Nini kifanyike kukomesha ubakaji na ulawiti kwa watoto?

Bushmamy

JF-Expert Member
Aug 18, 2019
8,848
15,252
Vitendo vya ukatili wa kijinsia vimekuwa vikiongezeka kila leo, vitendo hivyo vikihusisha ulawiti, na ubakaji.

Ijapo kumekuwa na sheria ya vifungo vya miaka kadhaa hadi vifungo vya maisha gerezani lakini bado inaonekana adhabu hiyo haitoshi kwa kuwa vitendo hivyo vimekuwa vikiongezeka siku hadi Siku na hivyo kuwaachia makovu makubwa watoto, wazazi, walezi na ndugu.

Mfano mkoani Mbeya ndani kipindi cha mwezi February hadi March 2023 makosa 284 ya ubakaji yameripotiwa, hiki ni kiwango kikubwa ndani ya muda wa miezi miwili na katika mkoa mmoja.

Je, hali Ikoje katika mikoa mingine ndani ya nchi yetu?

Je, nini kifanyike au Sheria gani itungwe itakayoweza kukomesha au kutokomeza kabisa aina hii ya ukatili kwa watoto?
 
Uislam ndio suluhisho
Sema watu wafuate mafundisho yake, watumie maandiko yake kudhibiti hamu na mihemko na pia wajiepushe na ushirikina....maana wakati mwingine ni masharti ya waganga.

Ukisema uislamu tu bila kufafanua wengine wanawaeza wasielewe.....uislamu/dini iwekwe kwenye matendo bila unafiki.
 
Vitendo vya ukatili wa kijinsia vimekuwa vikiongezeka kila leo, vitendo hivyo vikihusisha ulawiti, na ubakaji.

Ijapo kumekuwa na sheria ya vifungo vya miaka kadhaa hadi vifungo vya maisha gerezani lakini bado inaonekana adhabu hiyo haitoshi kwa kuwa vitendo hivyo vimekuwa vikiongezeka siku hadi Siku na hivyo kuwaachia makovu makubwa watoto, wazazi, walezi na ndugu.

Mfano mkoani Mbeya ndani kipindi cha mwezi February hadi March 2023 makosa 284 ya ubakaji yameripotiwa, hiki ni kiwango kikubwa ndani ya muda wa miezi miwili na katika mkoa mmoja.

Je, hali Ikoje katika mikoa mingine ndani ya nchi yetu?

Je, nini kifanyike au Sheria gani itungwe itakayoweza kukomesha au kutokomeza kabisa aina hii ya ukatili kwa watoto?
Kuna mmoja kaninong'oneza hapa, kasema; hao kiboko yao ni kuondoa mashine wanayotumika kubaka.
Yes! Hii naona itasaidia.
 
Sema watu wafuate mafundisho yake, watumie maandiko yake kudhibiti hamu na mihemko na pia wajiepushe na ushirikina....maana wakati mwingine ni masharti ya waganga.

Ukisema uislamu tu bila kufafanua wengine wanawaeza wasielewe.....uislamu/dini iwekwe kwenye matendo bila unafiki.
Uislam kwa maana ya sheria na kanuni,kwani ndio mfumo pekee wa maisha usiotenganisha baina ya roho na mwili, kwani mifumo mingine imeshindwa pamoja na kuweka adhabu kubwa lakini kutofautisha mwili na roho kumeshindwa kuwaletea tija
 
Nasikia kuna Mwalimu hapo Dar amelawiti mtoto. Uzi upo humu ? Shule ipo Ubungo
 
Vitendo vya ukatili wa kijinsia vimekuwa vikiongezeka kila leo, vitendo hivyo vikihusisha ulawiti, na ubakaji.

Ijapo kumekuwa na sheria ya vifungo vya miaka kadhaa hadi vifungo vya maisha gerezani lakini bado inaonekana adhabu hiyo haitoshi kwa kuwa vitendo hivyo vimekuwa vikiongezeka siku hadi Siku na hivyo kuwaachia makovu makubwa watoto, wazazi, walezi na ndugu.

Mfano mkoani Mbeya ndani kipindi cha mwezi February hadi March 2023 makosa 284 ya ubakaji yameripotiwa, hiki ni kiwango kikubwa ndani ya muda wa miezi miwili na katika mkoa mmoja.

Je, hali Ikoje katika mikoa mingine ndani ya nchi yetu?

Je, nini kifanyike au Sheria gani itungwe itakayoweza kukomesha au kutokomeza kabisa aina hii ya ukatili kwa watoto?
Kama vifungo virefu havitoshi, hivi kuhasi hakuwezi kuwa muarobaini?

Hakuna mwanaume atakubali kutenda kosa litakalopelekea anyang'anywe himaya yake.

Ikitungwa sheria hiyo, wabakaji watajiheshimu na ubakaji utapungua ama kwisha kabisa.
 
Back
Top Bottom