Nimekutana na mtoto Exaud (ana miaka 12, darasa la 5) pale Mbalamwezi,mbele kidogo ya (Mafinga) Nyololo, njia ya Iringa -Mbeya.
Nimefurahia ubunifu wake na jinsi ambavyo Neno la Mungu limemkaa.
KILA MWENYE PUMZI AMUSIFU BWANA
Kizuri zaidi ni namba plate liyoiokota barabarani na "kusajili"...