AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,537
- 4,516
Mpo wapi kutetea usawa au udhalilishaji wa kijinsia...?
Muangalie hapo Billnas alivyotupia kavaa kwa heshima na stara nzuri... Vazi ambalo akiingia popote atapokelewa kwa heshima iwe IKULU au BUNGENI anaingia bila bughudha...
Tuje upande wa pili wa NANDY alivyovalishwa... Mpeleke ikulu au bungeni aingie hivyo... Ataruhusiwa au atazuiwa? Bila shaka atazuiwa... Kwanini azuiwe?
Vazi alilovishwa ni UDHALILISHAJI WA KIJINSIA... Yaani mumewe billnas avishwe vazi la heshima lisiloonesha maungo wala uchi wake(SUTI)...ila NANDY mnamvisha vazi la kumuacha uchi kabisa... Vazi la chumbani... HUU SI UDHALILISHAJI...?
MKO WAPI WATU WA HAKI ZA WANAWAKE...?
MBONA BINTI WA KIISLAAM AKIVISHWA VAZI LA HESHIMA MNASEMA ANABANWA ANANYIMWA UHURU WAKE... UHURU WENYEWE NDIO HUU WA UDHALILISHAJI?
Muangalie hapo Billnas alivyotupia kavaa kwa heshima na stara nzuri... Vazi ambalo akiingia popote atapokelewa kwa heshima iwe IKULU au BUNGENI anaingia bila bughudha...
Tuje upande wa pili wa NANDY alivyovalishwa... Mpeleke ikulu au bungeni aingie hivyo... Ataruhusiwa au atazuiwa? Bila shaka atazuiwa... Kwanini azuiwe?
Vazi alilovishwa ni UDHALILISHAJI WA KIJINSIA... Yaani mumewe billnas avishwe vazi la heshima lisiloonesha maungo wala uchi wake(SUTI)...ila NANDY mnamvisha vazi la kumuacha uchi kabisa... Vazi la chumbani... HUU SI UDHALILISHAJI...?
MKO WAPI WATU WA HAKI ZA WANAWAKE...?
MBONA BINTI WA KIISLAAM AKIVISHWA VAZI LA HESHIMA MNASEMA ANABANWA ANANYIMWA UHURU WAKE... UHURU WENYEWE NDIO HUU WA UDHALILISHAJI?