kikwete

  1. kyagata

    Hivi mzee kikwete ametoa pole?

    Huyu mzee hivi katoa pole yoyote kwa wahanga wa October 29?
  2. mwehu ndama

    PostGE2025 Ridhiwani Kikwete: Ikulu ya Tanzania ilikuwa madrassa zamani

    Ajenda ya udini inazidi kusukumwa mdomdo na watawala, na mara hii Ridhimoko amesukuma kete nyingine kwa lengo la kuuteka umma wa wanazuoni wa kiislamu, wataalam wa eiilimu duuniya, na mambo ya Dua na daahawa!!. NB: huu ni ungese , sijui lengo lao ni nini sasa
  3. K

    Uchumi na maisha ya Watanzania hatarini kwasababu ya Samia, Rostam na Kikwete

    Hawa wadau watatu ndiyo wametufikisha hapa na huko mbele wakibaki wataharibu uchumi wa TZ vibaya sana lazima Mama atolewe na kuwe na serikali ya mpito
  4. Sir John Deere

    Jakaya Kikwete: Ukweli haupendi kupuuzwa puuzwa, haujali rafiki Wala adui, haujali mkubwa Wala mdogo

    Katika kumbukumbu December 3 2012 raia mstaafu Jakaya Kikwete akiwa Rais wa Tanzania wakati huo aliwahi kutamka maneno haya akimrejea Hayati baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere.
  5. Idugunde

    Kwa nini raisa Samia hakubali ukweli kuwa ufisadi na upendeleo wa familia yake na Kikwete ni tatizo kubwa?

    Kuna familia tatu hapa nchini zimegeuza hili taifa kuwa la kisultani. Hili suala linawakera na kuwaudhi watanzania. Hizo familia zinajulikana. Maandamano ya Oktoba 29 watu wengi wamepoteza mali sababu tu zilihisiwa kuwa mali za Ridhiwani Kikwete. Au wataoto wa hayati Mwinyi au Familia ya rais...
  6. K

    Brand ya Kikwete imeshuka sana kwa tamaa zake!

    Brand ya kikwete imeshuka sana kwa tamaa zake! Kutaka kupewa kila kitu bure, kutumia wanafamilia wapo sasa Brand ya familia imeshuka sana na umebaki ku dharauliwa badala ya kuwa wazee wa taifa. Kikwete Brand yake ya 1995-2005 sio hii alingara wakati wa mkapa tu!
  7. President of China

    Kikwete aongoza Mahafali ya 55 ya UDSM - Vijana wanafuraha isiyo na kifani, sasa Serikali ta Mama Samia imewaandalia kazi za kumwaga

    Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ametunuku Shahada za Awali, Stashahada na Astashahada kwa wahitimu katika Mahafali ya 55 (Duru la Pili) ya chuo hicho kikongwe kuliko vyote nchini. Jumla ya wahitimu 2,742 walihudhurishwa...
  8. President of China

    Dkt. Maria Josephine Atunukiwa Shahada ya Heshima na Kikwete UDSM - Kazi na Utu

    Dkt. Maria Josephine Kamm ambaye ni Mwenyekiti & Mkurugenzi wa Taasisi ya Mama Clementina, ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Fasihi na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kutokana na mchango wake katika kuinua sekta ya Elimu hasa kuanzisha shule za wasichana katika mikoa ya Kilimanjaro...
  9. mcTobby

    Tungekuwa na utawala wa sheria , Kikwete angekuwa jela kama Nicolas Sarkozy wa Ufaransa

    Hivyo tu yaani. Maana kuna mambo yanatugharimu kama taifa kwa sasa. Hili lilikuwa ni chaguo lake kama running mate wa baba Jesy.. kumbe kete za draft zilikuwa zinapushiwa kuanzia 10 to 20 years kwa ajili ya kutengeneza mazingira... Anyway siwezi kuwaambia kila kitu. Nyie ni watu wazima...
  10. The Father of All

    Tatizo la Samia si dini wala jinsia yake bali Samia mwenyewe

    Kuna watu unaoweza kuwaita wadini na maadui wa taifa wanaodhani kuwa rais Samia anachukiwa hasa anaposhauriwa au kukosolewa au kutopongezwa, kuabudiwa, na kuhadaiwa anapendwa. Hawa ambao naweza kuwaita wahuni na wajinga wa mwisho wanadhani Samia anachukiwa kwa sababu ya dini, eneo au jinsia...
  11. Jidu La Mabambasi

    Jakaya Kikwete mbona uko kimya? Unalipwa mshahara baada ya kustaafu, hujasema kitu kulaani maafa!

    Viongozi wastaafu kama Rais Jakaya Mrisho Kikwete bado kodi zetu zinalipa 80% ya mshahara wake alipo kuwa Rais. Kazi yake nini? Tulitegemea atoe tamko la kulaani maafa yaliyotukuta. Tulitegemea yeye kama Rais mstaafu amsahihishe mwenziwe Rais Samia katika namana bora kulendesha Taifa. Badala...
  12. The Father of All

    Samia na Kikwete wataamka lini toka kwenye usingizi wakabiliane na uchafu wao kisayansi badala ya kujitoa ufahamu?

    Tangu Samia CCM na Jakaya Kikwete walikoroge, wamegeuka mabubu na viziwi. Je, hili ndilo jibu au wanakoleza moto wasijue wataumia na kuumiza taifa letu? Tuwasaidieje? Eti Nchimbi anaongelea majadiliano na maridhiano. Nani anajadiliana na kuridhiana na nani wakati walio'vuruga' taifa letu ni...
  13. Mto wa mbu

    GE2025 Jakaya Kikwete aondolewe kwenye orodha ya waangalizi wa chaguzi za SADC na AU

    Mzee huyu Kwa kutanguliza mbele tumbo lake ameliharibu taifa. Kikwete amekuwa election observer katika nchi mbalimbali za Afrika, aliona chaguzi zenye staha kama uchaguzi wa Kenya, na Ghana. Kikwete alinukuliwa live anasema uchaguzi wa Kenya ni huru na Haki Kwa Hali ya juu. Uku kwetu bila aibu...
  14. Genius Man

    Kwa mauwaji ya kutisha yaliyofanyika hata Kikwete na CCM wanamshangaa huyu mama haijawai tokea

    Kikwete alishawai kuwa raisi sizani kama anahusika na mauwaji haya bali at as kuwa katika mshangao mkubwa vile nchi inavyoenda. Wasanii nao walikuwa ni mama mama na wanashangaa yanayoendelea huyu mama ni laana mlifanya makosa makubwa sana kumuunga mkono. Kwa mauwaji ya kutisha yaliyofanyika...
  15. Mayor Quimby

    Jakaya Kikwete kazi ya kulinda tunu ya nchi imemshinda

    Kwa sasa Tanzania hakuna mtu mwenye jukumu la kuilinda Tanzania kama ‘Jakaya Kikwete’ ndio supremo wa mfano. Wengine ni retired security officers, yaani previous CDF, DGIS, IGP’s, Magereza na uhamiaji. Hawa watu wanajukumu la kuhakikisha Tanzania inabaki kama walivyoikuta na wengine mbele yao...
  16. The Father of All

    Kama kweli Samia alikwenda Kenya na Kikwete, je walikwenda peke yao au na mume wa Samia?

    Kichwa cha habari kiko wazi.
  17. The Father of All

    Pongezi Samia na hongera Kikwete ila mmejua kututenda.

    Sina la kusema! Naamini kazi itaendelea hadi kieleweke. Kwa ujuha na uzwazwa huu, sina wasiwasi.Damu iliyomwagika itarudi na kulipiza kisasi.
  18. The Father of All

    Damu, damu, damu, CCM, mikono na miili Samuya na Kikwete vimejaa damu atatawalaje damu damu damu?

    Siombi msamaha. Urais wa Samia, chama chake na nchi vimejaa damu. Ni ubatili. Ni ukatili, Ni unyama, Ni ujambazi. Ni udikteta. Ni dhuluma Ni mauajai, Ni unyang'anyi. Je, Samuya atatawalal damu? Je, damu isiyo na hatia iliyomwagwa itawaacha? Je, wahanga na ndugu zao na taifa visamehe na...
  19. figganigga

    Kikwete akutana na Uhuru Kenyatta, amuomba ushauri

    Rais Mstaafu wa Tanzania ameenda Kenya kwa Dharura kukutana na Rais Mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta. Amuomba atumie ushawishi wake kuwatuliza Waandamanaji wa Tanzania. Tanzania na Kenya wamekuwa ndugu katika shida na raha. Uhuru aliweza kumaliza maandamano ya kenya kwa njia ya mazungumzo...
  20. L

    GE2025 Dkt Kikwete ahitimisha na kufunga Kampeni za Wanu Hafidhi Kwa Kishindo kikuu Makunduchi Zanzibar

    Ndugu zangu Watanzania, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Amehitimisha na Kufunga Kampeni za Mheshimiwa Wanu Hafidhi kwa kishindo kikuu kilichoitetemesha Zanzibar nzima. Ambapo Mgombea huyo wa nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Makunduchi amepata Heshima ya kipekee...
Back
Top Bottom