Sikujua kama kombe la dunia linaanza leo!

Sikujua kama kombe la dunia linaanza leo!

Pendaelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
12,940
Reaction score
38,033
Hamna siku inayo pita bila kufuatilia chombo cha habari pamoja na social network ila nipo mbali sana na habari za mpira.

Mchana niliona instagram shamra sahara za fifa lakini akili yangu najua bado mwezi mmoja nikawa dili na bajeti!

Kumbe ni leo bwana! Japo siupendi mpira ila nitafuatilia .

Nakumbuka mara ya kwanza kuangalia mpira haswa kombe la dunia ni 2002 kule japani nadhani, kama sijakosea alishinda mjerumani, na tokea hapo nikawa naipenda Ujerumani na mwaka ule wa 2014 ujerumani walishinda tena , i natumaini mwaka huu Ujerumani tena.
 
Kwa mara ya kwanza niliona 1994 sikuwa na akili kivileeee.

1998 niliwafaidi kina Paulo maldin na baba yake.
Deschamps, Thierry Henry djokaeerf karembeu hii timu hasa hichi kikosi baba yangu alikuwa shabiki yaani basi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom