Mwenyewe roho yamsuta kuandika bei aliyoipanga mwenyewe (Sh 22,400,000), utadhani kalazimishwa vilee😅😅😅Sasa si ungetuwekea tu bei ya Jumla ya kuuzia hicho kiwanja ni Tsh. ngapi!! Hayo mambo ya square meter 1 ni elfu 28, huoni unatuchanganya!!
Pia ikiwezekana tuwekee na picha! Utuambie pia umbali kutoka Iringa Mjini ni km ngapi, mawasiliano yako nayo hujaweka!! nk.
Iringa eneo linaloeleweka ni Gangilonga tu.Kiwanja kinauzwa kipo eneo la mawelewele Iringa manispaa kimepimwa na kinafikika kwa barabara ya lami urefu ni 40m na upana 20m eneo la tambarare.
Bei 28,000/= kwa meta moja ya mraba