kiwanja

  1. K

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Madale

    Kiwanja kinauzwa kipo Madale kwa Kawawa ni karibu na barabarani kina ukubwa wa square 1500 bei million 15 no:0756855563
  2. 0

    Nauza kiwanja Dodoma Nala-Lugala

    Kiwanja kimepimwa..ni kwaajili ya shule (nursery) kina ukubwa wa square meter 2786. Bei ni 6000@square meter 1 (maongezi yapo) kwa yoyote alokua interested anicheki watsap no 0755322896
  3. F

    Nahitaji kiwanja

    Kama Kichwa kinavyo jielezea; nahitaji kiwanja maeneo ya Goba, Budget yangu ni 8,000,000/= Wahusikia karibuni 0786328632
  4. B

    Plot4Sale Nauza Kiwanja

    Wadau nauza Kiwanja changu, kipo wilaya mpya ya Kigamboni, Kimepakana na viwanja vya Kisota. Kiwanja kinaangalia barabara ya kutoka Ugindoni kuelekea Kisota. Kipo sehemu tambarale hakuna maji yanayotuama. Ukubwa wa Kiwanja ni Sqrms 576. Atakaekuwa anahitaji tuwasiliane kwa namba 0713851751, Bei...
  5. F

    Kiwanja kinatakiwa

    Kiwanja kinatakiwa kiwe maeneo ya Kiluvya au Kibaha umbali usiozidi km 5 toka Morogoro Road. Ukubwa isiwe chini ya mita za mraba 750, bei ISIZIDI Tsh 2,000,000/=(milioni mbili). Zingatieni bei, umbali na ukubwa. Karibuni!
  6. nyamchele

    House4Sale Kiwanja na nyumba vinauzwa Magomeni

    Sehemu: Magomeni Kagera (kinatazamana na Morogoro Rd) Ukubwa: 347 sqm Bei: Milioni mia moja na kumi tu (110,000,000) tu Kina Leseni ya Makazi Contact: 0655888268
  7. MAMESHO

    Je, ni hatua gani ya kuchukua pale kiwanja kinapovamiwa?

    Naandika ujumbe huu kwa niaba ya dada mmoja anaitwa Joan, alinunua kiwanja kutoka kwa rafiki yake miaka ya nyuma na kupewa hati ya kijiji ambapo aliweka mashahidi watatu. Aliyemuuzia kiwanja alisafiri kwenda njje ya nje ambako ameolewa na anaishi huko kwa sasa. Joan akaanza kujenga nyumba ya...
  8. D

    Kiwanja kinauzwa wilayani Ilemela, Mwanza

    Ninauza kiwanja million 22 nafungua majadiliano kwenye bei. Kiwanja ni kikubwa kipo mtaa wa Kahama karibu na ofisi kuu za WILAYANI ILEMELA. Urefu 65 na upana 60 na barabara inaingia mpaka kiwanjani. Kiwanja ni changu kimepimwa upimaji shilikishi. Kiwanja hiki ni eneo zuri kwa SHULE, GUEST...
  9. D

    Kiwanja kinauzwa Kisesa, Mwanza

    Ninauza kiwanja Million 10 nafungua majadiliano kwenye bei. Kiwanja ni kikubwa kipo Kisesa eneo la Mwandulu. Urefu 42 na upana 36. Kiwanja ni changu kimepimwa, upimaji shirikishi. Kiwanja kimebakia katikati pekee, hakijajengwa majirani wote wamejenga tayari. Kwa maelezo zaidi namba yangu ni...
  10. BASIASI

    Hivi unapohitaji uthibitisho wa kiwanja inachukua muda gani baada ya malipo mh Lukuvi tunahitaji msaada wako

    Wenye uelewa wa hili swala bahati mbaya niko mbali na mjini mpaka jumatatu. Unapotaka kujua uhalali wa kiwanja cha mtu kuna malipo yanafanyika ili upewe barua. Kiuhalisia wanachukua muda gani maana kuna usanii unatokea mkoa mmoja kaskazini sasa inaenda wiki ya pili na pesa zishalipwa na...
  11. frama

    Plot4Sale Kiwanja Mwembe Mdogo Kigamboni Bei chee

    Pata kiwanja kwa Bei chee Mwembe Mdogo Kigamboni 696 square meters Kimepimwa +255714908121 Bei (3700000)
  12. Jangakuu

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa - Bagamoyo Kilomo

    Kiwanja kinauzwa heka 4, kipo bagamoyo kilomo kilometers sita kutoka barabara kuu ya bBgamoyo, upande wa kilomo shule ya msingi, ukienda Bagamoyo upande wa kushoto, uliza kilomo shule. Bei ni milioni 13. Kwa mawasiliano piga namba 0686 351 253.
  13. Ligaba

    Kajenga katika kiwanja cha mwanamke kinachomtokea utamhurumia

    Rafiki yangu Leo nimemsikia akiniambia sauti anazotoa yule mke wangu chumbani zinaweza kuniua. Fikiria nyumba moja mmegawana vyumba wewe na aliyekuwa mkeo baada ya kuachana. Wamepatana kila mtu awe huru na maisha yake. Anachofanya huyu mwanamke kaleta mwanaume anaishi nae inapofika usiku...
  14. Magari ya Biashara

    Tunauza Viwanja na Mashamba kwa bei nafuu

    Habari wana JF.Nina hekari 2,000 za shamba maeneo ya mazinde wilaya ya korogwe mkoani Tanga. Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje. Pembeni limepakana n mto ambao haujawahi kukauka maji. Nauza 1,000,000 Kwa Heka 1. DIRECTION YA SHAMBA LILIPO Ukiwa...
  15. kanyagio

    Kiwanja pembezoni mwa barabara cha biashara

    Wapendwa, Kinahitajika kiwanja kinacho face barabara ya lami hapa Dar es salaam. Ukubwa ni wowote Ila ni vema kuwe na mpaka unaojulikana wa barabara ili kuepuka kubomolewa. Bajeti iliyopo ni 20m.
Back
Top Bottom