kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Fbn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Inaonesha wanasiasa Kenya ndio walafi kwa kujilimbikizia pesa

    Nimepata makala moja hapa inaonesha Kenya ndio inaongoza kwa wanasiasa wanaokula pesa ndefu.
  2. Kevin85ify

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya has surpassed South Africa as Africa’s top avocado exporter

    Kenya has surpassed South Africa to become Africa’s top exporter of avocados. In Central Kenya in particular, where the majority of the country’s small-scale avocado farmers are found, coffee bushes are fast being replaced by avocado trees. A problem surrounding this new production is theft...
  3. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya2022 Wajackoyah: Nikishinda Urais Kenya nitaanzisha biashara ya korodani za fisi kwenda China

    Mgombea Uraisi Nchini Kenya, George Wajackoyah amesema kuwa akiingia madarakani atafanya mchakato wa kuuza korodani za fisi pamoja na nyama nyingine za mnyama huyo Nchini China ili kukuza kipato cha taifa hilo. Wajackoyah amesema mlo wa Wanyama hao utasaidia kukuza uchumi wa Kenya na kuimarisha...
  4. joto la jiwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania yajibu kuhusu ombaomba wanaopelekwa Kenya

    MY TAKE: Ni matumaini yangu kwamba Kenya itatekeleza wajibu wake Kama nchi ya kuwatafuta na kuwakamata wale wote wenye kujihusisha na biashara haramu ya kusafirisha binadamu. Tony254 Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
  5. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania's Taifa Gas licensed to set up plant in Kenya

    Nairobi. Tanzania’s biggest gas dealer Taifa Gas has been licensed to set up gas plant and storage facilities at a site in Dongo Kundu near the port of Mombasa to supply LPG for domestic, commercial and industrial use. The company, owned by Tanzanian business magnate Rostam Aziz, is expected...
  6. Kenyan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya2022 Wajackoyah: I will Hold National Fundraiser In My First 100 Days To Reduce Country Debt

    Roots Party presidential candidate Prof. George Wajackoyah has dismissed what he terms as unrealistic promises by his competitors should they win the top seat in the upcoming August polls. According to Prof. Wajackoyah, Kenya is in a sorry economic state and politicians who are making grand...
  7. Kenyan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya to Start Buying Cheaper Fuel from Saudi Arabia

    The deal will see Saudi Armco supply NOCK with refined fuel at exclusively lower process than the global fuel costs. Under the government-to-government deal, NOCK will be importing 30 percent of the country's monthly petroleum requirements. The National Oil Corporation of Kenya (NOCK) will...
  8. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya to begin work on 127km Voi-Taveta railway link

    Kenya will begin rehabilitating the 127-kilometre Voi-Taveta metre gauge railway line to serve the Kenya Ports Authority’s inland container depot at Taveta on the border with Tanzania. Kenya’s Planning Principal Secretary Saitoti Torome said plans to refurbish the old line were complete and...
  9. Melubo Letema

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanariadha 4 wa Tanzania, Waangukia Pua huko Kenya

    Wanariadha maarufu wa nchini , waliokwenda Kenya kutafuta kufuzu mashindano ya kimataifa wameambulia nafasi ya 8 Kwa Mwanariadha wa kike, Huku Wanaume wa 3 wakiambulia patupu, Huku Mmoja akishika nafasi ya Mwisho kwenye Mbio za Mita 800. Maandalizi ya Mashindano ya Riadha Bado ni But Sana...
  10. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Kenya kushirikiana kutokomeza usafirishaji haramu wa Binadamu

    Baada ya ripoti ya BBC Africa Eye kufichua kupangwa kwa utoroshwaji wa watoto walemavu kutoka Tanzania hadi Kenya na kugeuzwa omba omba, nchi hizo zimeahidi kufanya kazi kwa karibu kutokomeza biashara hiyo Mkuu wa Kitengo cha Utafiti, Takwimu na Ukarabati wa Sekretarieti ya Kupambana na...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Jinsi mchina alivyowatapeli maelfu ya wa Kenya dollar million 10 na kuwatukana kwenye crypto currency

    Mzuka wanajamvi! Ukiitwa kwenye fursa juwa wee mwenyewe ndio fursa. "Bado naendesha Ferrari yangu na baadhi yenu hamuwezi hata kununua chakula." Iyo ndio ilikuwa ujumbe wa mwisho wa mwanzilishi wa Crypto currency alivyoandika kwenye group la telegram baada ya kuwatapeli shilingi billion moja...
  12. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KQ intends to buy 40 flying taxis from Brazil

    Kenya Airways(KQ) has signed a deal that will see it buy 40 flying taxis from two Brazilian firms as part of the airline’s diversification through its new subsidiary Fahari Aviation. The carrier said on Tuesday it had signed a letter of intent (LOI) with EVE UAM, LLC, a subsidiary of Eve...
  13. Replica

    JamiiForums Tanzania Kumbe tunauza zaidi Kenya kuliko wao wanavyouza kwetu! Ila mbona bado wanatuuzia sabuni nyingi hivi?

    Urari wa biashara kati ya Tanzania na Kenya umeimarika sana. Leo niliona bungeni Rashid Shangazi akiliongelea hili nikaona nijiridhishe. Kulingana na data za benki kuu ya Kenya kuishia mwaka jana Tanzania iliuza Kenya bidhaa zenye thamani ya trilioni 1.15 huku yenyewe ikinunua zenye thamani ya...
  14. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya2022 Ruto asema atawafukuza Wachina akishinda Urais wa Kenya

    Mgombea wa Urais Nchini Kenya, William Ruto ameahidi kuwafukuza Wachina wote wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na wazawa, iwapo atashinda uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Agosti 9, 2022. Amesema kuna Wachina wanaouza mahindi ya kuchoma na simu mtaani nchini humo. "Kuna wachina wanauza...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ngorongoro?

    Kabla hatujaanza kuchagua upande wa kusemea kuna maswali ya kujiuliza kuhusiana na suala zima la Ngorongoro, Kuna maeneo mengi sana nchini Tanzania watu wanahamishwa kupisha shughuli mbalimbali za kimaendeleo. Baadhi ya sehemu hizo wapo wnaaolipwa fidia na wapo ambao hawaambulii chochote. Katika...
  16. beth

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania President Kenyatta rejects controversial ICT Bill

    President Uhuru Kenyatta has rejected a highly contentious Bill that sought to have all local ICT practitioners licensed and registered by a council. The Head of State on Tuesday sent the Bill back to Parliament alongside the Insurance Professionals Registration Bill of 2020 and the Higher...
  17. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya2022 Utafiti: Umaarufu wa wagombea Urais Kenya, Raila 50%, Ruto 25%

    Mgombea wa Urais kupitia Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga ameendelea kuongoza kwa umaarufu kuliko wagombea wenzake katika Jiji la Nairobi, Kenya akifuatiwa na mgombea wa Kenya Kwanza, William Ruto. Takwimu hizo ni kwa mujibu wa Utafiti wa Shirika la Trends & Insights for Africa (TIFA)...
  18. Nebuchadinezzer

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli alipo-deal na Kenya alionekana anaharibu mahusiano, mmeona sasa?

    Mzaha mzaha, mbuzi Kampanda mamaye. Ile kauli "mtanikumbuka ilikuwa ni kauli ya kinabii na sio ya kisiasa. Nathaniel sasa kila mtanzania ameanza kuelewa kwanini JPM Ali deal na wakenya effectively. Hawa Wakenya sio majirani, ni maadui zetu, hawafai kuchukuliwa kama majirani. Suala la...
  19. beth

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Government now calls for wearing of masks, vaccination as Kenya faces 6th wave

    The government has reinstated the mandatory wearing of face masks in indoor settings as a containment measure to curb the spread of COVID-19 in the country. Addressing the media on Monday, Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe said members of the public will be required to wear face masks in...
  20. Ritz

    JamiiForums Tanzania Wamasai wa Kenya mnatakiwa kuheshimu mipaka

    Wanaukumbi. Serikali yetu imefanya kwa nia nzuri kulinda mipaka yetu kwa kufanya zoezi la kuweka mipaka ya Nguzo kwenye maeneo yote Loliondo. Kuna wanaharakati njaa wanadai kuwa hamna Wamasai wa Kenya wala Tanzania, tunawapa tahadhari wakiendelea kuwasikiliza wanaharakati njaa wanataletea...
Back
Top Bottom