NASUBIRINgoja waje kukupa muongozo...
Sasa Hapo Mkuu Ubora Ni Upi?Bora wewe mkuu dogo apa na 3 ya kwanza, katupiwa chuo TPSC Tanga course secretarial na ni wa kiume.
Bro naomba kuuliza. Hivi wewe hunaga kabisa opinions au ushauri kwenye threads humu zaidi ya comments kama hizi kila unapochangia?Ngoja waje kukupa muongozo...
Mimi nilisoma mtwara, kozi ya record ilikuwa na wanafunzi wengi kutokana na urahisi wake.Sasa Hapo Mkuu Ubora Ni Upi?
Nijuavyo Miye Kile Cha Dar es Salaam
Kina Matawi Mtwara,Tanga,Singida,Tabora
Chuo Cha Utumishi
Ninaye Ndugu Alisoma Hiyo Record Management
Diploma Mtwara Akamalizia Singida Mambo Ni Magumu Mpaka Sasa Hivi Yupo Huko
Wewe Ni Msemakweli!!Mimi nilisoma mtwara, kozi ya record ilikuwa na wanafunzi wengi kutokana na urahisi wake.
Akisoma iyo anaenda kuwa mtunza kumbukumbuku masijala za ofisi mbalimbali pia ni ngumu kupata course chuo kikuu
Asanye..nadhani ni certificateDiploma au Certificate?
Kama diplo aende
HamnaJe, unaweza kujajili kwa kwa kipi kwa course kama hii
Je anaweza kuanzisha secretarial servicesHamna
Hahaha nimecheka sana mkuuBro naomba kuuliza. Hivi wewe hunaga kabisa opinions au ushauri kwenye threads humu zaidi ya comments kama hizi kila unapochangia?
Don't take it personal.
Mimi nilisoma mtwara, kozi ya record ilikuwa na wanafunzi wengi kutokana na urahisi wake.
Akisoma iyo anaenda kuwa mtunza kumbukumbuku masijala za ofisi mbalimbali pia ni ngumu kupata course
Shukrani chiefUDSM, SUA na TURDCO wanatoa Degree ya Record kwa sasa