kifungo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Tapeli Hush Puppi apunguziwa kifungo hadi miaka 11

    Serikali ya Marekani imekubali kupunguza kifungo cha “tapeli wa mitandaoni” Hush Puppi hadi miaka 11 kwa kuwasaidia wapelelezi kutatua kesi nyingine. ⠀ Hush Puppi maarufu raia wa Nigeria aliyeongoza genge la utapeli kwenye mtandao alikamatwa na kuhukumiwa huko Dubai mnamo 2020 kwa kufanikiwa...
  2. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Kupiga picha miili ya Watu waliokufa ni kosa, adhabu yake ni kifungo mwaka

    Kwa mujibu wa kifungu namba 162 cha Sheria ya Kanuni za Adhabu kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2019 ni kosa kisheria kwa mtu yeyote kupiga picha maiti, watu waliokufa au waathirika wa uhalifu au matukio mabaya kama vile ajali bila kuwa na kibali cha polisi au chombo chenye mamlaka...
  3. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Rwanda: Mwanamke akabiliwa na kifungo cha Miaka 2 kwa kuvaa nguo za Utupu

    Mwanamke mwenye umri wa miaka 24 ambaye alikamatwa kwa kuvaa mavazi ya "aibu" anakabiliwa na kifungo cha miaka miwili jela kwa kuvaa “uchafu hadharani” Wendesha mashtaka wameomba azuiwe rumande kwa siku 30 Liliane Mugabekazi alikamatwa Agosti 7 baada ya kuhudhuria tamasha la mwanamuziki maarufu...
  4. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Jaji Mahakama Kuu ashauri Mahakimu watumie sheria ya kifungo cha nje

    Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Kanda ya Kigoma, Lameck Mlacha amewataka Mahakimu kutumia sheria ya kifungo cha nje kwa makosa chini ya miaka mitatu kama ilivyoanishwa katika sheria ili kupunguza mrundikano wa wafungwa gerezani. Ametoa mfano baadhi ya makosa hayo ni yale madogo na ambayo sio...
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Haji Manara natumai umeshajiandaa Kisaikolojia kwa Kifungo utakachokipata Leo na Kamati ya Maadili

    Ulionywa Punguza Nyodo na Ujeuri hukusikia. Na ulichokosea ni Kuongozana na Injinia Hersi Said kwenda kwa Boss wa Mpira wakati Logically uliyemkosea si Yeye bali ni Taasisi yake nzima ya TFF ambayo mara kwa mara umekuwa Ukiidhalilisha kwakuwa unabebwa na kupewa Jeuri na Mstaafu wa Msoga mwenye...
  6. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kifungo cha jela kimempa mabadiliko chanya ya maisha

    Jana nilikua kwenye basi kuelekea nyumbani Kwamtogole. Jirani yangu alikaa mwanaume mwenye umri unaokaribia miaka 35. Hajui Kiswahili vizuri. Tuliongea hivyo hivyo na Kiingereza changu cha yes, no lakini nilifanikiwa kumuelewa. Huyu mwanaume ni raia wa Ghana lakini alifanikiwa kwenda Ulaya...
  7. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Mwanamke aliyeandika insha juu ya jinsi ya kumuua mume ahukumiwa kifungo cha maisha kwa kumuua mumewe

    Mwandishi wa kitabu chenye jina lisemalo 'Jinsi ya kumuua mume wako' kutoka nchini Marekani aitwaye Nancy Crampton Brophy, mwenye umri wa miaka 71 amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kukutwa na hatia ya mauaji ya mume wake aliyoyatekeleza mwaka 2018. Imeelezwa kwamba tukio la mauaji...
  8. beth

    JamiiForums Tanzania Misri: Mgombea Urais wa zamani ahukumiwa kifungo cha miaka 15

    Mahakama Nchini humo imemhukumu Abdel Moneim Aboul Fotouh (70) kifungo cha miaka 15 gerezani kwa makosa mbalimbali ikiwemo kusambaza taarifa za uongo na kupanga njama za kupindua Serikali Fotouh alikamatwa mwaka 2018 baada ya kuikosoa vikali Serikali ya Rais Abdel Fattah El-Sissi. Pamoja naye...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Je ulitokaje kwenye kifungo cha kichawi/kishirikina?

    Wadau Moja kwa moja kwenye mada. Ni ukweli kwamba uchawi upo hata kwenye Biblia imeandikwa. Familia yangu iko kwenye kifungo kibaya cha kichawi na tumemjua huyo aliyetufanyia hivyo baada ya miaka mingi. Evidences ni nyingi toka kwenye vyanzo mbalimbali tofauti , ambavyo vingine havina...
  10. beth

    JamiiForums Tanzania Rwanda: Mchina aliyerekodiwa akimpiga mfanyakazi aliyefungwa kwenye mti ahukumiwa kifungo cha miaka 20

    Mahakama Nchini humo imemhukumu Mfanyabiashara ambaye ni Raia wa China kifungo cha miaka 20 gerezani baada ya kurekodiwa akimpiga Mwananchi mwaka 2021 Sun Shujun alikuwa anakabiliwa ya Mashtaka ya kupiga Wafanyakazi wake waliokuwa wanatuhimiwa kwa wizi, ambapo katika video iliyorekodiwa...
  11. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Japan yapanga kupunguza uagizaji wa Makaa ya mawe kutoka Urusi

    Waziri wa Uchumi, Biashara na Viwanda Koichi Hagiuda aliwaambia waandishi wa habari siku ya Ijumaa kwamba Japan italenga baada ya muda kukomesha uagizaji wa makaa ya mawe kutoka Urusi, muuzaji wa pili kwa ukubwa wa nchi hiyo wa makaa ya joto mwaka wa 2021. Hagiuda alisema kupata wasambazaji...
  12. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Burkina Faso: Rais wa zamani Kabore aachiliwa kutoka kifungo cha nyumbani

    Roch Kabore ambaye alikuwa chini ya kifungo cha nyumbani tangu alipopinduliwa katika mapinduzi ya kijeshi mwezi Januari, ameruhusiwa kurejea katika nyumba ya familia yake, kwa mujibu wa serikali ya mpito ya nchi hiyo. Kabore aliruhusiwa kurejea katika makazi yake katika mji mkuu wa Ougadougou...
  13. John Haramba

    JamiiForums Tanzania Ukihusika na dawa za kulevya Zanzibar kifungo cha maisha jela

    Baada Rais wa Zanzibar, Dr. Hussein Ali Mwinyi kuidhinisha sheria mpya ya kudhibiti dawa za kulevya, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya, leo Ijumaa Februari 4 2022 amezungumzia sheria hiyo ambayo imeanza kutumika. “Kama Kamishna Mkuu au Afisa ambaye...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Lindi: Selemani Matola (53), ahukumiwa kifungo cha maisha kwa kumnajisi Mjukuu wake

    Mahakama ya hakimu mkazi wilaya Lindi imemuhukumu Selemani Matola (53) mkazi wa Halmashauri ya Mtama kifungo cha maisha gerezani baada ya kukutwa na hatia ya Kumnajisi mjukuu wake mwenye umri wa miaka 8 Inadaiwa kuwa mshatakiwa huyo alifanya tukio hilo Disemba 17,2021 usiku wakati mkwewe...
  15. beth

    JamiiForums Tanzania Belarus: Kiongozi wa Upinzani ahukumiwa kifungo cha miaka 18 gerezani

    Sergei Tikhanovsky ambaye aliongoza maandamano makubwa dhidi ya Rais Alexander Lukashenko amehukumiwa kifungo cha miaka 18 jela kwa hatia ya kuandaa machafuko na kuchochea chuki Tikhanovsky alipanga kugombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020 dhidi ya Rais Lukashenko lakini alikamatwa Lukashenko...
  16. beth

    JamiiForums Tanzania Benin: Mpinzani ahukumiwa kifungo cha miaka 20 kwa kuhusika na vitendo vya ugaidi

    Mahakama moja Nchini humo imemhukumu mmoja wa Wapinzani wakuu wa Rais Patrice Talon kwa kuhusika katika vitendo vya ugaidi Reckya Madougou ambaye amewahi kuwa Waziri wa Sheria katika Serikali ya Rais Thomas Boni Yayi amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela Hukumu yake imekuja siku chache baada...
  17. beth

    JamiiForums Tanzania Myanmar: Aung San Suu Kyi ahukumiwa kifungo cha miaka minne jela

    Kiongozi wa Myanmar aliyetolewa Madarakani na Jeshi amehukumiwa kifungo cha miaka minne gerezani, ikiwa ni mwanzo wa kutolewa hukumu ambazo zinaweza kupelekea afungwe jela maisha Aung San Suu Kyi ambaye amekuwa kifungo cha nyumbani tangu Februari 2021 baada ya Jeshi kufanya Mapinduzi...
  18. Lituye

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe lazima afungwe ili Uhuru wa kweli upatikane

    Huu sio wakati wa kumlilia Mbowe Wala sio wakati wa kuwalaani CCM. Ili Uhuru wa bandia wa akina Kingai na Mahita wa kuteka, kutesa na kuua raia wema Kama akina Moses Lijenje na wengineo uondoke ni lazima Mbowe afungwe na sio Mbowe tuu na wale wote wazalendo wa kweli wapite katika tanuru la Moto...
  19. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Nawaza tu: Huenda Sabaya hatomaliza kifungo cha miaka 30

    Asalam wakuu naomba mnukuu kwanza kwenye title ya uzi kuwa nawaza tu na neno huenda ndilo mpigie mstari. Ni kwamba sina uhakika Japo sipo sahihi kama sabaya atakaa miaka 30 jela. Kulingana na kauli ya sabaya leo kuwaambia hata wasihofu Mungu yupo huenda ina Maana Zaidi. Je, unazani hakuna watu...
  20. Ngongo

    JamiiForums Tanzania Muonekano wa Lengai Ole Sabaya baada ya kumaliza kifungo.

Back
Top Bottom