kukomesha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyakitagara

    Tusaidiane namna kukomesha wizi wa nyaya za umeme baada ya kufanya wiring

    Habari za jioni Jukwaa, Naomba msaada wa kuzuia wezi wa nyaya za umeme, mwezi mmoja umepita nimefanya wiring kwenye nyumba yangu na sasa inanibidi nirudie tena hii ni baada ya mwizi wa waya kuingia na kukata kata nyaya kwenye main switch na juu kwenye dali, inasikitisha sana pale unapofikiri...
  2. OKW BOBAN SUNZU

    Njia ya kibabe kukomesha fitna na majungu

    Katika harakati za kutafuta mkate kumekuwa na fitina nyingi na majungu miongoni mwetu. Sasa katika biashara zangu nikapata bro ambaye kila ikitika jioni anapiga simu kuwasema wenzake mabaya. Nilimvumilia mara ya kwanza tu,mara ya pili nimemuunga conference call (mkutano) na mtu aliyekuwa...
  3. Molleli

    Amos Makalla katika harakati za kukomesha biashara ya ukahaba Dar es Salam

    Wakuu nimeona nipite na hii sababu naona kama viongozi wetu sometimes wanakua wamekosa kazi za kufanya na kuanza kuyasakama mambo ambayo yapo toka enzi na hata wao pia ni wateja wazuri wa ao watu wanao wahita makahaba. Kwanza kabisa biashara ya ukahaba kwa jiji la Dar ni biashara ya Muda mrefu...
  4. mshale21

    Wakurugenzi wa Manispaa/ Halmashauri kuiba mali au fedha za serikali, nini kifanyike kukomesha tabia hii?

    Kumekuwa na tabia endelevu kwa wakurugenzi kujirimbikizia Mali au kuiba fedha za serikali ambazo ni jasho la walipa kodi na watoa michango kwa ajili ya maendeleo ya nchi! Hii hali haikomi? Kwa mfano, zimepita siku kadhaa tumeshuhudia aliyekuwa mkurungenzi wa Temeke, Bw. Mwakabibi akiburuzwa...
Back
Top Bottom