Nani? Yule jamaa wa Singapore au?Mama kamaliza kabisa! Kuna Jamaa alikuwaga anavaa skafu... Mama kamaliza na Hijabu
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Yep! Kama mie ningezaliwa Ulaya huenda ningekuwa dereva wa kwenye mbio za magari za Formula 1.Tatizo mazingira. Africa kuna watu wengi wenye talent za pekee sana, kama wangezaliwa USA au Europe na talent hizo, basi wangetoboa kimataifa.
Nani? Yule jamaa wa Singapore au?
Kujaribu kuondosha Amani kwa infos za uongo ni tofauti na jambo la kumfurahisha mtu binafs km hyo art for exampleMbona habari ya mshiko inakua ngumu kumtafuta, angekua amechafua hali ya hewa angekua nyuma ya nondo tayari.