Ameyasema hayo leo Jumapili, Januari 21, 2024 alipokuwa akizungumza kwenye Ibada Maalumu ya kumuingiza kazini Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa iliyofanyika katika viwanja vya Kanisa Kuu la Azania Front, Dayosisi ya Mashariki na Pwani.
“Kwa wakazi wa mijini ni wastani wa asilimia 61 na vijini 55.5 na kwamba wanaofanikiwa kuingia kwenye ndoa kuna changamoto mbalimbali zinazosababisha migogoro ya ndoa, kwa mfano mwaka 2022/23 kulikuwa na mashauri 39,571 ya migogoro ya ndoa na katika nusu ya kwanza ya 2023/24 tayari tumeshapokea mashauri 28,773
nawaza tu ndani ya mwaka mmoja mahakamani kuna kesi za talaka za ndoa 39,571
Nusu mwaka kuna kesi za divorce za ndoa 28773
Taasisi ya Ndoa inaelekea wapi ?
“Kwa wakazi wa mijini ni wastani wa asilimia 61 na vijini 55.5 na kwamba wanaofanikiwa kuingia kwenye ndoa kuna changamoto mbalimbali zinazosababisha migogoro ya ndoa, kwa mfano mwaka 2022/23 kulikuwa na mashauri 39,571 ya migogoro ya ndoa na katika nusu ya kwanza ya 2023/24 tayari tumeshapokea mashauri 28,773
nawaza tu ndani ya mwaka mmoja mahakamani kuna kesi za talaka za ndoa 39,571
Nusu mwaka kuna kesi za divorce za ndoa 28773
Taasisi ya Ndoa inaelekea wapi ?