kiswahili

  1. Tech Max

    Natasfiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda Kiswahili bei 5000 Tsh

    Natasfiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda Kiswahili bei 5000 Tsh kwa kitabu kimoja , nicheki +255 0756704145
  2. Tech Max

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) Cha kiswahili nauza 5000 Tsh

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) Cha kiswahili nauza 5000 Tsh. Tuma pesa kwenda M-PESA 0756704145 nakutumia kitabu chako WhatsApp au kwenye email
  3. Tech Max

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) cha kiswahili nauza 5000 Tsh

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) cha kiswahili nauza 5000 Tsh. Tuma pesa M-PESA kwenda namba 0756704145 nicheki WhatsApp nikutumie kitabu au kama una email natuma
  4. Tech Max

    Kitabu Cha enoko kwa lugha ya kiswahili nauza 5000 tsh

    Kitabu Cha Enoko ambacho hakipo kwenye biblia za sasa kwa lugha ya kiswahili nauza 5000 tsh, natuma WhatsApp ni PDF muundo, nicheki WhatsApp 0756704145, napatikana Dar es salaam, Mbezi
  5. Tech Max

    Natafsiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda kiswahili

    Natafsiri vitabu nakala laini (softcopy) kutoka lugha Kiingereza kwenda kiswahili kwa gharama 5000 tsh kitabu kimoja. Nitumie kitabu whatsapp kwenda namba - 0756704145,, nikimaliza kazi nakutumia kitabu chako whatsapp, nipo mkoa wa dar es salaam, mbezi
  6. Tech Max

    Natafsiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda kiswahili

    Natafsiri vitabu nakala laini (softcopy) kutoka lugha Kiingereza kwenda kiswahili kwa gharama 5000 tsh kitabu kimoja. Nitumie kitabu whatsapp kwenda namba - 0756704145,, nikimaliza kazi nakutumia kitabu chako whatsapp, nipo mkoa wa dar es salaam, mbezi
  7. maroon7

    Watangazaji wa mpira Azam TV waache kupotosha matumizi ya baadhi ya maneno ya kiswahili

    Azam TV inawatangazaji mahiri sana wa mpira ila kinachosikitisha ni namna wanavyoamua holela kubadili maneno au matumizi ya maneno bila kujua athari zake. Mfano walianza kuita mpira eti mali, na hii imekua kama lugha rasmi kwao.. kuanzia dakika ya kwanza hadi ya mwisho unaweza usisikie wametaja...
  8. M

    GE2025 Gwajima anaongea Kiswahili cha wapi?

    Anavyoongea kiswahili chake utadhani si msomi? Neno kura yeye hutamka kula. Angalia spech yake ya jana. https://youtu.be/ApwVq9JJww4?si=bE11Rfya8oU5QgJx
  9. S

    Website Kali Kwa Tanzania zinazotambulika Kwa movie na series zilizotafasiliwa Kwa Kiswahili

    Leo katika pitapita yangu wadau nnimekutana na moja ya website makini sana ambayo inahusika na maswala ya movie na series zilizotafasiliwa Nahitaji mnisaidie kunipatia majina mengine ya website maana nimekutana na site moja hapa inaitwa SWAFLIX Hii website ipo na movie na series zote za madj...
  10. OMOYOGWANE

    Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) linachangia Wanafunzi na walimu wasielewe kile kinachofundishwa. Hili baraza lina mawazo ya kizamani

    Nijuavyo mimi Kiswahili ni mchanganyiko wa lugha nyingi mfano kisukuma, kichaga, kihaya (kibantu) kiingereza, kijerumani, kiarabu n.k huu mchanganyiko ukaunda lugha moja ambayo ni kiswahili. Huu mchanganyiko ulitokana na muingiliano wa watu wa jamii mbali mbali hapo zamani wakifanya biashara...
  11. Mathayo Christopher

    Nina shida ya softcopy ya kitabu Cha kiswahili na hisabati darasa la kwanza

    Mwenye uwezo wa kunisaidia nakala tajwa hapo juu anisaidie
  12. Top Gun

    Huu mti unaitwaje kwa kiswahili

  13. Top Gun

    Wakuu nisaidie kujua jina la huu mti kwa lugha yetu ya kiswahili

  14. Desierto

    Naombeni kujua faida za kiswahili hasa katika mambo ya maisha ya sasa

    Mimi najivunia tu kinaniwezesha kusoma habari hapa jamii F basi hata mtandao wa x habari nyingi na nzuri ni za english pia vitabu vingi vilivoandikwa na viongozi au wasomi wa tanzania vingi ni kwa kiingereza labda tu erick shigongo ndo kaandika kwa kiswahili.
  15. MkuuXyz

    Hivi ni ugumu wa kiswahili KISWAHILI au UZEMBE

    Hivi kwanini watu/madalali wanauza furniture mitandaoni na katika furniture stores huwa wanaita hili eti ni KABATI ? hivi kweli hawajui KABATI ni nini/likoje ? Wataalamu wa Kiswahili hebu nisaidieni hapa.
  16. jerryempire

    Nauza vitabu hivi kwa lugha ya kiswahili

    OFFER. OFFER, OFFER, OFFER... JIPATIE VITABU ZAID YA 74 Kwa nini kila siku upo kama ulivyo kwa sababu hutaki kuongeza maarifa na maarifa yamefichwa kwenye vitabu. Kama ulikua unaihitaji kuongeza maarifa jipatie Vitabu vilivyo Tafsiriwa kutoka kwenye ENGLISH vya waandishi mbali mbali kua...
  17. Binti wa zamani

    Maneno gani ya Kiswahili huwa yanakosewa mara kwa mara kwenye matamshi au uandishi?

    Mh. Polepole amejiuzuru gafla shuguli za siasa - ❌ Mh. Polepole amejiuzulu ghafla shughuli za kisiasa - ✅ Maneno mengine ambayo nimesikia yanakosewa mara nyingi. azabu - adhabu ✅ tajili - tajiri ✅ uhandishi - uandishi ✅ zambi - dhambi ✅ nguwo - nguo ✅ kweri - kweli ✅ Asubui - Asubuhi ✅...
  18. E

    Kiswahili chapigiwa chapuo Misri

    Wakati Dunia ikiadhimisha siku ya Kiswahili, lugha hiyo sasa inaonekana kuvuka mipaka ya Afrika Mashariki, ambapo sasa Jukwaa la Kimataifa la Nasser la nchini Misri limejitokeza kuwawezesha vijana nchini humo kujifunza lugha hiyo. Siku ya Kiswahili duniani huadhimishwa Julai 7 ya kila mwaka...
  19. Ricky Blair

    Kiswahili Vs Arabic

    Kiarabu vs Kiswahili Izo nchi zenye watu majority wanaongea Kiarabu; Egypt=110M Libya= 7M Tunisia=12M Algeria=45M Morocco=40M Sudan=50M Jumla=264M Kiswahili; nchi wanaongea wengi Kiswahili kwa ujumla Tanzania=68M Kenya=55M Uganda= 50M( ila kama asilimia 30%) Rwanda=13M( kama asilimia 10%)...
  20. Mohamed Said

    TBC1 Maktaba Siku ya Kiswahili: Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Kiswahili Lugha ya Kupigania Uhuru wa Tanganyika

    Leo Maktaba imetembelewa na TBC1 kufanya kipindi kuadhimisha Siku ya Kiswahili Duniani. Mtangazaji wa TBC1 Hilda Sengoli alitaka tuzungumze mchango wa Kiswahili katika kuwaunganisha Watanganyika kama watu wa taifa moja kupigania uhuru wa Tanganyika. Nilimfahamisha kuwa Kiswahili kinakwenda na...
Back
Top Bottom