kilimanjaro

Mount Kilimanjaro () is a dormant volcano in Tanzania. It has three volcanic cones: Kibo, Mawenzi and Shira. It is the highest mountain in Africa and the highest single free-standing mountain in the world: 5,895 metres (19,341 ft) above sea level and about 4,900 metres (16,100 ft) above its plateau base.
Kilimanjaro is the fourth most topographically prominent peak on Earth. The first people known to have reached the summit were Hans Meyer and Ludwig Purtscheller, in 1889. It is part of Kilimanjaro National Park and is a major climbing destination. Because of its shrinking glaciers and disappearing ice fields, it has been the subject of many scientific studies.

View More On Wikipedia.org
  1. Just Pray

    PreGE2025 Mbunge Viti maalumu Kilimanjaro agawa mashuka 50 hospitali ya Hai

    Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Kilimanjaro Esther Maleko amesema serikali ya awamu ya sita ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya Bilion nne (4) katika Halmashauri ya Wilaya na ameunga mkono jitihada zinazofanywa na Serikali kwa kutembelea Hospitali ya Wilaya Hai na Kugawa Shuka zaidi...
  2. F

    Natafuta kazi

    Naitwa Fredy Gendo, nipo Kilimanjaro Moshi, natafuta kazi nimesomea uongozi wa biashara ngazi ya cheti na nina VIP katika upande wa udereva, naomba msaada wenu wadau, barikiwa.
  3. Nipe Maji

    PreGE2025 Katibu uenezi Kilimanjaro: CCM hatufikirii kuachia dola, uwezo wa kuihudumia nchi tunao

    Chama cha Mapinduzi hakifikirii kuiachia dola kwabsabu uwezo wa kuihudumia nchi wanao, Katibu wa Siasa , mafunzo na Uenezi wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Abraham Urio, alipokuwa akizungumza na Banana FM Kupitia Kipindi cha Banana Breakfast anaeleza sababu hizo. Kupata matukio na taarifa zote kwa...
  4. W

    Jeshi la polisi latoa ufafanuzi kuhusu video ya mtu aliyeonekana akitekwa Kilimanjaro

    Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro limetoa taarifa kuhusu kipandae cha video kilichoonekana mtu akitekwa mkoani humo. Angalia hapa tukio lilivyotokea === "Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linapenda kutoa ufafanuzi wa picha mjongeo (video clip) iliyoonekana kusambaa kwenye mitandao ya...
  5. Pfizer

    PreGE2025 Kilimanjaro: Mbunge Esther Malleko atekeleza ahadi yake, akabidhi Mashine za kutotolesha vifaranga vya kuku

    *UKOMBOZI WA KIUCHUMI NA AFYA MKOA WA KILIMANJARO * Mbunge Esther Malleko atekeleza ahadi yake,akabidhi Mashine za kutotolesha vifaranga vya kuku UWT Mkoa wa Kilimanjaro. Na Mwandishi wetu. Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Esther Malleko, ametimiza...
  6. peno hasegawa

    Ajali zinamaliza Raia: Ninamshauri, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) kuwahamisha Kamanda wa Polisi wa Mikoa ya Geita, Mbeya, na Kilimanjaro

    Katika kipindi cha miaka michache iliyopita, tumeshuhudia ajali nyingi na kubwa nchini ambazo zimeleta madhara makubwa, ikiwemo mauaji na watu wengi kupata vilema vya kudumu. Hali hii ni ya kutisha na inahitaji hatua thabiti kuchukuliwa ili kuokoa maisha na kuhakikisha usalama wa raia. Kwa...
  7. peno hasegawa

    Watu saba wamefariki dunia na wengine 75 wamejeruhiwa katika ajali mbili tofauti zilizotokea wilayani Same

    Watu saba wamefariki dunia na wengine 75 wamejeruhiwa katika ajali mbili tofauti zilizotokea wilayani Same. Ajali ya kwanza ilitokea majira ya saa saba usiku wa kuamkia leo katika maeneo ya Njoro na kuhusisha basi la Kampuni ya Osaka lililokuwa likielekea Dar es Salaam, ambapo ilisababisha kifo...
  8. Braza Kede

    Wapi wanaongoza kwa ulozi kati ya Tabora, Kilimanjaro, Tanga, Katavi na Lindi?

    Haya maeneo yanasemwa sana kwa sayansi ya gizani aka ulozi aka ndumba aka mambo ya busara. Hivi hapa kwa kuwa-rank unafikiri nani watakuwa vinara zaidi ya wenzao? Je kuna waliosahaulika hapo?
  9. aclassicBoy

    Adventure To Mount Kilimanjaro

    Habari za muda na wakati huu. Npo hapa kutafuta mdhamini/Wadhamini (Sponsor(s)) wa Safari ya Kupanda mlima Kilimanjaro. Atakayekuwa tayari kwa udhamini huo. Ntaitangaza Brand au Biashara ya kwa kupiga nayo picha mwanzo wa Safari mpaka Ntakapofika Uhuru Peak. Picha hizo atazitumia kupost katika...
  10. Mkalukungone Mwamba

    Mzee swai aweka historia, atoa shamba lake ijengwe zahanati, serikali kumuenzi

    Huyu ni Mzee Ignasi Safari Swai mzaliwa na Mkazi wa Kijiji cha Momwe Kata ya Mrao Keryo Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro,ambae ameamua kutoa sehemu Kubwa ya ardhi yake anayoimiliki na kuikabidhi kwa Serikali ili pajengwe zahanati itakayosaidia Kutoa huduma za kiafya kwa wananchi wa Kijiji...
  11. peno hasegawa

    Kilio cha Wananchi: Hatari ya Malori Mazito zaidi ya tani 40 kuingia kati kati ya Mji wa Moshi, Kilimanjaro

    Katika mji wa Moshi, kumekuwa na hali inayotia wasiwasi kutokana na kuingia kwa malori mazito yenye uzito wa zaidi ya tani 10 hadi 40 katikati ya manispaa. Hali hii imesababisha uharibifu mkubwa wa barabara na miundo mbinu ya maji taka, ambapo mji umejaa mashimo na hali mbaya ya miundombinu...
  12. Dennis Robert Shughuru

    Kilimanjaro marathon iwe upgraded na kuwa Kilimanjaro Diamond League

    Kama kuna nia ya dhati ya kuitangaza kilimanjaro marathon iwe upgraded na kuwa kilimanjaro diamond league na serikali ipambane iingie kwenye calender ya diamond league Kinachotakiwa ni kuboresha miundombinu kwa kujenga uwanja wa kisasa eneo ambalo litakuwa Zuri ni uwanja wa memorial ambako kwa...
  13. milele amina

    Moshi FM Radio Kilimanjaro: Mjitafakari na Mjitadhimini katika Utendaji Wenu kwenye utoaji wa taarifa za Miradi ya Moshi Manispaa

    UTANGULIZI: Moshi FM Radio inatakiwa kujitafakari kuhusu utendaji wake katika jamii, hasa katika mji wa Moshi, ambao ni mji mdogo na una wasomi wengi ,ambao ni wafanya biashara wakubwa na WA kati. Katika mahojiano yenu na Mkurugenzi wa Moshi Manispaa kuhusu soko la Mbuyuni, kuna maswali...
  14. milele amina

    KERO Kukithiri kwa uchafu,maji taka na takataka kwenye Stand Kuu ya Mabasi, Moshi Mjini, Kilimanjaro

    Utangulizi Moshi mjini, maarufu kwa mandhari yake ya kuvutia na utamaduni wa kipekee, sasa unakabiliwa na changamoto kubwa ya usafi. Kituo cha mabasi kilichoko katikati ya mji kimekuwa kielelezo cha hali ya uchafuzi inayohitaji jitihada za haraka na za ziada ili kurejesha heshima ya mji huu...
  15. milele amina

    Pepo Mkali Yavunja Nyumba na Kujeruhi Watu katika Kijiji cha Lekurumuni, Wilaya ya Siha,Mkoa wa Kilimanjaro

    Jana, kijiji cha Lekurumuni kilikumbwa na upepo mkali ulioleta uharibifu mkubwa, ukiwaacha wananchi wakiwa katika hali ya hofu na wasiwasi. Upepo huo, ambao ulikumba wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, ulisababisha kuanguka kwa shule, makanisa, na nyumba za wananchi, huku watu kadhaa wakijeruhiwa...
  16. Roving Journalist

    PreGE2025 Rais Samia azindua Mradi wa Maji Same-Mwanga-Korogwe Machi 9, 2025

    Rais Samia akizindua Mradi wa Maji Same-Mwanga-Korogwe Machi 9, 2025 https://www.youtube.com/live/ZwUZMNQWlbc?si=stvFOddgPgJ_0AHW Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kukamilika kwa Mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe ni ukombozi kwa wananchi katika Wilaya za...
  17. Determinantor

    Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Tanzania kupanga kununua umeme nchini Ethiopia

    Naam kama kawa kama dawa, Wazee WA UFAFANUZI wameshatoa UFAFANUZI kuwa umbali wa kutoka Ethiopia Hadi Same ni mfupi kuliko Mwalimu Nyerere Hydro Power pale Rufiji Hadi Same Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
  18. W

    PreGE2025 Mwananchi mmoja huko Hai amesema akifa kabla ya uchaguzi mkuu 2025, kaburi lake lipige kura kisha apewe mbunge wa Hai wa sasa

    Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Levina Rajabu mkazi wa kata ya Bondeni katika mji mdogo wa Bomang’ombe wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro amesema endapo atafariki dunia kabla ya uchaguzi Mkuu wa hapo mwezi Oktoba basi kaburi lake lipige kura na hiyo kura apewe Saashisha Mafuwe mbunge wa...
  19. Waufukweni

    PreGE2025 UVCCM wapiga simu kwa Rais Samia kumkaribisha Kilimanjaro

    Vijana wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa umoja huo, Rehema Sombi wamempigia simu Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wakimkaribisha mkoani humo ambapo anategemewa kuwasili Machi 9 mwaka huu. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa...
  20. Pfizer

    PreGE2025 Kamati ya Siasa Mkoa wa Kilimanjaro imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji unaosimamiwa na MUWSA

    Kamati ya Siasa Mkoa wa Kilimanjaro imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji unaosimamiwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Moshi MUWSA Mradi huo unaogharimu Tshs; Milioni 787 unalenga kuhudumia wananchi zaidi ya 10,500 walioko kwenye Kata ya Marangu Mashariki...
Back
Top Bottom