Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,925
- 6,573
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ni miongoni mwa waliohudhuria ufunguzi wa Fainali za Kombe la Dunia.
Uzinduzi huo umefanyika katika Uwanja wa Azteca uliopo Mexico City, Mexico.
Soma Pia: Full Time: Ufunguzi Kombe la Dunia 2026 | Mexico 2-0 Afrika Kusini | Uwanja: Estadio Azteca | Mexico City
Makonda ameonekana akiwa anacheza wakati wasanii wakitumbuiza kwenye tukio hilo ambalo limefuatiwa na mechi baina ya wenyeji Mexico na Afrika Kusini.
Uzinduzi huo umefanyika katika Uwanja wa Azteca uliopo Mexico City, Mexico.
Soma Pia: Full Time: Ufunguzi Kombe la Dunia 2026 | Mexico 2-0 Afrika Kusini | Uwanja: Estadio Azteca | Mexico City
Makonda ameonekana akiwa anacheza wakati wasanii wakitumbuiza kwenye tukio hilo ambalo limefuatiwa na mechi baina ya wenyeji Mexico na Afrika Kusini.