kiwanja

  1. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania Pata ushauri kuhusu gharama halisi za ujenzi kulingana na mchoro wako, location ya site na landscape ya kiwanja

    Kwa mahitaji ya kutaka kujua gharama halisi utakazotumia katika kukamilisha ujenzi wa jengo lako (BOQ). Natoa huduma ya kufanya mchanganuao wa idadi halisi ya materials utakazotumia mpaka kukamilisha ujenzi. MAHITAJI 1. Mchoro 2. Kufika site. 1. MCHORO Mchoro utanisaidia kujua ukubwa wa...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Ni taratibu gani za kuuza kiwanja kilichowekwa kama dhamana zinazotakiwa kufuata baada ya mkopaji kushindwa kulipa deni?

    Naomba kuuliza iwapo mtu amekopa fedha na akaweka kiwanja kama dhamana na kukawa na mkataba wa maandishi kuwa akishindwa kulipa deni basi kiwanja alichoweka Kama dhamana kitachukuliwa na kuwa mali ya mkopeshaji na ambachi atakiuza ili kulipia deni. Kwa mfano,hata kama mkataba unamruhusu...
  3. Mikopo Chefuchefu

    JamiiForums Tanzania Kiwanja changu kimekaa kama sambusa, ninapanga kumega eneo la jirani kiwe square. Sheria inasemaje kuhusu hili?

    Kwa kweli siridhiki kuona kiwanja changu kimekaa kama sambusa.. Natamani kiwe square kama kiwanja cha mpira. Sasa ili 'kuboresha mipango miji' ninapanga kumega kama mita moja kutoka kwa jirani ili kikae sawa. Hapa ninakusanya nguvu ya tofali elfu mbili.. Nikija kuibuka naibuka na ukuta mmoja...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta shamba au kiwanja Mwanza/ Sengerema

    Natafuta kiwanja au shamba eneo la Busisi / Kigongo feli Mwanza au upande wa kuelekea Sengerema. Eneo liwe barabarani Ukubwa wowote kuanzia nusu hekari hadi hekari 2. -Eneo liwe barabarani linaweza kuwa na hati au halina. -Linaweza kuwa limepimwa au halijapimwa. Uaminifu ni muhimu malipo...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Madale

    Kiwanja kinauzwa kipo Madale Mkoroshini, karibu na barabarani Kiwanja kina ukubwa wa square 625 Bei ni Tshs million 23 Mawasiliano: 0756855563
  6. K

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Madale

    Kiwanja kinauzwa kipo Madale kwa Kawawa ni karibu na barabarani kina ukubwa wa square 1500 bei million 15 no:0756855563
  7. 0

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja Dodoma Nala-Lugala

    Kiwanja kimepimwa..ni kwaajili ya shule (nursery) kina ukubwa wa square meter 2786. Bei ni 6000@square meter 1 (maongezi yapo) kwa yoyote alokua interested anicheki watsap no 0755322896
  8. F

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kiwanja

    Kama Kichwa kinavyo jielezea; nahitaji kiwanja maeneo ya Goba, Budget yangu ni 8,000,000/= Wahusikia karibuni 0786328632
  9. B

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza Kiwanja

    Wadau nauza Kiwanja changu, kipo wilaya mpya ya Kigamboni, Kimepakana na viwanja vya Kisota. Kiwanja kinaangalia barabara ya kutoka Ugindoni kuelekea Kisota. Kipo sehemu tambarale hakuna maji yanayotuama. Ukubwa wa Kiwanja ni Sqrms 576. Atakaekuwa anahitaji tuwasiliane kwa namba 0713851751, Bei...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinatakiwa

    Kiwanja kinatakiwa kiwe maeneo ya Kiluvya au Kibaha umbali usiozidi km 5 toka Morogoro Road. Ukubwa isiwe chini ya mita za mraba 750, bei ISIZIDI Tsh 2,000,000/=(milioni mbili). Zingatieni bei, umbali na ukubwa. Karibuni!
  11. nyamchele

    JamiiForums Tanzania House4Sale Kiwanja na nyumba vinauzwa Magomeni

    Sehemu: Magomeni Kagera (kinatazamana na Morogoro Rd) Ukubwa: 347 sqm Bei: Milioni mia moja na kumi tu (110,000,000) tu Kina Leseni ya Makazi Contact: 0655888268
  12. MAMESHO

    JamiiForums Tanzania Je, ni hatua gani ya kuchukua pale kiwanja kinapovamiwa?

    Naandika ujumbe huu kwa niaba ya dada mmoja anaitwa Joan, alinunua kiwanja kutoka kwa rafiki yake miaka ya nyuma na kupewa hati ya kijiji ambapo aliweka mashahidi watatu. Aliyemuuzia kiwanja alisafiri kwenda njje ya nje ambako ameolewa na anaishi huko kwa sasa. Joan akaanza kujenga nyumba ya...
  13. D

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa wilayani Ilemela, Mwanza

    Ninauza kiwanja million 22 nafungua majadiliano kwenye bei. Kiwanja ni kikubwa kipo mtaa wa Kahama karibu na ofisi kuu za WILAYANI ILEMELA. Urefu 65 na upana 60 na barabara inaingia mpaka kiwanjani. Kiwanja ni changu kimepimwa upimaji shilikishi. Kiwanja hiki ni eneo zuri kwa SHULE, GUEST...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Kisesa, Mwanza

    Ninauza kiwanja Million 10 nafungua majadiliano kwenye bei. Kiwanja ni kikubwa kipo Kisesa eneo la Mwandulu. Urefu 42 na upana 36. Kiwanja ni changu kimepimwa, upimaji shirikishi. Kiwanja kimebakia katikati pekee, hakijajengwa majirani wote wamejenga tayari. Kwa maelezo zaidi namba yangu ni...
  15. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Hivi unapohitaji uthibitisho wa kiwanja inachukua muda gani baada ya malipo mh Lukuvi tunahitaji msaada wako

    Wenye uelewa wa hili swala bahati mbaya niko mbali na mjini mpaka jumatatu. Unapotaka kujua uhalali wa kiwanja cha mtu kuna malipo yanafanyika ili upewe barua. Kiuhalisia wanachukua muda gani maana kuna usanii unatokea mkoa mmoja kaskazini sasa inaenda wiki ya pili na pesa zishalipwa na...
  16. frama

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja Mwembe Mdogo Kigamboni Bei chee

    Pata kiwanja kwa Bei chee Mwembe Mdogo Kigamboni 696 square meters Kimepimwa +255714908121 Bei (3700000)
  17. Jangakuu

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa - Bagamoyo Kilomo

    Kiwanja kinauzwa heka 4, kipo bagamoyo kilomo kilometers sita kutoka barabara kuu ya bBgamoyo, upande wa kilomo shule ya msingi, ukienda Bagamoyo upande wa kushoto, uliza kilomo shule. Bei ni milioni 13. Kwa mawasiliano piga namba 0686 351 253.
  18. Ligaba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kajenga katika kiwanja cha mwanamke kinachomtokea utamhurumia

    Rafiki yangu Leo nimemsikia akiniambia sauti anazotoa yule mke wangu chumbani zinaweza kuniua. Fikiria nyumba moja mmegawana vyumba wewe na aliyekuwa mkeo baada ya kuachana. Wamepatana kila mtu awe huru na maisha yake. Anachofanya huyu mwanamke kaleta mwanaume anaishi nae inapofika usiku...
  19. Magari ya Biashara

    JamiiForums Tanzania Tunauza Viwanja na Mashamba kwa bei nafuu

    Habari wana JF.Nina hekari 2,000 za shamba maeneo ya mazinde wilaya ya korogwe mkoani Tanga. Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje. Pembeni limepakana n mto ambao haujawahi kukauka maji. Nauza 1,000,000 Kwa Heka 1. DIRECTION YA SHAMBA LILIPO Ukiwa...
  20. kanyagio

    JamiiForums Tanzania Kiwanja pembezoni mwa barabara cha biashara

    Wapendwa, Kinahitajika kiwanja kinacho face barabara ya lami hapa Dar es salaam. Ukubwa ni wowote Ila ni vema kuwe na mpaka unaojulikana wa barabara ili kuepuka kubomolewa. Bajeti iliyopo ni 20m.
Back
Top Bottom