Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Kila kitu nikiuliza kwa Masheikh na mapadri na wachungaji na hata katika forum mbalimbali mnanifungulia KITABU,
Ina maana Mungu alikosa njia zote za kujieleza katika dunia na watu wake bila ya KITABU tu?
Ndugu msomaji naomba tumia akili kidogo unaposoma...