kilimanjaro

Mount Kilimanjaro () is a dormant volcano in Tanzania. It has three volcanic cones: Kibo, Mawenzi and Shira. It is the highest mountain in Africa and the highest single free-standing mountain in the world: 5,895 metres (19,341 ft) above sea level and about 4,900 metres (16,100 ft) above its plateau base.
Kilimanjaro is the fourth most topographically prominent peak on Earth. The first people known to have reached the summit were Hans Meyer and Ludwig Purtscheller, in 1889. It is part of Kilimanjaro National Park and is a major climbing destination. Because of its shrinking glaciers and disappearing ice fields, it has been the subject of many scientific studies.

View More On Wikipedia.org
  1. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kilimanjaro: CHADEMA yajaza nafasi zilizoachwa na viongozi waliojivua uanachama

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Kilimanjaro kimejaza kwa muda nafasi mbalimbali za uongozi kufuatia kujitoa uanachama kwa waliokuwa viongozi. Waliojitoa unachama ni pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkoa, Gervas Mgonja, Katibu wa Mkoa Basil Lema, pamoja na viongozi wengine...
  2. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Nani anawafadhili wahamiaji haramu kupita mipaka ya Tanzania?.

    Naangalia taarifa ya habari Waethiopia 30 wamekamatwa Mabogini Kilimanjaro wakitokea Kenya Walipoulizwa walisema wanaelekea South Africa Swali langu ni Moja Hivi nani anawafadhili Hawa watu? 2. Je, idadi wanayotaja ni hao tu ama kuna wengine wamekimbia maana wanawaonesha walikuwa wakilala...
  3. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wananchi Kahe Mashariki wamkabidhi ndafu mbunge Dkt. Kimei kwa utendaji bora

    Wananchi wa Kata ya Kahe Mashariki, wakiongozwa na wazee wa kata hiyo, wamempongeza Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Mhe. Dkt. Charles Stephen Kimei kwa kazi nzuri aliyoifanya katika kipindi cha mwaka 2020 - 2025, kwa kumzawadia ndafu (mbuzi dume) kama ishara ya heshima na shukrani. Wakizungumza...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Kuna ukweli wowote kuhusu wanaojiondoa CHADEMA kuwa na majina ya Kilimanjaro? Mchome, Mrema, Kiwelu, Limo etc? G55 ni ukanda mmoja?

    Nimeona kuna mamluki wamefanya utafiti wao na wamechapisha majina ya wale wote waliotangaza kujiondoa chadema; list yao inaonyesha asilimia 75 ya wanaoongoza huo utaratibu ni Kilimanjaro na wilaya zake. Je, unakubaliana na huo utafiti au ni propaganda tu zinazoendelea? Wameenda mbali zaidi...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Maisha ya wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro

    Wadau nawasalimu Ndugu zangu mimi nalitumikia taifa kwa kuwahudumia watanzania wenzangu kwenye moja ya kada yenye kugusa maisha ya kila mtu. Kwenye hili jukwaa siyo mgeni sana Nimepata transfer ya kwenda ktk wilaya ya Same Kilimanjaro. Kwa nature ya kazi yangu eneo la kufanyia kazi itakuwa...
  6. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Relationship Manager – SMEs and Retail Banking (Mwanga, Kilimanjaro) at Mwanga Hakika Bank May 2025

    About the job Relationship Manager – SMEs and Retail Banking (Mwanga, Kilimanjaro) Mwanga Hakika Bank Limited (MHB) is a fully fledged commercial bank 100% owned by local Tanzanians. We have an exciting opportunity for enthusiastic and committed individuals to join our dynamic and growing team...
  7. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Esther Malleko Ajikita Kuinua Uchumi wa Wanawake Wilaya za Mkoa wa Kilimanjaro

    ESTHER MALLEKO AJIKITA KUINUA UCHUMI WA WANAWAKE WILAYA ZA MKOA WA KILIMANJARO Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Esther Edwin Malleko tarehe 27 Aprili, 2025 amefanya ziara, pamoja na mambo mengine amekabidhi picha za Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan...
  8. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Rombo; Kilimanjaro Baba aua mtoto wake na Kisha kuchimba shimo na kumfukia

    Baba mmoja ajulikanae Kwa jina la Edward mwenye umri mwenye umri wa miaka 66 anashikiliwa na jeshi la polisi wilayani Rombo kwa kosa la kumuua mtoto wake wa kiume Kwa shoka na Kisha kuchimba shimo na kumzika mwenyewe usiku. Hali ya Taaharuki imeikumba Kijiji Cha Kilema katika kata ya...
  9. PendoLyimo

    JamiiForums Tanzania REA yaendelea na uhamasishaji matumizi bora ya nishati ya umeme na uunganishaji wateja mkoa wa Kilimanjaro

    REA YAENDELEA NA UHAMASISHAJI MATUMIZI BORA YA NISHATI YA UMEME NA UUNGANISHAJI WATEJA MKOA WA KILIMANJARO 📌Wananchi wapewa elimu matumizi bora ya nishati safi 📌Wahimizwa kuhifadhi na kutunza mazingira 📌REA yahamasisha wananchi uunganishaji umeme Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeendelea...
  10. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania APARTMENT MPYA ZINAUZWA,ZIPO MBWENI MPIJI DAR🇹🇿,BEI NI MILIONI 850, 0758844717

    #sale APPERTMENT ZINAUZWA “”” ZIPO ZA VYUMBA VITATU “” ZIPO ZA VYUMBA VIWILI ZOTE ZINA WAPANGAJI VYUMBA VITATU NI LAK 700K VYUMBA VIWIL UWA ZINAPANGISHWA KWA LAKI 600K UKUBWA WA KIWANJA NI SQMT 1200”” KUNA HATI MILIKI OFFER MILLION 850 MAONGEZI YAPO LOCATION MBWEN MPIJI...
  11. Emilio Mzena

    JamiiForums Tanzania BM wamefuta utawala wa mabasi ya Kilimanjaro kwa ruti ya Dar - Arusha

    Zamani kwa ruti ya Dar Arusha ilitawaliwa na Kampuni ya Mabasi ya Kilimanjaro chini ya Mkurugenzi Sawaya. Siku hizi naona makampuni ni mengi na Kilimanjaro Bus ni kama utawala wake umefika mwisho. Kampuni kama BM anatoa mabasi mengi kwa siku, naona utawala wa Mzee Sawaya unaenda mwisho huko...
  12. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Viti maalumu Kilimanjaro agawa mashuka 50 hospitali ya Hai

    Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Kilimanjaro Esther Maleko amesema serikali ya awamu ya sita ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya Bilion nne (4) katika Halmashauri ya Wilaya na ameunga mkono jitihada zinazofanywa na Serikali kwa kutembelea Hospitali ya Wilaya Hai na Kugawa Shuka zaidi...
  13. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi

    Naitwa Fredy Gendo, nipo Kilimanjaro Moshi, natafuta kazi nimesomea uongozi wa biashara ngazi ya cheti na nina VIP katika upande wa udereva, naomba msaada wenu wadau, barikiwa.
  14. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Katibu uenezi Kilimanjaro: CCM hatufikirii kuachia dola, uwezo wa kuihudumia nchi tunao

    Chama cha Mapinduzi hakifikirii kuiachia dola kwabsabu uwezo wa kuihudumia nchi wanao, Katibu wa Siasa , mafunzo na Uenezi wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Abraham Urio, alipokuwa akizungumza na Banana FM Kupitia Kipindi cha Banana Breakfast anaeleza sababu hizo. Kupata matukio na taarifa zote kwa...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Jeshi la polisi latoa ufafanuzi kuhusu video ya mtu aliyeonekana akitekwa Kilimanjaro

    Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro limetoa taarifa kuhusu kipandae cha video kilichoonekana mtu akitekwa mkoani humo. Angalia hapa tukio lilivyotokea === "Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linapenda kutoa ufafanuzi wa picha mjongeo (video clip) iliyoonekana kusambaa kwenye mitandao ya...
  16. Pfizer

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kilimanjaro: Mbunge Esther Malleko atekeleza ahadi yake, akabidhi Mashine za kutotolesha vifaranga vya kuku

    *UKOMBOZI WA KIUCHUMI NA AFYA MKOA WA KILIMANJARO * Mbunge Esther Malleko atekeleza ahadi yake,akabidhi Mashine za kutotolesha vifaranga vya kuku UWT Mkoa wa Kilimanjaro. Na Mwandishi wetu. Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Esther Malleko, ametimiza...
  17. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Ajali zinamaliza Raia: Ninamshauri, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) kuwahamisha Kamanda wa Polisi wa Mikoa ya Geita, Mbeya, na Kilimanjaro

    Katika kipindi cha miaka michache iliyopita, tumeshuhudia ajali nyingi na kubwa nchini ambazo zimeleta madhara makubwa, ikiwemo mauaji na watu wengi kupata vilema vya kudumu. Hali hii ni ya kutisha na inahitaji hatua thabiti kuchukuliwa ili kuokoa maisha na kuhakikisha usalama wa raia. Kwa...
  18. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Watu saba wamefariki dunia na wengine 75 wamejeruhiwa katika ajali mbili tofauti zilizotokea wilayani Same

    Watu saba wamefariki dunia na wengine 75 wamejeruhiwa katika ajali mbili tofauti zilizotokea wilayani Same. Ajali ya kwanza ilitokea majira ya saa saba usiku wa kuamkia leo katika maeneo ya Njoro na kuhusisha basi la Kampuni ya Osaka lililokuwa likielekea Dar es Salaam, ambapo ilisababisha kifo...
  19. Braza Kede

    JamiiForums Tanzania Wapi wanaongoza kwa ulozi kati ya Tabora, Kilimanjaro, Tanga, Katavi na Lindi?

    Haya maeneo yanasemwa sana kwa sayansi ya gizani aka ulozi aka ndumba aka mambo ya busara. Hivi hapa kwa kuwa-rank unafikiri nani watakuwa vinara zaidi ya wenzao? Je kuna waliosahaulika hapo?
  20. aclassicBoy

    JamiiForums Tanzania Adventure To Mount Kilimanjaro

    Habari za muda na wakati huu. Npo hapa kutafuta mdhamini/Wadhamini (Sponsor(s)) wa Safari ya Kupanda mlima Kilimanjaro. Atakayekuwa tayari kwa udhamini huo. Ntaitangaza Brand au Biashara ya kwa kupiga nayo picha mwanzo wa Safari mpaka Ntakapofika Uhuru Peak. Picha hizo atazitumia kupost katika...
Back
Top Bottom