kikwete

  1. The Father of All

    Wanaojua uhusiano wa Kikwete na Samia watusaidie kabla ya kujadili wake na Daudi Albert Bashite

    Kichwa cha habari kinajieleza. Tanzania kuna wato wawili ambao kwa rais Samia siyo wana ushawishi mkubwa bali ni maalum ambao ni Jakaya Mrisho Kikwete na Daudi Albert Bashite. Kwa wanaojua undani wa wandani hawa watujulishe lau tujue kwa sababu rais ni public figure.
  2. S

    Baba wa Kikwete alikuwa anasuka ukindu baada ya kustaafu uDC

    Nyumba hii ndiyo baba wa Kikwete alikuwa akiishi mpk pale Kikwete alipopata urais ndipo ikabomolewa kujengwa mpya. Picha ya juu: Baadhi ya watoto wa Kikwete wakiwa na babu/bibi yao. Picha ya chini: Baba na mama wa Kikwete wakiwa kwenye "shughuli" (siyo sherehe). N. B. Ndiyo maana marekani...
  3. Its Tesha

    GE2025 Baada ya kimya cha muda Kikwete aonekana kwenye kampeni, Bagamoyo mkoani Pwani

    Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete leo Oktoba 10, 2025 ameshiriki kwenye mkutano wa Kampeni za Urais za Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, Bagamoyo mkoani Pwani.
  4. The Father of All

    Ujumbe kwa Kikwete na Rostam

    Mabwana, Najua mna furaha adui yenu aliyefichua mambo yenu amenaswa. Japo hakuna jipya kwa sababu tunaujua uchafu wenu, nawaomba chonde chonde. Jitokezeni lau mkanusha hata kinafiki vinginevyo mjue. Your cover has been blown out. Kwa wanaume kweli, hili si jambo la kuacha upepo utulie...
  5. The Father of All

    Kwa tuhuma zinazomkabili Kikwete sijui kama analala

    Japo Kikwete anajulikana kwa kujitoa ufahamu, kwa mtama aliomwaga slowsliow sijui kama analala usingizi. Japo twamjua ni jahiri mwenye masikio lakini asiyesikia, hili litakuwa limemtingisha. Yeye na genge lake, sijui watatumia utuli upi kujisafisha wasafishike. Kikwete ni kiumbe wa ajabu...
  6. Mshana Jr

    Birthday ya Kikwete na maoni ya wananchi

    Ridhiwani kapost picha mtandaoni akiwa na babaake na kumtakia birthday njema.. Maoni yaliyofuata ya wananchi yanaumiza na kufikirisha sana
  7. The Father of All

    Kutekwa Polepole, Chama chao, kimya. Serikali, yao! Kunani? Kwanini mtufanya tuanze kubunia wakati mnaweza kujitokeza na kujibu

    Kikwete yuko kimya. Rostam yuko kimya! Samia kadhalika. Tunajua. Hawa ndiyo waliokamata na kuikamua nchi mbali na kuielekeza pabaya. Chama chao, kimya. Serikali, yao! Kunani? Kwanini mtufanya tuanze kubunia wakati mnaweza kujitokeza na kujibu. Wahusika, chonde chonde, jitokezeni mtuepushe na...
  8. The Burning Spear

    Siku zaja Samia atakuja kujuta kumsikiliza Kikwete

    GT Ulafi wa madaraka hujawahi kumwacha mtu salama japo kwa sasa samia naye anajilmbikizia mali ipo siku atakuja kulia peke yake. Kumsikiliza kikwete lilikuwa ni jambo na uamuzi wa hovyo sana nyakati kama hizi. Kikwete ni FAILURE aliyepitwa na wakati samia na kikwete wanaenda kuangamia kwa...
  9. ngara23

    Rais Mstaafu Kikwete Anampotosha Samia: Wakati Wake Alisimamia Demokrasia, Ajira na Kuepusha Mauaji

    Wanasemaga mchawi hatoki mbali au mchawi ni nduguyo Yaani Mstaafu wetu ndo amshauri Samia mambo ya ajabu kama haya 1. Wakati wa Kikwete Democrasia ila hai Leo anamshauri mwenzake apeleke wabunge wa Chama kimoja tu bungeni 2. Wakati wa Kikwete hapa kuwa na mauaji kama kipindi hiki. Watu...
  10. Hance Mtanashati

    Video: Huu ndio uwanja uliopo Msoga unaotakiwa kujengwa kumuenzi Mzee Kikwete

    Huu ni uwanja uliopo Msoga na mara nyingi sherehe za serikali hufanyika hapo ikiwemo Msoga marathon. Kutoka hapo mpaka kwa Kikwete kwa mwendo wa gari ni dakika 2, kwa mwendo wa mguu dakika 10-20. Kiuhalisia huu uwanja ujenzi wake hauna tija yoyote kwa wananchi maana hata huko Msoga kwenyewe...
  11. K

    GE2025 Kikwete ndiye janga la taifa kabisa! Katiba hatuna leo kwasababu yake

    Mnafiki Kikwete ndiye janga la taifa kabisa! katiba hatuna leo kwasababu ya hili janga. Hata Magufuli ukali wake na rushwa aliyopata ni kwasababu ya huyu janga. Samia sasa kuanzia aanze kumsikiliza huyu janga naye kawa janga!!! Eti huyu ndiye kuangalia chaguzi na kuwa mwangalizi wa kitafia...
  12. kyagata

    Yuko wapi mstaafu kikwete?

    Huyu baba sio kawaida yake. Haiwezi kupita week hujamsikia kwenye chombo cha habari ,ila nashangaa kawa kimya hata kwenye kampeni za wanafamilia wake haonekani mara kwa mara. Yuko wapi huyu baba?
  13. Dennis Robert Shughuru

    Nimesikia YP & YDash shemsa imenikumbusha mwaka 2005 Kikwete anafunga kampeni za urais

    Wakati kikwete anafunga kampeni mwaka 2005 liliangushwa bonge moja ya performance na moja ya watu walioperform ni YP (marehemu) na Ydash na nyimbo yao shemsa ile performance yao sitakaa niisahau ilikuwa nzuri sana Na ukizingatia TMK ndo walikuwa katika peak yao na style ya mapanga na kauli yao...
  14. Idugunde

    Katiba mpya itaiondoa CCM madarakani kwa sababu zifuatazo. Hata mstaafu Kikwete aliona ndio maana akaitia kapuni

    Chaguzi za rais ,wabunge na madiwani zitakuwa huru. Sababu tume ya uchaguzi itakuwa huru.Wizi wa kura utadhibitiwa. Mahakama zitakuwa huru, sababu majaji watakuwa wanaomba kazi hawatakuwa wateule wa rais. Kesi zinazohusu uchaguzi zitakuwa huru na upendeleo utakoma. Viongozi waliofanya...
  15. TODAYS

    Video: Gari lapata ajali likiwa kwenye msafara wa kiongozi

    Kuna video moja a Ambulance ikiwa imezuiwa isiingilie msafara imetrend sana mtandaoni. Ile ambulance 🚑 kila mtu anasema lake, mwingine ina mgonjwa na mwingine haina mgonjwa. Ila mwishoni tukaona inaondoka kama imefukuzwa ma king'ora juu. Ni juzi tu hapo, wkt mgombea urais kwa tiketi ya ccm...
  16. T

    Mzee Kikwete kwenye hili umekosea kiapo chako na historia itahukumu

    Mzee wangu Jakaya Kikwete naomba nikwambie wewe pamoja na wengine mmelikosea taifa na kwa lolote litakuja tokea historia itahukumu. Wewe ni Rais pekee ulie baki ktk marais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Wewe ndie rais pekee unaye pokea taarifa za siri kama mstaafu. Unajuwa shida ya...
  17. M

    Hivi mstaafu Kikwete huwa haambiwi na kupewa taarifa kuwa watu wanamsema vibaya na kumchukia?

    Mimi nashangaa na kujiuliza sana. Hizi lawama zote anazopewa mtaafu Jakaya huwa hazipati? Wasaidizi wake huwa hawamuambii? Kila kona sasa hivi utasikia maeneo. Hii nchi inakwenda vibaya sababu ya huyu mstaafu, ufisadi, kuharibu chama chao hadi kifo cha Magufuli na wasaidizi wake. Yupo kimya.
  18. Mhaya

    Wafahamu Watawala Wasio Rasmi "Oligarchs" walioshutumiwa kipindi cha kikwete, Wakazimwa na Magufuli, Wamerudi kwa Samia.

    Katika siasa na uchumi wa mataifa mengi, kuna kundi dogo la watu wenye utajiri mkubwa na ushawishi wa kisiasa ambao mara nyingi huitwa king makers (wazalishaji wa watawala) na wakati mwingine king dethroners (waangushaji wa watawala). Hawa watu huendesha siasa kwa kivuli, bila kuonekana moja kwa...
  19. Erythrocyte

    Mkuu wa Wanamtandao Rostam Azizi aweka mpira kwapani, Hajaonekana Azam TV kama ilivyotangazwa, kaogopa nini?

    Hili ndilo Swali wanalojiuliza watu wote Duniani. Awali liliwekwa Tangazo hili hapa Alipotangaza jambo hilo alijiamini nini na sasa kakimbia nini? Au naye kaogopa Mkata Swichi? Majibu anayo mwenyewe na wanamtandao Wenzake
  20. B

    Mjumbe wa halmashauri kuu, awaomba Kikwete, Rostam wasimjibu Polepole

    02 September 2025 CHONDE CHONDE POLEPOLE ASIJIBIWE ASEMA KIGOGO WA CCM https://m.youtube.com/watch?v=NqHXXRL3-bI Baada ya mazungumzo ya Humphrey Polepole kuwa gumzo na kufuatiliwa kuliko kampeni za CCM kumnadi mgombea wao wa urais, Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya Taifa CCM asema Humphrey Polepole...
Back
Top Bottom