kiwanja

  1. hp4510

    JamiiForums Tanzania Naitaji Kiwanja cha makazi na biashara Dodoma

    Salaam. Jaman naitaji Kiwanja kwa matumizi ya makazi na biashara Mjini dodoma Ningependa Sana ukubwa wa kiwanja uwe Sq m 1500 to 2000. Na maeneo ambayo naitaji ni ilazo, Nkuhungu, au nje ya mji kidogo njia ya kwenda Dar au Iringa. Kwa yeyote ambae anauza au anamjua anaeuza basi anijulishe...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbagala Chamanzi

    KIWANJA KINAUZWA KIPO-DAR ES-SALAAM Tz MAHALI-MBAGALA ENEO - CHAMANZI ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ UMBALI DK 4 TOKA BARABARA KUU YA LAMI __________ NYUMA YA SHULE YA SEKONDARI YA CHAMANZI _______ UKUBWA WAKE KIMEPIMWA #SQM_2643 _____ NYARAKA ZA UMILIKI KINA #HATI SAFI _____________...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa mwanza

    Nauza kiwanja mwanza maeneo ya bwiru kwa maelezo zaidi nicheki
  4. Saad30

    JamiiForums Tanzania Kubadirisha jina la kiwanja

    Habari zenu wakuu..! Mimi nimenunua kiwanja lakini hicho kiwanja kina mambo ya mirathi..Lakini kila kitu tumeweka sawa mahakani. Tatizo kubwa lipo kwenye kubadirisha jina kutoka kwa muuzaji kuja kwangu.Kiwanja nimenunua kwa Sh 4500000. Afsa Ardhi ananiambia gharama za kubadilisha majina ni Sh...
  5. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanja Dar es Salaaam

    Wakuu natafuta kiwanja 25*30 au 30*30 kusiwe mbali sanaa na City center angalau 16-22km
  6. Inevitable

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kiwanja cha kujenga jijini Dar. Nina Sh. Milioni 40

    Wakuu, Bajeti yangu ni TSH. 30,000,000 ingawa naweza kujivuta ikafika 40,000,000 nikipata kiwanja kizuri. Natafuta kiwanja kilichopimwa hasa maeneo ya Goba lakini maeneo ambayo tayari yameendelezwa. Kama unacho kiwanja (chako mwenyewe) au unamjua mwenye kiwanja maeneo haya, tafadhali...
  7. MrsPablo1

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbezi Mwisho, Sqm 1100

    Nimeshauza tayari
  8. Fuga Kisasa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja chenye msingi kinauzwa - GOBA

    Tayari kimeuzwa
  9. A

    JamiiForums Tanzania Ujenzi kwenye kiwanja chenye sqm 473

    Habari za wakati huu wadau, natumaini mpo salama. Naomba kufahamu kwa ukubwa wa kiwanja che nye sqm 473 ninaweza kuje nga nyumba yenye vyumba vingapi na nafasi ikabakia ya kutosha. Ninataraji kuanza ujenzi siku za karibuni. natanguliza shukran zangu za dhati.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Ninauza kiwanja Cha makazi Kiegeya Morogoro Manispaa

    Habari wanna jamii. Ninauza kiwanja ambacho kina ukubwa wa sqm 558, Kiegeya Morogoro mjini,tayari kina misingi ya nyumba mbili,mmoja una vyumba 3 ikiwemo master bedroom, sitting room,stoo jiko na choo, msingi wa pili Ni wa vyumba viwili, ikiwemo master bedroom, sitting room jiko na choo.
  11. JFK wabongo

    JamiiForums Tanzania Yanga SC tununue hili shamba Kiluvia Makurunge tujenge uwanja tuuite Jakaya Kikwete

    Kichwa cha habari kinajieleza. Kwa nini kiwanja pande hizi? Jibu: Ni rahisi kufikika na mashabaki hata wa mikoani. Jiji la Dar linakua kuelekea Kibaha na Bagamoyo. Hivyo kujenga uwanja pande hizo kutaongeza ari ya mashabiki kuhudhuria uwanjani. Kwanini tuuite Jakaya Kikwete? Jibu: Ni rais...
  12. Black Thought

    JamiiForums Tanzania Pata ramani ya nyumba aina yoyote kwa bei nafuu

    Habari wakuu, Ninatoa huduma ya michoro ya ramani za nyumba. Ramani zipo nyingi za aina na ukubwa tofauti, hivyo nitatoa kulingana na mahitaji ya mteja na kufanya marekebisho kidogo ili kukidhi hitaji husika. Utanipa 'details' zako kamili na maelezo ya kiwanja chako. Marekebisho ninayofanya ni...
  13. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Bei ya kiwanja Mbezi, Bunju au Kigamboni unapata nyumba Chanika au Mbagala

    Hivi ukijenga Mbezi, Kigamboni au Huko Bunju ndani unapata huduma za jamii bure? Mbona watu wanauziwa ardhi kwa bei kubwa sana? Pesa ya Kiwanja tu unapata Nyumba nzuri tu Mbagala, Chanika na viunga vyake. Mimi nilinunua kiwanja 400 square miter chanika kwa 1 M. Tu tena kimepimwa. Nilinunua...
  14. kibovu

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Kiwanja cha bata leo

    Wadau habari zenu, ndugu zangu ni muda wa mwaka sasa nikiwa kikazi mkoani. Leo nimeingia jijini Dar es salaam hakika jiji linazidi kukua na kupendeza kila siku. Wadau nisiwachoshe naombeni mnielekeze kiwanja kilicho happen kwa sasa unakula bear huku unacheza na chenye watoto wakali wa kike...
  15. G

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja cha makazi kinauzwa maeneo ya Chanika Mwisho - Dar Es Salaam

    Eneo: Chanika mwisho mtaa wa zogoali kwa wambili. Bei: Tsh. 950,000/= Umeme Upo na maji visima vipo karibu Ukubwa : mita 13/13 au miguu 18 kwa 18 Hakuna Dalalii Piga namba 0627864823 Huduma za kijamii kama shule na zahanati zipo karibu. DEAL DONE!
  16. Clemoo

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja Mvuti Kimeshuka bei

    Kiwanja kinauzwa kipo Mvuti -kiboga, Mvuti ipo katikati ya mbagala na Chanika now kinauzwa kwa tsh 1.2m tu ukubwa 30x16m.kutoka Mvuti stand mpk site bodaboda tsh 2000 0657999034
  17. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa Ukubwa SQM 30 kwa 30 Kigamboni

    Kiwanja kinauzwa Kina ukubwa wa 900 sqm Kiwanja Kipo Kigamboni Gezaulole Umbali wa KM 2 kutoka Barabara kuu ya lami.Kiwanja hakina hati.Bei ni TZS Mil 14.5 Kiwanja kina ukubwa wa sqm 300 kipo Gezaulole km1 kutoka barabara kuu ya lami.Hakina hati-Bei ni TZS Mil 7. Kiwanja Chenye ukubwa sqm 225...
  18. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania Mzee Mkapa (RIP) aliomba Tume Huru anazawadiwa Kiwanja cha Mpira

    Nimefuatilia leo kwenye sherehe za kumuaga Rais Mtaafu BW Mkapa. Kilichotokea ni kuwa Rais ameamua kuwa Uwanja wa Mpira Uitwe Uwanja wa Mkapa kama watu wengi walivyopendekeza. Pia, alisema kuwa Mzee Mkapa hakupenda jina lake liwe kwenye kumbukumbu kama hizo lakini kwa vile hayupo basi ameamua...
  19. Jamaa Fulani Mjuaji

    JamiiForums Tanzania Naona kama kupata hati pengine ni suala la wachache hapa nchini

    Wadau Naombeni msaada kidogo pengine hapa naweza kusaidiwa hata mawazo, hili jambo limenitesa sana nimekuwa nikifuatilia kupata hati ya eneo langu ambalo limepimwa na nimelipia kila kitu na risiti ninazo ila changamoto nilizokutana nazo mpaka nafanikiwa kupata invoice ya kwenda kulipia na kupata...
  20. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanja Dar es Salaam (Tabata au Kinyerezi)

    Habari ndugu, Mimi ni kijana niko katika harakati za kujenga maisha japo kwa kujitutumua sana natafuta kiwanja kisichozidi bei ya 5mil Tsh maeneo ya Tabata au Kinyerezi, kiwanja kilichopimwa na size ianzie angalau 600 Sqm kwa ajili ya makazi. Mwenye kujua kinauzwa au kipo anicheki DM Shukrani.
Back
Top Bottom