Ndugu Watanzania mwezangu naomba niwasalimie kwanza, heshima zote nawapa. Baada ya salam, naomba nijitambulishe kwa ufupi tu mimi ni nani, mimi ni Mtanzania tu wa kawaida mwenye umuri wakati, sio kijana sana wala sio mzee sana. Ila kama ujana au uzee ungepimwa kwa kiwango cha mapenzi kwa nchi...