kike

The word kike () is an ethnic slur for a Jew.

View More On Wikipedia.org
  1. Rangooo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki wa kike wa awe mstaarabu n.k

  2. data

    JamiiForums Tanzania Nikki wa Pili ameingia cha kike huko aisee!! Wanyama wamecharukaa!

    Ni vita! Matusi yanaporomoshwa hukoo
  3. Ms Billionaire

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Vifaa vya saluni ya kike vinauzwa maelewano yapo

    done
  4. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Askari wa kike kwenye maofisi hasa mabenki, ni dhaifu mno!

    Mfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma. Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama...
  5. Ibrahim daud

    JamiiForums Tanzania Mfamasia wa kike nipo Mwanza, natafuta kazi

    Habari JF, NAITWA ZAMDA IBRAHIM. Nina diploma ya pharmacy, Bugando College. Naishi mwanza Any chances pls, Available 24hrs PM ME
  6. Priscallia

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Nahisi mdogo wetu wa kike kaongopa kuwa yupo field ila nahisi huenda kafungiwa na Mwanaume huko mkoani

    Kama kuna mwanafunzi anayesoma Chuo cha Mipango Dodoma ama mtumishi wa hicho chuo ama mzazi mwenye mtoto anayesoma hapo naomba anithibitishie hili kuna mdogo wetu namlipia ada katika chuo taja hapo juu kozi ya “Bachelor Degree in Human Resource Planning and Management (BDHRPM). Sasa jumamosi...
  7. desabby

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya saloon ya kike vinahitajika

    Nahitaji vifaa vya saloon ya kike kwa bei ya used mwenye navyo plz nichek 0783414538
  8. U

    JamiiForums Tanzania Swali Kutoka Kwa Mdau...JE Chemical Alistahili Kupata Tuzo ya Rapper Bora wa Kike Tanzania Mbele ya Rosa Ree?

    Nani Zaidi? Rosa Ree or Chemical
  9. Ms Billionaire

    JamiiForums Tanzania SOLD: Vifaa vya saluni ya kike vinauzwa

    Done
  10. The Eric

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wanaonunua cartons za viatu spesho vya kike, msaada wenu.

    Habarini za wakati! Basi niende kwenye ombi langu, ninaomba kujua kuhusu viatu vya spesho vya wanawake na watoto wadogo husani zile simple tu. Nahitaji kujua bei zake kwa anaye chukua kwa cartons tu ambapo yeye atauza jumla kwa wale wauza reja reja, natamani nijue bei za hivyo viatu na maduka...
  11. BabaPrince

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninatafuta rafiki wa kike Dodoma. Nimekuwa mpweke sana

    Mimi ni kijana wa makamo, nimehamishiwa Dodoma kikazi, sasa nimejikuta nipo huku camp nje kabisa ya mji, nimekuwa mpweke sana maana huku tupo midume mitupu mpaka, Na ninavyojiona si muda mrefu nitaanza kuchekacheka mwenyewe hovyo maana nimekosa huduma kwa muda mrefu(jocking) naomba mdada...
  12. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Wanamgambo wa Somalia wamuua mbunge wa kike katika shambulio la bomu la kujitoa mhanga

    Takriban watu 15, akiwemo mbunge mwanamke wa bunge la shirikisho la Somalia, waliuawa katika milipuko miwili ya kujitoa mhanga katika mji wa Beledweyne katikati mwa Somalia. Waziri Mkuu Mohamed Hussein Roble ametaja kifo cha Amina Mohamed Abdi kama "mauaji". Rais wa Somalia Mohamed Abdullahi...
  13. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Belo za pochi za mitumba ya kike kwa jumla zinapatikana wapi?

    Mwenye kujua tafadhali, nahitaji kujua chimbo hizo kwa hapa bongo zinapatikana wapi?
  14. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Ipi ni zawadi nzuri ya kumpatia mpendwa wako hasa wa kike?

    JF Mahusiano👋 Nipo hapa kuuliza swali dogo tu. Ipi ni zawadi nzuri ambayo unaweza mpatia mpenzi wako akafurahi Mainly Mwanamke hasa katika siku zao Maalumu kama Birthday? Nina Jambo langu hapa😂😂 NOTE:Toa ushauri pasipo kuangalia swala la uchumi let's assume wote tuna kitu.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Poland imeshtuka kuingizwa mtegoni na Marekani Vita ya Urusi na Ukraine

    Kulikuwa na suala la kupata ndege za kivita ili kupeleka Ukraine zikasaidie kupambana na Urusi. Nchi zote zikaingia baridi, halafu Marekani ikasema inafanya majadiliano na Poland ili ikubali kupeleka ndege zake Ukraine. Poland hakutaka kumkatisha tamaa Marekani, ila ikamwambia kuwa haiwezi...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Rais wa Ukraine aliamini kabisa kuwa NATO wangemsaidia endapo angevamiwa na Urusi

    Rais wa Ukraine aliamini kabisa kuwa NATO wangemsaidia endapo angevamiwa na URUSI. Mabeberu walimvimbisha kichwa, hata hakuweza kabisa kuheshimu makucha marefu ya URUSI. Malengo ya MAREKANI na NATO kwa ujumla ilikuwa ni kuitumia UKRAINE katika kujaribu kuidhoofisha URUSI. Ili kufanikisha...
  17. U

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Harusi ya Mtoto wa Kike wa Rais Museveni aliyeolewa Mtoto wa Jenerali Tumukunde

    Photos attached
  18. Lawrichie

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimepewa zawadi ya Condom na rafiki yangu wa kike

    Poleni na majukumu wakuu. Nipo kwenye mahusiano ya kirafiki na binti mmoja hivi kwa miaka mitatu sasa. Ni binti ambaye tunaelewana sana karibu kila kitu. Tunasaidiana, tunashauriana, tunapendana, tunaheshimiana sana kama marafiki, lakini zaidi tunaongea kuhusu kila kitu. Kilichonifanya...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

    Rais Putin asaini waraka wa kuamuru majeshi ya Russia kuingia Ukraine kulinda amani ktk majimbo-yenye-uasi ya Luhansk na Donetsk Rais Vladimir Vladimirovich Putin wa Russia amesaini tamko rasmi/ decree kuamrisha majeshi ya Russia kuingia nchi Ukraine katika majimbo Luhansk na Donetsk, ambayo...
  20. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rubani wa kike wa Kenya Airways apata sifa kwa kutua Heathrow Airport licha ya kimbunga kikali

    Ujuzi wa rubani huyu umewashangaza watu wengi sana kwa kuweza kutua ndege akiwa anapambana na kimbunga kikali kilichokuwa kinayumbisha ndege lakini umahiri wake ulifanya ndege utue salama salmini. Rubani huyu kweli anaifahamu kazi yake. Hongera sana dada.
Back
Top Bottom