kuolewa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Brain Kingdom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume ambae hana mpango wa kuoa ni Mbwa Dume na Mwanamke ambae hana mpango wa kuolewa ni Paka Jike.

    Kupanga ni kuchagua mwanaume ambae hana nia ya kuoa ni Mbwa Dume na Mwanamke ambae hana mpango wa kuolewa ni Paka Jike, uamuzi ni wenu. Fuatilia tabia na mienendo ya maisha ya hao viumbe hawanaga ndoa wala kuoa au kuolewa. Hawa viumbe kazi yao ni kunyandua na kupata matokeo ya minyanduano...
  2. I

    JamiiForums Tanzania Binti wangu hawezi kuolewa na mtu maskini - Elon Musk

    Tajiri namba moja duniani Bw. Elon Musk amesema binti yake hawezi kuolewa na mtu maskini. Ukisoma maelezo yake hapa chini bila shaka utakubaliana na dhana yake hiyo. Tofauti na wengi tunavyoelewa maana halisi ya mtu maskini kwa tafsiri rahisi na ya haraka haraka ni kwamba ni yule mtu asiye na...
  3. Ricky Blair

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usioe au kuolewa na mtu uliyempenda kwa dhati

    Usioe au kuolewa na mtu uliyempenda kwa dhati( whatever that means because watu wanapenda tu wakiona watapata nn sana sana wanawake) oa au olewa na rafiki kipenzi na mtu mnayeendana kitabia, maadili na pesa. Mtu ambaye mw akili na km mtazaa una uhakika watoto watakuwa na Genes nzuri na mtu...
  4. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mama Samia : Utafiti unaonesha Zaidi ya nusu ya Tanzania wenye umri wa kuoa au kuolewa hawajaingia kwenye ndoa . Je sababu yako ni nini ?

    Ameyasema hayo leo Jumapili, Januari 21, 2024 alipokuwa akizungumza kwenye Ibada Maalumu ya kumuingiza kazini Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa iliyofanyika katika viwanja vya Kanisa Kuu la Azania Front, Dayosisi ya Mashariki na Pwani. “Kwa wakazi wa...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Eti anatushangaa kwa kutokuoa au kuolewa

    yaani umebana kila kona hata hela ya kununua tu sukari achilia mbali unga wa sembe hatuwezi na usivyo na haya wala huruma unatushangaa kwanini hatuoni wala hatuolewi kwa mfano cognizant ningetaka kumuoa huyo binti yako au huyo mjukuu wako mzuri mzuri na kukuambia sina uchumi wala shughuli ya...
  6. Mjanja M1

    JamiiForums Tanzania Hili ndio jibu la Aunt Ezekiel kuhusu yeye kuolewa na Kusah

    Aunt Ezekiel amejibu swali la ni lini ataolewa na Baba mtoto wake ambae pia ni msanii wa Bongo Fleva "Kusah". ANGALIA VIDEO HAPA Written by Mjanja M1 Video from RickMedia
  7. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza kwa anayefahamu kwa uhakika: Ni miaka mingapi mwajiriwa mpya wa jeshi la magereza inabidi akae bila kuoa au kuolewa?

    Naomba kufahamu je ni miaka mingapi mwajiriwa mpya wa jeshi la magereza atalazimika kukaa kabla ya kuruhusiwa kuoa au kuolewa?. Kuna ndugu ameuliza swali hilo ili afanye maamuzi ya kujiunga na jeshi hilo. Tafadhali anayejua kwa uhakika naomba anijuze.
  8. Mjanja M1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usije Dar kwasababu ya kuolewa

    Kumekuwa na Tabia ya wanawake wa Mkoani wanapokuja Dar kutaka kupata Mume wa kumuoa. Hii tabia ipo sana kwa Wanafunzi wa Vyuo vikuu na Mabeki 3. Ningependa kuwaambia kuwa hilo lengo lenu sio sahihi, na mnajidanganya kwa kiasi kikubwa. Ukitoka mkoa uje Dar kwa malengo mengine na sio kuolewa.
  9. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa kike shule za sekondari nyingi Mtwara wanadanga na wazazi ni kama wamebariki kabisa

    Ifike mahali sasa serikali ifanye uamuzi wa busara. 1. Ipunguze umri wa mwanamke kuruhusiwa kuingia katika ndoa kutoka miaka 18 hadi ( 14 & 15) kwa watu wa dini zote sio waislamu pekee maana sheria ya Ndoa ya mwaka 71 inasema kwamba mtoto wa kike Muumini wa dini ya kiislamu anaruhusiwa kuingia...
  10. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zama hizi wanawake wote wanaojiweza kiuchumi hawataki kuolewa

    Ni wanawake wasiojitambua na wenye vipato duni ndiyo wanaolewa wakidhani kwa kufanya hivyo ndiyo maisha yao yatakuwa rahisi. Hapa chini ni mifano michache ya wanawake wanaojitambua ambao wamekataa ndoa.:- 1. Salama Jabri. 2. Fatuma Karume. 3. Maria Sarungi. 4. Kajala. 5. Dinar Marios. 6...
  11. Manyanza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Makosa sita lazima wanawake wayaepuke katika uchaguzi wakati wa kuolewa

    All JF Ladies around 20's + Pitieni na hapa mpate darasa la bure kabisa 1️⃣. Nitaolewa nae kwa sababu ni mwenzangu wa kabila moja. Ukweli kwamba yeye ni mwenzako wa kabila haumfanyi kuwa mzuri kwako. 2️⃣. Nitaolewa nae kwa sababu Yeye ni Tajiri. Ukweli kwamba yeye ni tajiri sasa haimaanishi...
  12. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umejichanganya ukazaa kabla ya Kuolewa ukajifanya Mjanja basi imekula kwako maisha yako yote

    Hili jambo ni janga kubwa kwa vijana wenzetu. Hasa mzigo unalalia kwa Mwanamke. Kwa uzoefu wangu wa mahusiano na mapenzi nimeona Single mothers wanapata shida kubwa sana kwenye jamii. Hawa wasichana wadogo tuwashauri kwa nguvu zote na elimu zote kwamba wafanya mapenzi na uzinzi wao lakini...
  13. Kusini pride

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jana nimepigwa ngumi na mke wangu na amesema anajuta kuolewa na mimi

    Hivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu...
  14. DR HAYA LAND

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hizi ndio sababu zinazopelekea wanawake wa wazuri kukosa kuolewa na baadhi yao kujiuza

    Hili jambo la wanawake wenye mwonekano mzuri na umbo kukosa kuolewa na kuishia kuwa malaya lipo kiroho zaidi. Kwanza ieleweke hivi sio wanawake wote wazuri hawana akili au ni Malaya Ila baadhi yao hawana akili na wameishia kuwa michupuko na Malaya. Hipo hivi binadamu anapozaliwa huwa anapewa...
  15. matunduizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Matokeo matatu ya kuoa au kuolewa na mwanamke/mwanaume uliyezini naye

    1: Ataendelea kuzini na wengine akipata nafasi. 2: Msingi wa ndoa utakuwa ni mashaka na kujishtukia. Msingi huo utaarika kurogwa na limbwata kwa mwenzi ili ajiongezee konfidensi. 3: Tendo la ndoa ndani ya ndoa huarika malaika wa baraka na utele. Tendo la ndoa nje ya ndoa au kabla ya ndoa...
  16. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama unataka kuoa au kuolewa haraka soma ujumbe huu

    HABARI NJEMA KWA WANAUME NA WANAWAKE WANAIHITAJI MKE AU MME Kama wewe ni manadada unatamani kuolewa lakini hakuna WANAUME walio serious kukutongoza ili wakuoe Sasa tatizo Hilo linatatuliwa Kwa HARAKA sana Kwa kutumia dawa unakuwa umepata mchumba WA uhakika WA kukuoa na SIO kuchezewa Kwa...
  17. Stroke

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kweli ndoa ngumu, binti anataka kuolewa na boda boda

    Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa. Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda. Binti: lakini mama huyu ni muelewa. Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe. Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli?? Binti ni pisi kali mno...
  18. X

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake hivi na nyinyi mkikuta mwanaume ana mtoto mnakataa kuolewa naye?? 🤔🤔

    Habari ndugu wanajf? Kuna mjadala uaendelea humu JF kuhusu single maza, wanaume kwa pamoja tumekubaliana HATUOI single maza. Turudi kwenu wanawake, hivi na nyinyi mkikuta mwanaume ana mtoto mnakataa kuolewa naye?? 🤔🤔
  19. Gentlemen_

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SIRI: Mwanamke ambae hajui Mapishi (Kupika) hafai, na hapaswi hata kuolewa

    UCHAMBUZI wa KUSTAWISHA JAMII. Baada ya kufanya tafiti, upembuzi na ulinganifu nikaja na jibu kwamba MWANAMKE ambae hajui Mapishi/Mapochopocho/ kukaangiza basi huyo Mwanamke hakufai kimbia. Ndio maana sisi Watanzania mtu akioa tunasema "Jamaa kavuta JIKO" eeh. Hiyo kauli ina maana kubwa sana...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukishaoa au kuolewa Ukweni panakuwa Kwenu

    UKISHAOA AU KUOLEWA UKWENI PANAKUWA KWENU, Anàandika, Robert Heriel Mtibeli. Kwenu(ulipozaliwa) sio kwako. Weka Akilini. Kwako patageuka "kwenu" ya watoto wako. Ukiwa kijana ambaye hujaoa na unaishi kwenye na unaakili unatambua kabisa hapo unapoishi kwa wazazi wako sio Kwako bali ni kwenu na...
Back
Top Bottom