Habari wanajukwaa.
Ninaombeni mnisaidie maoni yenu kuhusu kozi saivi yenye kusomea kwa kijana wa pcm mwenye 1 point 8.
Mie nimemshauri ya kwanza
Chemical Engineering
Electrical Engineering
Mechanical engineering.
Nishaurini kwa kujazia nyama.
Mana nimeona kemiko Ana wigo Mpana Sana wa kazi...