Habari wakuu, hii michuano ya kombe la dunia hakuna timu kutoka Afrika itakayoingia robo au nusu fainali. Hawa Morocco wameotea tu ila kiama cha timu za Afrika chaja round 2.
Nipo Pape mwanaa asipulika!!!
Leo nimekumbuka wenzangu waliopta bahati kusoma USA kwa msaada wa serikali ila wote walikataa kurudi nchini.
Kuna nchi ambazo raia wake wakifa huko ni ngumu serikali yake kumchukua.
Kuna mataifa ambayo yanaweza kutumia njia hii japo mnaona ubaguzi ila mtasikia mbeleni.
Mfano yule refa Somalia...
Mwaka wa 1950 timu dhaifu ya USA ilipanda mtumbwi na kuvuka bahari ya Atantic kuingia nchini Brazil kushiriki kombe la dunia la tatu.
SIku chache kabla ya kwenda baharini kocha wa Marekani alimchukua mwanafunzi wa chuo na muosha vyombo mahotelini viunga vya Brooklyn, New York, JOE GAETJENS...
Timu ya taifa ya England imepata pigo kubwa kabla ya mechi yao ya kwanza ya Kombe la Dunia. Kiasi kikubwa cha vifaa vya timu kimeibwa Kansas City, Marekani, wakati vilipokuwa vinasafirishwa kutoka Florida kwenda kambi yao ya mazoezi.
Vitu vilivyotajwa kuibiwa ni pamoja na:
• Viatu vya...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ni miongoni mwa waliohudhuria ufunguzi wa Fainali za Kombe la Dunia.
Uzinduzi huo umefanyika katika Uwanja wa Azteca uliopo Mexico City, Mexico.
Soma Pia: Full Time: Ufunguzi Kombe la Dunia 2026 | Mexico 2-0 Afrika Kusini | Uwanja...
David Eby, Waziri Mkuu wa jimbo la British Columbia nchini Kanada, ametangaza kuwa jimbo lake liko tayari na litafurahi sana kumkaribisha Omar Artan. Alieleza kuwa Artan anapaswa kuruhusiwa kuchezesha mechi za Kombe la Dunia ndani ya eneo lake la utawala, haswa katika jiji la Vancouver ambalo ni...
Hamna siku inayo pita bila kufuatilia chombo cha habari pamoja na social network ila nipo mbali sana na habari za mpira.
Mchana niliona instagram shamra sahara za fifa lakini akili yangu najua bado mwezi mmoja nikawa dili na bajeti!
Kumbe ni leo bwana! Japo siupendi mpira ila nitafuatilia ...
Tulizoea kuona mambo mengi sana kabla ya kombe la dunia. Nashangaa sijaona logo rasmi, sijaona font rasmi sijaona katuni(mascot) hakuna amsha amsha. Kilichoboa zaidi ni vigezo vya kuingia Marekani.
Maafisa wa Iran na baadhi ya nchi nyingine kufukuzwa kwa refarii wa kisomali yani katika kitu...
Hamjambo
Naomba wasiwe wanachagua mechi waonyeshe mechi zote
Na waache tabia ya kukata mechi kipindi inaendelea
Nafikiria kidogo kuunganisha mawazo yangu Azam Tv na TBC kuhusu kuonyesha hizi mechi lakini binafs hainihusu
Sina pesa ya kulipia king’amuzi kwa miez hii miwili mitatu na stress...
Haiti imelazimika kubadilisha jezi zake za Kombe la Dunia Saa chache kabla ya kuanza kwa Kombe la Dunia 2026 baada ya FIFA kubaini kuwa baadhi ya vipengele vya muundo wake vinakiuka kanuni za taasisi hiyo kuhusu ujumbe wa kisiasa. Jezi hizo zilikuwa zimetengenezwa na kampuni ya Colombia ya Saeta...
World Cup 2026 prize money – how much do teams earn for taking part and winning?
THE 2026 FIFA World Cup will reportedly have a record prize pool, a stark increase from the £380million ($440m) up for grabs in 2022.
This prize money is set to be split between the 48 competing teams. Here we...
Ndiyo, leo ndiyo siku ya ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026! ⚽🌎
Mexico itafungua Kombe la Dunia dhidi ya Afrika Kusini mjini Mexico City. Hii ni marudio ya mechi ya ufunguzi ya Kombe la Dunia 2010, ambapo timu hizi zilitoka sare ya 1–1 nchini Afrika Kusini.
Jambo la kipekee ni kwamba Estadio...
Kama USA imemrudisha refa wa Somalia, basi ile ni isue ndogo sana kwa Marekani, hili la Urusi Gen Z na millenia hamjui.
Urusi haishiriki Kombe la Dunia la 2026 kwa sababu FIFA iliweka kizuizi rasmi kinachozuia timu hiyo kushiriki katika mashindano yake yote tangu mwezi Februari 2022.
Hali hii...
Bingwa atakuwa Croatia.
Mimi sio mchawi.
Sio mtabiri.
Sio Ostaz.
Sio Mtume na Nabii.
Ni Mwanahisabati/ Mwanasayansi ( my mindset is scientific and mathematically oriented)/ Mwanamichezo.
Nimefanya uchambuzi wa kisayansi, nimepiga hesabu zangu zote na nimejiridhisha pasi na Shaka yoyote...
Gazeti la New York Times hivi karibuni limetoa ripoti ikisema, mwamuzi wa Kombe la Dunia la mwaka 2026 ambaye ni raia wa Somalia Omar Artan, amekataliwa kuingia nchini Marekani.
Artan alikuwa mmoja wa waamuzi 7 wa Afrika waliochaguliwa kwa Kombe la Dunia la mwaka 2026 litakalofanyika nchini...
Sasa sababu ya Trump akalazimisha kinguvu michuano hio ifanyike nchini kwake ili kujipa ujiko usio na maana yoyote ,
Sasa tunaona michuano imeshakua MIBOVU hata kabla haijaanza...joto Kali, wachezaji wanafanya mazoezi kwenye viwanja vyenye nyoka wakali, timu Zinazuiwa kuingia nchini, mara...
Msanii wa muziki, Rayvanny ametangaza kuwa atakuwa miongoni mwa wasanii watakaoshiriki katika tamasha la FIFA Countdown Concert kuelekea mashindano ya 2026 FIFA World Cup, Huko Toronto, Nchini Canada Siku ya Kesho Jumatano Juni 10
Subject: Formal Complaint – Atletico de Utopolo’s Violation of FIFA Regulations
To: Fédération Internationale de Football Association (FIFA)
From: Chief Executive Officer, Wekundu wa Msimbazi
Date: May 4, 2026
1. Introduction
Dear FIFA Disciplinary Committee,
On May 3, 2026, at 18:00...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.