Hiii nayo pia ni thread?Tusipokuwa makini, hiki kijundi cha tekateka kitaishia kuwa kikundi cha kigaidi kitakachosumbua sana Taifa.
Tusipokuwa makini, hiki kijundi cha tekateka kitaishia kuwa kikundi cha kigaidi kitakachosumbua sana Taifa.
Kimeteka mpaka mamlaka hivyo kukidhibiti kwasasa ni ngumuTusipokuwa makini, hiki kijundi cha tekateka kitaishia kuwa kikundi cha kigaidi kitakachosumbua sana Taifa.
Cha huku tz kinaitwaje?Mkuu kwa kukukumbusha tu ni kwamba Interahamwe (Rwanda), Mungiki ((Kenya) na Mbonerakule (Burundi) ni vikundi vilivyoanzishwa na watawala wa nchi hizo ili kushughulikia wakosoaji na wapinzani. Vikundi vikakomaa na kushindikana kudhibitiwa na waliovianzisha.
Hivi tunavyoongea kundi la Mbonerakule limekuwa sehemu ya serikali ili kutuliza hali ya mambo. Chama cha CNDD-FDD kiliunganisha nguvu na Mbonerakule hivyo kuunda kitu kinaitwa CNDD-FDD-MBONERAKULE.
Hawa watekaji ni muendelezo wa WASIOJULIKANA, hivi sasa Abdul kaamua kuwaletea mpk silaha za. . Muda utafika watakuwa watawala wa nchi hii.
WATEKAJICha huku tz kinaitwaje?
Pata hii picha...Tusipokuwa makini, hiki kijundi cha tekateka kitaishia kuwa kikundi cha kigaidi kitakachosumbua sana Taifa.
Nilishasema siku nyingi kuwa CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu. Watekaji ni kikosi kazi ambacho kimaundwa na polisi na TISS na kwa sasa kiongozi wao ni Faustine Mafwele afisa mwandamizi wa jeshi la Polisi na paymaster wao ni Abdu mtoto wa Samuya.Tusipokuwa makini, hiki kijundi cha tekateka kitaishia kuwa kikundi cha kigaidi kitakachosumbua sana Taifa.
Na huo ugaidi anauleta bi msumi. TISS fanyeni jambo nchi iwe na amani.Tusipokuwa makini, hiki kijundi cha tekateka kitaishia kuwa kikundi cha kigaidi kitakachosumbua sana Taifa.
Mbona umewahi sana kumjibu au u mmoja wao? Mbuyu ulianza Kama mchicha bi kizibao usisahau Hilo!Hiii nayo pia ni thread?
Tiss hii anayoiongoza dogo Abdul au ipo nyingine?Na huo ugaidi anauleta bi msumi. TISS fanyeni jambo nchi iwe na amani.
WasiojulikanaCha huku tz kinaitwaje?
Inawezekana pia ni kukawa na kikundi cha mashoga chenye lengo la kutugeuza inchi nzima mashoga, tuwe makini kinaweza kusumbua sana taifaTusipokuwa makini, hiki kijundi cha tekateka kitaishia kuwa kikundi cha kigaidi kitakachosumbua sana Taifa.