Ukiachana na madhaifu yake yote ila Ndugu Jakaya Kikwete alikuwa rais wa tofauti sana na je logic ya kuondoa bendera ya Chadema kwa Mtei ni ipi?

Ukiachana na madhaifu yake yote ila Ndugu Jakaya Kikwete alikuwa rais wa tofauti sana na je logic ya kuondoa bendera ya Chadema kwa Mtei ni ipi?

Zee la madawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,846
Reaction score
4,349
Hii ilikuwa kwenye msiba wa Bob Makan ambae na yeye alikuwa mmoja wa Waasisi wa Chadema na yeye alikuwa Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania.

Jeneza la Bob Makani lilifunikwa bendera ya Chama mwanzo, mwisho.

Hata Kikwete akiwa Rais alitoa heshima za mwisho jeneza likiwa limefunikwa bendera ya Chama na alisaidia kubeba Jeneza likiwa liefunikwa bendera ya Chadema.

Bendera ilitolewa wakati mwili unashushwa kwenye kaburi, kiukweli leo sijaelewa Logic ya kuondoa Bendera ya CHADEMA kwenye Jeneza la Mzee wetu Mtei.😤
 

Attachments

  • FB_IMG_1769328236083.jpg
    FB_IMG_1769328236083.jpg
    63.2 KB · Views: 15
  • FB_IMG_1769328236432.jpg
    FB_IMG_1769328236432.jpg
    10.3 KB · Views: 13
  • FB_IMG_1769328228354.jpg
    FB_IMG_1769328228354.jpg
    13.4 KB · Views: 16
Woga wa uzee

Kijitu cha pwani kikizeeka madhabahu zinamshikilia asitoke kwenye Reli🤭
 
Kikwete hatakiwi kupewa sifa zozote katika hili. Tukumbuke kipindi hicho, Mtei bado alikuwa hai na nguvu zake. Mbowe alikuwa kiasi anafuata maagizo muhimu ya Mtei hasa katika tukio kama hilo la kifo cha mmoja wa waasisi wa chama. Jana alijiona ana nguvu za kutofanya hivyo bila kuwajibishwa.
 
JK alikuwa mtu poa kiukweli, pamoja na udhaifu wake. Alikuwa na "Check and balance" nzuri kwenye uongozi wake.
 
Hii ilikuwa kwenye msiba wa Bob Makan ambae na yeye alikuwa mmoja wa Waasisi wa Chadema na yeye alikuwa Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania.

Jeneza la Bob Makani lilifunikwa bendera ya Chama mwanzo, mwisho.

Hata Kikwete akiwa Rais alitoa heshima za mwisho jeneza likiwa limefunikwa bendera ya Chama na alisaidia kubeba Jeneza likiwa liefunikwa bendera ya Chadema.

Bendera ilitolewa wakati mwili unashushwa kwenye kaburi, kiukweli leo sijaelewa Logic ya kuondoa Bendera ya CHADEMA kwenye Jeneza la Mzee wetu Mtei.😤
Screenshot_20260125-000726~2.png
 
Kwasababu chadema kwa sasa ni chama cha wahalifu lazima bendera ya maharamia iondolewe
 
ni kwa sababu labda kama vile Lowasa (rip) chadema ilikuwa ni option in case angekatwa, hivyo ana historia ndefu na chadema (chadema ya mpaka mbowe) na wakati huo hakuwepo peke yake mwenye power B.Mkapa alikuwa bado yu hai pia, Lowasa alikuwepo hata kama hakuwahi kuwa raisi lkn mpinzani mkubwa kama siyo afya Lowasa angesumbua sana, leo hii amebakia peke yake either by design au fate anatamba hivyo haiihitaji chadema (tena) kwanza ni adui kwake na ndiyo maana Tundu Lisu bado yuko lockup karibia mwaka sasa, hakuna kiongozi wa upinzani aliyewahi kuwekwa lockup kwa muda mrefu kama Tundu Lisu tangia vyama vingi vianzishwe tena kutuhumiwa uhaini sijawahi kusikia kiongozi mkuu wa upinzani akituhumiwa kwa uhaini tangia nianze kufwatilia siasa za tanzagiza ...
 
JK alikuwa mtu poa kiukweli, pamoja na udhaifu wake. Alikuwa na "Check and balance" nzuri kwenye uongozi wake.
mnyonge mnyongeni, haki yake apewe. Nakubariana na wewe. Ndio mana alipomaliza mihula yake akataka kuleta katiba mpya. Hivyo anamaliza mihula hii ataamzisha tena mchakato. Check check hii na kubalance makosa ya nyuma nadhani atafanikiwa.
 
Woga wa uzee

Kijitu cha pwani kikizeeka madhabahu zinamshikilia asitoke kwenye Reli🤭
Mtu wa pekee kwa muhula wenye mambo mengi ever iinagine

The prepo be4 preparation. 🤗
 
Back
Top Bottom