Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Haya kumekucha huko Zanzibar
WatafHuku mtaani ni kwamba huenda ACT Wazalendo wakajitoa kwenye serikali...
Watakuwa wamefanya uamuzi sahihi. Better late than never.Huku mtaani ni kwamba huenda ACT Wazalendo wakajitoa kwenye serikali...
THUBUTU....HAKUNA WA KUACHIA NGAZI BROTHER HILO SAHAU ACT-WAZALENDO WANAJUA WAMEPOTEZA JIMBO KWA KUSHINDWA KIHALALI KABISA LAKINI SASA KUKIRI UKWELI NDIO CHANGAMOTO LAKINI TUMEWASHTUKIA
Wafanye haraka, kipindi.kilichpitavhawakuwamo kwenye serikari lakini zanziba ipo tu.Huku mtaani ni kwamba huenda ACT Wazalendo wakajitoa kwenye serikali...
Bora Magufuri aliisha jiondokea, Maana kila baya likitokea anapewa Magufuri, sasahivi sijui lawama kwa nani, Maana mbeba mabaya hayupo 😄😁😁Tulionya tukapuuzwa , Shetani hana rafiki
Ccm ni zaidi ya vichaa ni genge haramu linalosaidiwa ku-exist Na vyombo vya usalamaCcm ni viumbe wapumbavu sana! Ni wabinafsi mpaka wanakera! Wajiona wenyewe wana haki ya kipekee ya kuitawala Tanzania.
Zito zubair kane ni mnafiki sana! Anajiona yeye ni mtu Bora na mwenye akili nyingi.Hao act waje tuungane kuta ka katiba mpya waache ujinga
Si kweli. Uwezo mkubwa wa nchi hizo unatokana na kuwa na utawala bora na katiba/makubaliano imara yaliyojadiliwa na kuhitimishwa kikamilifu. Miungano yao imesimama kwenye nguzo imara za maelewano yaliyoainishwa ndani ya katiba na makubaliano husika.Kitu ambacho sipendi ni muungano kuvunjika. Utawasikia baadhi wanaomba msaada na kulalamika kwa nchi za Ulaya ambazo nazo zimeungana. Ujerumani, Uingereza, Marekani bila kuungana zingekuwa na uwezo mdogo kuliko sasa
Muungano wa Tanzania hauna tija kwa pande zote 2.Kitu ambacho sipendi ni muungano kuvunjika. Utawasikia baadhi wanaomba msaada na kulalamika kwa nchi za Ulaya ambazo nazo zimeungana. Ujerumani, Uingereza, Marekani bila kuungana zingekuwa na uwezo mdogo kuliko sasa
Ulaya kulikuwa kuna nchi inaitwa Czechoslovakia. Sehemu moja ilipoona kuwa hairidhiki na hali ilivyo ikafanywa referendum kuhusu ushirika huo. Sharti likikuwa nchi itabaki ilivyo kama tu pande zote zitaridhia. Pande moja ikakataa, wakaheshimu maamuzi, wakapeana talaka. Matokeo ni nchi ya Czech na Slovakia. Mpaka sasa wanaishi kwa amani.Kitu ambacho sipendi ni muungano kuvunjika. Utawasikia baadhi wanaomba msaada na kulalamika kwa nchi za Ulaya ambazo nazo zimeungana. Ujerumani, Uingereza, Marekani bila kuungana zingekuwa na uwezo mdogo kuliko sasa