Miaka 2 na miezi kadhaa imepita sasa tangu Mtanzania Joshua Mollel alivyouawa na kikundi cha kigaidi cha Hamas

Miaka 2 na miezi kadhaa imepita sasa tangu Mtanzania Joshua Mollel alivyouawa na kikundi cha kigaidi cha Hamas

Traxtion

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
6,947
Reaction score
14,321
October 7th, 2023 mwanafunzi wa miaka 21 Joshua Mollel kutoka Tanzania aliuliwa kikatili na kikundi cha kigaidi cha Hamas
Joshua alikuwa ni mwanafunzi wa Agriculture nchini Israel, hakuwa sehemu ya vita vya Israel vs Palestine, hakuwa tishio, hakuwa adui, lakini Hamas walipomkamata walimuua kikatili bila huruma, wangeweza kumuacha aende lakini walimuua bila kupepesa macho
Kila nikiangalia hii video ya mauaji yake naumia sana. I hope hawa wote waliomfanyia hivi wameshauawa kikatili huko walipo
20260411_174000.jpg



View: https://x.com/i/status/1884427368757874836
 
Yeye si wa kwanza kufa na wala yeye si wa mwisho kufa.

Yeye si wa kwanza kuuliwa na wala yeye si wa mwisho kuuliwa.

Kila mtu atakufa.

Ni suala la muda tu.
 
October 7th, 2023 mwanafunzi wa miaka 21 Joshua Mollel kutoka Tanzania aliuliwa kikatili na kikundi cha kigaidi cha Hamas
Joshua alikuwa ni mwanafunzi wa Agriculture nchini Israel, hakuwa sehemu ya vita vya Israel vs Palestine, hakuwa tishio, hakuwa adui, lakini Hamas walipomkamata walimuua kikatili bila huruma, wangeweza kumuacha aende lakini walimuua bila kupepesa macho
Kila nikiangalia hii video ya mauaji yake naumia sana. I hope hawa wote waliomfanyia hivi wameshauawa kikatili huko walipo
View attachment 3570954
Alikuwa spy wa Mosad?
 
October 7th, 2023 mwanafunzi wa miaka 21 Joshua Mollel kutoka Tanzania aliuliwa kikatili na kikundi cha kigaidi cha Hamas
Joshua alikuwa ni mwanafunzi wa Agriculture nchini Israel, hakuwa sehemu ya vita vya Israel vs Palestine, hakuwa tishio, hakuwa adui, lakini Hamas walipomkamata walimuua kikatili bila huruma, wangeweza kumuacha aende lakini walimuua bila kupepesa macho
Kila nikiangalia hii video ya mauaji yake naumia sana. I hope hawa wote waliomfanyia hivi wameshauawa kikatili huko walipo
View attachment 3570954
Israel bado anawaadhibu waliomuua.
 
Alikuwa spy wa Mosad?
Hapana alikuwa mwanafunzi wa Agriculture, Israel
Alienda Israel September 2023, hakukaa sana mwaka huohuo October 7th, Hamas wakaivamia Israel wakaua watu, ambako Watanzania wawili waliuawa na Hamas hiyo siku while huyu aliuliwa huku anarekodiwa. Kishaa wakamvua suruali na maiti yake wakaenda nayo Gaza.
Imerudishwa Tanzania mwaka 2025
20260411_174000.jpg
 
Yeye si wa kwanza kufa na wala yeye si wa mwisho kufa.

Yeye si wa kwanza kuuliwa na wala yeye si wa mwisho kuuliwa.

Kila mtu atakufa.

Ni suala la muda tu.
Huwezi kujustify mauaji namna hiyo.
Au kuuawa kwake unaona sawa kwa kuwa hakuwa Mu iran au Mpalestina?
Screenshot_20260411-175517.png
 
Israel bado anawaadhibu waliomuua.
Bora waendelee kufanya hivyo, wawamalize Hamas wote
Ila Israel naona wanaua hadi watoto wasio na hatia. Hii vita wafanye iishe tu
 
Tulipoteza msomi mhimu sana kama samia alivyotupotezea watanzania wengi siku ya 29 october2025.Ipo tu siku samia attribute maovu yake
 
Back
Top Bottom