Kweli ndoa ngumu, binti anataka kuolewa na boda boda

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,691
40,944
Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.

Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.

Binti: lakini mama huyu ni muelewa.

Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.

Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??

Binti ni pisi kali mno.

Naamini boda boda anajituma mno.

Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.
 
Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.

Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.

Binti: lakini mama huyu ni muelewa.

Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.

Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??

Binti ni pisi kali mno.

Naamini boda boda anajituma mno.

Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.
Una mawazo ya kimaskini. BADILIKA
 
Duh mleta hoja una mtindio wa ubongo,bodaboda ni binadamu kama alivyo mama samia au Mh Majaliwa,by the way hatuwezi wote kuwa maafisa wa serikali,lazima wawepo watu kama hao,kwahiyo unataka bodaboda asioe!?
Kuna jamaa tumeoa mji mmoja,yeye kaoa mkubwa mimi mdogo,japo umri namzidi,jamaa alikuwa ni bodaboda mimi mwalimu,ya Mungu hayajulikani,nikasikia anajenga nyumba ya bati za rangi vyumba vinne,mara kanunua nyumba ya 40M,sijakaa sawa kanunua gari,hadi muda huu mimi sina gari wala maisha anayoishi huyu bwana siwezi kumfikia,ananizidi mara mia na huu ualimu wangu.

Mwaka jana nilienda kumsabahi nikaiona nyumba yake ,ni jumba kubwa la watu wenye pesa ndo wanaweza ishi humo
punguza dharau kwa watu unaodhani unawazidi kiapato kijana!!
 
Na mara nyingi wanaoiona ndoa ngumu ni ninyi third parties. Wewe na huyo mama mtu Hamna utofauti.

Ndoa ni maisha kama yalivyo maisha mengine, pressure kubwa hutoka nje ya wanandoa mkiruhusu maoni ya watu wengine kwenye maisha yenu hakuna rangi mtaacha kuona.
 
Nasikiliza mazungumzo ya mama na binti yake hapa.

Binti anajaribu kumshawishi mama yake amruhusu aolewe na dereva boda boda.

Binti: lakini mama huyu ni muelewa.

Mama : kwanini usitafute kijana msomi kama wewe.

Hivi kweli biashara zao zinaweza kuendesha kweli??

Binti ni pisi kali mno.

Naamini boda boda anajituma mno.

Haya wazazi kazi kwenu kazi kwa vijana zilizobakia ndio hizi za boda na ndio hao wakwe zenu.
Hebu nipe namba ya huyo binti nimuoe
 
Back
Top Bottom