kombe la dunia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Uholanzi Koeman ajiuzulu baada ya kutupwa nje Kombe la Dunia

    Ronald Koeman amejiuzulu rasmi kama kocha mkuu wa timu ya taifa ya Uholanzi baada ya timu hiyo kutolewa kwenye Kombe la Dunia 2026 katika hatua ya 32 bora kufuatia kufungwa na Morocco kwa mikwaju ya penalti. Koeman ametangaza uamuzi huo siku moja baada ya kipigo hicho kilichokatisha safari ya...
  2. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Timu za Afrika zimeonesha Uafrika wetu Kombe la Dunia

    Timu za Afrika kwenye Kombe la dunia zimeonesha tabia zetu halisi kwenye mashindano ya Kombe la dunia. 1. Wachoyo wa kupasiana (ubinafsi) 2. Wazito wa kufanya maamuzi Kwa wakati. 3. Kila anayepata mpira anatamani yeye pekee ndiyo afunge. 4. Uvivu kwenye kukaba adui. 5. Kutokufuatilia...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Unaacha swala ya Alfajiri unaangalia kombe la dunia

    Baadhi ya waislam wanaacha swala ya Alfajiri na kukaa ktk TV kuangalia kombe la Dunia. Hili ni kosa kubwa kwa muislam tena dhambi kubwa. Quran unasema: "Hakika Swala imefaradhishwa kwa Waumini kwa nyakati maalumu." (Surah An-Nisa 4:103) Na pia: "Ole wao wanaoswali, ambao wameghafilika na Swala...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Afrika Yaandika Historia Kombe la Dunia 2026 – Tanzania Tujifunze kutoka kwao

    Kombe la Dunia 2026 limeonyesha kuwa soka la Afrika limefikia hatua mpya. Mataifa mengi ya Afrika yamefanikiwa kuvuka hatua ya makundi na kuthibitisha kuwa yanaweza kushindana na vigogo wa soka duniani. Hii ni fahari kwa bara zima. Lakini mafanikio haya yanapaswa pia kuwa somo kwa Tanzania...
  5. Yoda

    JamiiForums Tanzania Tafrani kombe la dunia Marekani, mashabiki wageni walazimishwa kulipa tip 20% mighahawani na bar.

    Mashabiki wageni kutoka mataifa mbalimbali walioenda kuangalia weldi cup wamekumbana na usumbufu na sintofahamu nchini Marekani katika huduma za migahawa na bar kutokana na utamaduni wa Marekani wa mteja kulazimika kulipa 20% ya ziada juu ya gharama halisi kama tip/ ahsante/ bakshish kwa...
  6. upupu255

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Ni kweli Benjamin Netanyahu anasapoti Argentina kombe la dunia 2026?

  7. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia lina sifa moja kuibua vipaji vilivyofichika

    Naomba aliyeona mchezaji kipaji kilichoibuka Hadi leo hii tulizoea kule Brazil, ila mambo hubadilika. Au anabaki Lamine Yamal? Naomba kiwasilisha
  8. Milvik Tanzania

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia na Hangover za Asubuhi: Unakosaje Usingizi Usiku, Unakunywa na Washkaji, Kisha Unawahi Kazini? (World Cup and Morning Hangovers

    Habari za msimu huu wa Kombe la Dunia Wana-JamiiForums! Mambo yamepamba moto, na ratiba ya mechi za usiku inatupa burudani sana. Scenario iko hivi: Mechi imeisha saa sita au saa nane usiku, ulikuwa "Bar" au nyumbani kwa mshkaji mnatupa vyombo (drinks), mnapiga kelele, na furaha au machungu ya...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Kijana Pele alistaafu kucheza kombe la dunia na umri wa miaka 29 kupinga Udikteta wa Generali Medichi

    Juzi tumeona Davido nyota wa mziki wa Nigeria aki protest jukwaani utekaji na mauaji ya raia nchini mwake. Ni kawaida kwa ma star wanaojielewa. Kijana Pele akiwa na miaka 29 alishinda kombe la dunia mara ya tatu na ya mwisho. Mwaka unaofuata 1971 akastaafu mpira. Baadae akaeleza akasema...
  10. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Kombe la dunia lazima liheshimiwe

    Ebana Wanajamvi inakuwaje pande za huko? Poleni na majukumu, pilka pilka na mikiki mikiki ya hapa na pale ya kutafuta riziki maisha yaende. To my side really I can't complain as long as am sure of smoking it's something am overwhelming grateful. Faster kwenye mada watu wangu. Hiki kitu...
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kombe la dunia wenye elimu ya ujumbe kuwa timu zitakazo kutana finali na kama sio fainali basi moja wapo ni hii

    Kama unajisumbukia kuwasikiliza CCM utapata shida sana. Hapa na zungumzia dunia ambayo ina watu nyuma ya dunia wanaweza kukupa signal,habari ambazo kwa mwenye akili ndogo unaweza kusema yule kichaa. Afrika inarudishwa kwa wazungu tena. Na kombe la dunia finali kutakuwa Portuguese vs...
  12. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Taja mechi zako tano bora za kombe la dunia mpaka sasa hivi

    Kwaupande wangu hizi apa 1. Ivory coast vs Equador 2. Morroco vs Brazil 3. England vs Croatia 4. Korea vs Czech Republic 5. France vs Senegal
  13. upupu255

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Hii video camera inadondoka ni kutoka kombe la dunia au ni mechi gani? Tusaidie kuthibitisha

  14. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia 2026 Hatari sana. Huu uwanja unaogopesha kinyama.

    Aiseeee .... Kunatisha watu wamejaa sana viwanjani. Kombe limevutia sana. Tulisema halitakuwa na watu lakini tumeona hali ilivyo huko USA, Canada na Mexico. Hongera zao kwa kweli.
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Fainali ya Kombe la Dunia Mtibeli nimepata Kadi ya Mwaliko kutoka kwa binti Salher. Imekwisha! Hata siamini

    Kachezeni mnapochezaga! Sitaki salamu zenu za kichawi msije nipotezea ndege wangu. Mlifikiri nimekwama na maisha yangu yataishia hapahapa ndani. Hahaha! Hamtaweza na mmeshindwa kwa jina lile la maajabu. Oooh! Mtibeli usitoe siri zako kuna watu watakuloga safari utajifia. Thubutu! Kusema nasema...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Beki wa Iran, Ramin: Sisi tumekuja hapa kujibu maswali ya mpira, matatizo ya nchi yetu siyo yenu, ni yetu!

    Mfungaji wa bao la Ramin Rezaeian wa timu ya taifa ya Iran na Nyota wa mchezo dhidi ya New Zealand katika michuano ya Kombe la Dunia, alimwambia mwandishi wa habari kuwa kelele za kuzomea kutoka kwa waandamanaji wa diaspora ya Iran wakati wa wimbo wa taifa wa nchi yake “hazikuhusu wewe,” baada...
  17. Yoda

    JamiiForums Tanzania Wanauza kitimoto viwanjani kombe la dunia! Mpira ni zaidi ya dini.

    Kitimoto kimeuzwa na kimelika kiwanjani World Cup Mexico kwenye game ya Tunisia na Sweden! Hakika mpira ndilo jambo la kuwaunganisha binadamu wote duniani, tuheshimu sana nguvu ya football. Huenda ndio maana hata wapinzani wameshindwa kuondoa akili za raia katika Simba na Yanga.
  18. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Mashindano makali zaidi kuliko ya kombe la dunia

    Wakati mashindano ya Kombe la Dunia yanaendelea na mamilioni ya watu wakifuatilia kwa hamu kuona nani atainua kombe, nakukumbusha kwamba mashindano makali zaidi duniani hayafanyiki katika viwanja vya michezo bali ndani ya moyo wa mwanadamu. Ni mashindano kati ya mwili na roho. Mwili unatamani...
  19. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Lugha ya Kiingereza ni ngumu hata kwa Wasomi wetu, Azam TV wameajiri Wakenya na Waganda kwa ajili ya Kombe la Dunia

    AzamTv wanarusha mechi sote 104 za Kombe la Dunia kwa Kiswahili na Kiingereza. Wasomi wetu wapo idhaa ya Kiswahili kupitia Azam Sports 2HD hapo unawakuta akina Shaffih Dauda, Edo Kumwembe, Ally Mayai, Muro na wengineo wakichambua kwa manjonjo yote. Kule Azam Sports 4HD wapo akina Chiko Lawi...
  20. Stability

    JamiiForums Tanzania Hili kombe la dunia linanichanganya kwa kweli?

Back
Top Bottom