Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 391
- 873
Usioe au kuolewa na mtu uliyempenda kwa dhati( whatever that means because watu wanapenda tu wakiona watapata nn sana sana wanawake) oa au olewa na rafiki kipenzi na mtu mnayeendana kitabia, maadili na pesa.
Mtu ambaye mw akili na km mtazaa una uhakika watoto watakuwa na Genes nzuri na mtu ambaye anajua kumanage pesa na mnakuwa partners na mnakuwa kimahesabu; kuliko ku fall in love cjui nn bla bla bla hapo utaumizwa tu lazima.
Mtu ambaye mw akili na km mtazaa una uhakika watoto watakuwa na Genes nzuri na mtu ambaye anajua kumanage pesa na mnakuwa partners na mnakuwa kimahesabu; kuliko ku fall in love cjui nn bla bla bla hapo utaumizwa tu lazima.