kilimanjaro

Mount Kilimanjaro () is a dormant volcano in Tanzania. It has three volcanic cones: Kibo, Mawenzi and Shira. It is the highest mountain in Africa and the highest single free-standing mountain in the world: 5,895 metres (19,341 ft) above sea level and about 4,900 metres (16,100 ft) above its plateau base.
Kilimanjaro is the fourth most topographically prominent peak on Earth. The first people known to have reached the summit were Hans Meyer and Ludwig Purtscheller, in 1889. It is part of Kilimanjaro National Park and is a major climbing destination. Because of its shrinking glaciers and disappearing ice fields, it has been the subject of many scientific studies.

View More On Wikipedia.org
  1. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro; Wanakijiji waiomba serikali mtuhumiwa wa ubakaji watafute pa kumpeleka

    Wananchi wa kijiji Cha Kwa Tito mkoani Kilimanjaro wameomba mtuhumiwa wa ubakaji mwenye umri wa miaka 50 aliyekuwa akimbaka na kumlawiti mtoto wa dada yake mwenye umri wa miaka 7 na kumsabibishia ulemavu kuhamishwa hapo nyumbani na kupelekwa sehemu anapostahili kutokana na kuwa ana tatizo la...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tabia za wanawake wa Kilimanjaro

    1. ROMBO a. Wachapa kazi - bulldozer b. Wana upendo c. Wabunifu sana kimaendeleo d. Wana heshimu ndoa e. Ulevi - hadi gongo na konyagi f. Ushamba g. Hawajui kupika h. Wizi - Mnaposikia wachaga ni wezi basi mjue Mrombo ndie MASTERMIND. Hivyo ukioa Mrombo ujue hela kupotea ndani ni kawaida tu...
  3. Soul21

    JamiiForums Tanzania Kodi inaangamiza vijana Wa Kilimanjaro, Arusha, na Manyara

    Wataalumu na viongozi njoo muone kwa macho. Yawezekana ni kukosena kwa Elimu, Mila a ujinga Wa wakazi husika au ukanda. Kaskazini vijana waimeisha huhitaji utafiti Bali unahitaji macho na miguu ya kutembea Kwenye mitaa na vijiji uone Hali Hali ya jinsia pombe Kali na bei rahisi zinavyoteketeza...
  4. R

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge wa Viti Maalumu anayemaliza muda wake Esther Maleko amechukua fomu ya Ubunge Viti Maalumu Mkoa wa Kilimanjaro

    Mbunge wa Viti Maalumu anayemaliza Muda wake Esther Maleko amechukua Fomu ya Ubunge Viti Maalumu kwa Mara ya Pili kwa Mkoa wa Kilimanjaro
  5. R

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Khalid Shekoloa achukua fomu kuwania Udiwani kata ya Kisusa Manispaa ya Moshi, Kilimanjaro

    Kada wa chama cha mapinduzi (CCM) Khalid Shekoloa, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea udiwani kata ya Kiusa, iliyopo maanispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro Shekoloa ambaye ni mwenyekiti wa CCM wa kata hiyo na pia mwenyekiti wa mabalozi wa usalama barabarani (RSA), anasaka kura za...
  6. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Linus Silayo achukua fomu ya kutia nia kugombea Ubunge Jimbo la Rombo Kilimanjaro

    Kada wa CCM, Linus Silayo, Mapema leo hii amewasili ofisi za CCM Wilaya ya Rombo kufuata fomu ya kutia nia kugombea Ubunge katika Jimbo la Rombo Kilimanjaro.
  7. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Watu 38 Wafariki dunia katika ajali mbaya ya mabasi Kilimanjaro

    Watu wasiopungua 38 wamefariki dunia na wengine 28 kujeruhiwa baada ya mabasi mawili kugongana uso kwa uso na kushika moto katika mkoa wa Kaskazini wa Kilimanjaro, Tanzania. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amesema ajali hiyo ilitokea jioni ya jana katika wilaya ya Same baada ya tairi...
  8. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kennedy Mmari achukua fomu ya ubunge Siha, Kilimanjaro

    Katika kilele cha siku ya kwanza ya mchakato rasmi wa uchukuaji wa fomu kwa ajili ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), jimbo la Siha limeandika historia yake kwa kumpokea mjasiriamali Kennedy Mmari (33) kama mgombea wa kwanza kutia nia. Ni majira ya saa 8:21 mchana...
  9. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Same: Watu 37 wafariki dunia kwa ajali, 29 wajeruhiwa. Mabasi yagongana na moto kulipuka

    Basi la Channel one na Costa Mwami yamegongana na kuwaka moto. Cheki Point wilayani Same, umbali wa kilomita tatu kutoka Same Mjini. Ajali hiyo ambayo imethibitishwa na Mkuu wa Wilaya ua Same,Kaslida Mgeni,imetokea saa 12 jioni. Aidha,inadaiwa watu kadhaa wamefariki dunia kwa kuungua na moto...
  10. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mtangazaji wa Azam Tv, Hasheem Ibwe atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Mwanga, Kilimanjaro kupitia CCM

    Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram mtangazaji wa kabumbu wa Azam Tv, na msemaji wa Timu ya Azam FC ametangaza nia yake ya kugombea ubunge wa jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro. == MWANGA NI YETU, KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE.... Salamu kwa Vijana wenzangu, Huu ni wakati wa...
  11. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kuna mwamba humu sijawahi kuona ame comment chochote, yeye ni dose after dose ya mapicha ya mademu wenye mout kilimanjaro🤣

    Swahili AI salamu zako ndugu🤣 Vijana wengi wanafurahia picha zako quality kwenye kile kijiwe pendwa ni basi tu wanajifanya hawataki kuku-appreciate
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mwenge wa uhuru kuzindua Miradi 52 ya Billioni 84 Kilimanjaro

    Jumla ya miradi 52 yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 84 inatarajiwa kukaguliwa, kuzinduliwa au kuwekewa mawe ya msingi wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru zitakazofanyika katika halmashauri saba za mkoa wa Kilimanjaro kuanzia Juni 28, 2025 Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa...
  13. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Safari ya Ndoto: Tembea Mount Kilimanjaro, Serengeti, Ngorongoro, Tarangire, Arusha NP, Chemka & Serval, Tuondoe Mawazo, Tuijue Tanzania Yetu!

    Ndugu wanajamvi wa JamiiForums, Kwa heshima na taadhima, naomba kuwasilisha rasmi pendekezo la safari ya kipekee ya adventure na utalii wa ndani (Domestic Tourism) inayolenga kutuvusha kutoka katika pilikapilika za maisha ya kila siku, kwenda kwenye maeneo yenye utulivu, mandhari ya kuvutia...
  14. C

    JamiiForums Tanzania DOKEZO PreGE2025 Mbunge wa jimbo la Moshi Mjini agawa sh. 50,000/= na majiko ya gesi kwa wajumbe kiubaguzi huku akiwaomba wampigie kura za maoni

    Baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kata za Jimbo la Moshi Mjini wamealikwa na Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Priscus Tarimo katika ukumbi wa CCP uliopo Chuo cha Polisi Moshi leo 19.6.2025 kwa ajili ya kugawiwa majiko ya gesi pamoja na fedha Tsh.50,000/= ambayo aliitoa kwa mafungu mawili ya...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Kilimanjaro ndio Mkoa pekee ambao Wabunge wake Elimu ya chini Wana shahada/degree. Bila Degree Sahau kuhusu Ubunge huko Kilimanjaro

    Habari za Asubuhi! Kule Kwetu Kilimanjaro, Moja ya Mambo muhimu wananchi wanayazingatia kumpa Mtu Ubunge ni Elimu yake. Unajua Kilimanjaro mtu anaheshimiwa kwa mambo makuu yafuatayo; 1. Pesa 2. Elimu 3. Familia. Wananchi wa Kilimanjaro hata wale wajinga kabisa ambao hawakusoma hata darasa...
  16. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro ndio mkoa huwezi kusikia Mbunge anachaingiwa pesa za kuchukua Fomu, Wachaga sio Mafala hata kidogo

    Kwenye maendele bila shaka wote tunajua Kilimanjaro iko juu sana na wale hawajaanza kuwa na maendelo leo ni tangu enzi za ukoloni. Kwenye maendeleo ya watu achana na maendeleo ya vitu basi Wachaga wanapiga fimbo mikoa karibia yow Tanzania hii. Ila kwa Wachaga huwezi sikia wachaga wanakaa...
  17. chiembe

    JamiiForums Tanzania Heche na genge lake wamefanya ziara Mkoa wa Kilimanjaro, lakini wamegwaya kupita Wilaya ya Hai. Hakika Mbowe anaogopwa

    Chadema wamemaliza ziara Mkoa wa Kilimanjaro. Ajabu ni kwamba wamepita Wilaya zote isipokuwa Wilaya ya Hai. Hakika wanamuogopa Mbowe, wanawaogopa wana Hai
  18. Kegenya

    JamiiForums Tanzania Kinahitajika chumba cha kupanga karibu na ofisi za Ruwasa-Siha, Kilimanjaro

    Mwenye namba ya dalali wa vyumba /nyumba au anakijua chumba kinachopangishwa; i. kisiwe mbali na ofisi za Ruwasa za wilaya ya Siha, mkoa wa Kilimanjaro. ii. Kiwe self contained
  19. bulajunior

    JamiiForums Tanzania Hodi Kilimanjaro

    Habari wanajamii forum napenda kushirikiana na nyinyi kitu kimoja hasa watu makini kutoka mkoa wa Kilimanjaro. Mimi ni mwalimu wa chemistry na biology. Nina safari ya kuja Kilimanjaro kipindi hiki cha likizo kwa ajiri ya kufundisha tuition kwenye masomo haya mawili japo ikitokea uhitaji wa...
  20. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 UVCCM Kilimanjaro: Hakuna kijana yeyote anayesema No Election, Reforms zimeshafanyika

    MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana UVCCM wilaya ya Moshi (Moshi Vijijini ) Yuvenal Shirima ameeleza kuwa katika Wilaya ya hiyo hakuna Kijana yoyote anaesema "No Election" na kwamba wote wanaunga mkono uchaguzi kufanyika. Ameeleza hayo Jumamosi Mei 17, 2025 wakati wa fainali za mashindano ya mpira wa...
Back
Top Bottom