesa and the likes.
Je wachumi wamewahi kufanya analysis ya kiasi cha fedha kilichochepushwa kutoka mfumo wa kibenki kwenda mfumo wa simu??
Hivi ni kwa nini benki yetu ya maendeleo vijijini(CRDB) iliuzwa na kubadilishwa kinyemela??